😂😂😂Siku izi kuna Watu wanajiona miungu ..Hasa wakisha kujipendekeza na kukaa kwenye nguo chafu za wakubwa wakawa CHAWA .
Lukas Mwashambwa naye kawa mungu mtu.
Ana uhakika wa chama chake na mamalia wake watakaa madarakani milele na milele . Kwao hakuna Mungu akipenda 🤣🤣🤣🤣.
Wataingia tu porini na kupata ushindi. Nadhani huko porini kuna kura nyingi za wanyama wanazipata🤣🤣🤣😂.
Yes, ndio maana wanafukuzwa Wamasai ili wabaki wanyama ambao ndio wapigakura wao huko porini kama alivyoweka wazi DC wa Longido.
Hao Wanaamua nani aishi na nani afe.