Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Amekwishachanganyikiwa huyu. Hapa ndipo CCM itajua imemwokota mtu wa namna gani. Naona na yeye anajibrand kikamilifu kwenye ile sifa kuu ya wanaCM, kwa kadiri ya matokeo ya utafiti ule wa TWAWEZA, "CCM inapendwa zaidi na wajinga". Anataka usitofautiane na wenyeji wake kikamilifu.Bilion 5 zimeshamvuruga, mara yuko tayari kupambana mahakamani, mara ooh Haya ni mambo ya kisiasa hapo anataka kuninyamazisha, mara oooh sijamtaja Mbowe nimemtaja mwenyekiti