Pre GE2025 Peter Msigwa: Nimemtuhumu Mwenyekiti wa Chama, sijamtuhumu Mbowe

Pre GE2025 Peter Msigwa: Nimemtuhumu Mwenyekiti wa Chama, sijamtuhumu Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe alikuwa Benki Kuu ya Nchi kama Mwigullu Nchemba na Vicky Kamata usimchukulie poa

Nyie Watoto wa vijijini hamjui lolote sawa na huyo Mkinga mchungaji wenu 😂😂😂
Peter Msigwa elimu yake ni darasa la saba, alikuwa houseboy wa Kasisi mmoja wa kizungu ndiye alimfundisha kingereza, na alipoondoka alimchukua kwenda SA alikosemea cheti cha theolojia .
 
CCM wamfukuze Msigwa haraka sana .
Ni pandikizi la Kambi moja ndani ya Chadema. Hiyo kambi ikifanikiwa ,Msigwa atarudi Chadema . Ni kama ilivyokuwa Kwa Nyarandu na Chadema.
Embu acha kuwa na akili za kitoto
 
Bottom
Naona umeshachanganyikiwa na kupaniki na tu akili twako twa kito⁰0aaaaàa

Samahani muNGU
Sibishani na muuaji?
Nisije nikauawa bure !!
 
Peter Msigwa elimu yake ni darasa la saba, alikuwa houseboy wa Kasisi mmoja wa kizungu ndiye alimfundisha kingereza, na alipoondoka alimchukua kwenda SA alikosemea cheti cha theolojia .
Elimu ya Msigwa ni kubwa sana ukilinganisha na ya mwenye Kigoda wenu.
 
Wewe ndiye kaa kimya na kumuacha Mtumishi wa MUNGU auseme ukweli wote ili watanzania wapate kuelewa utapeli na udalali wa CHADEMA
Sasa utapeli wa wale una mchango gani kwenye usafi wetu? Au ndio tunahesabu dhambi zao kwa kumtumia "mtumishi wa mungu" ili walau nasi tuonekane tunalingana nao?
Nadhani angepewa ilani ya Chama asome aelewe na aihubiri maana ni muhubiri mzuri. Azungumzie miradi Kama ule wa umeme kule Lindi aje na SGR na mingine mingi iliyotekelezwa kupitia sera za Chama. Naamini ataeleweka sana kuliko Sasa.
 
Jibu swali ewe usiyejitambua.? Umesema unayajuwa.nimekuuliza yapoje?
Wewe bwege ndiye hujitambui umekosa hoja sasa unajadili watu, sina muda mchafu huo, kujua matokeo ya Mbowe itakusaidia kuondoa umasikini wako ?Siku zote akili ndogo kama yako inaishia kujadili watu, mimi siyo wa level hiyo, kwaheri na upumbavu wako.
 
Wewe bwege ndiye hujitambui umekosa hoja sasa unajadili watu, sina muda mchafu huo, kujua matokeo ya Mbowe itakusaidia kuondoa umasikini wako ?Siku zote akili ndogo kama yako inaishia kujadili watu, mimi siyo wa level hiyo, kwaheri na upumbavu wako.
Sitaki uruke ruke na kutukana matusi kama mlevi wa gongo.

nataka unijibu hayo matokeo ya Mbowe unayosema unayafahamu yapoje?jibu hili swali ndio tuendelee na mjadala. Matusi tukana lakini nataka unijibu swali hili.
 
Back
Top Bottom