Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mpaka ujambeUkijipakia maulanzi yako unaanza mbwembwe zako hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka ujambeUkijipakia maulanzi yako unaanza mbwembwe zako hapa.
Ukijifukiza moshi kichwani unaona kila mtu unafanana naye akili wakati inajulikana wazi wewe ni hamnazoNadhani unanitafuta muda siyo mrefu nitakushughulikia
Analaana kubwa snMtumishi gani huyo njaa tupu! Anaacha kusimama madhabahuni kuhubiri injili anakuja kutukana watu kwenye majukwaa ya kisiasa. Atambue hii ni fimbo inamshukia kwa kumdhihaki Mungu
Mtumishi wa siasa.Wewe ndiye kaa kimya na kumuacha Mtumishi wa MUNGU auseme ukweli wote ili watanzania wapate kuelewa utapeli na udalali wa CHADEMA
😂😂😂😂Ukijipakia maulanzi yako unaanza mbwembwe zako hapa.
Mwenyekiti wa CHADEMA anaitwa nani kwa jina lake na MBOWE ni nani kwenye chama chake? Siasa ina mambo mengi sanaNdugu zangu Watanzania,
Hayo ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa Mchungaji peter Msigwa kada wa CCM kutokea mkoani Iringa na mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini.
Ambapo amesema ya kuwa yeye amemtuhumu Mwenyekiti wa chama na siyo kumtuhumu Mbowe.
View attachment 3089039
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
DC wa longido mbona mlimfukuza baada ya kusema ukweli kuwa CCM NI MAJIZI YALIYOKUBUHU...mkaona anakivua chupi chama.Wewe ndiye kaa kimya na kumuacha Mtumishi wa MUNGU auseme ukweli wote ili watanzania wapate kuelewa utapeli na udalali wa CHADEMA
Ninyi wote hamjamuelewa Msigwa, hapo ni kama vile anasema aliyeondika CHADEMA ni aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, lakini Mchungaji Peter Msigwa nado yupo CHADEMA na hana mpango wa kuondoka CHADEMA😅Msigwa angetulia tu,kuliko kupiga makelele,Raia wanamuona mjinga,yeye anaona sifa
Hana la kumfanya Mbowe zaidi ya kupiga kelele huku na huko
mnapenda kutukana mimatusi utafikiri mnatumia madawa ya kulevyaKwa hiyo mwenyekiti sio Mbowe? Msenge sana huyu sijui pasto wa wapi. Ukishakuwa CCM tu akili unakabidhi Lumumba
Ni papaiHuyo ni Dodo 🐼
Msigwa alikuwa akili kubwa, kahamia CCM amekuwa chawa kukuzidi hata wewemnapenda kutukana mimatusi utafikiri mnatumia madawa ya kulevya
Basi tena. Siku hizi utumishi wa Mungu umeshushwa hadhi na kugeuzwa kituko. Hata wachekeshaji na wainua matumaini hudai kuwa watumishi!Acheni kuweweseka.jibuni hoja za Mtumishi wa Mungu
Maana yake anataka chadema kama chama ndio wamshitaki… au kifutwe Kwa kutoka jua fedha zake zinaenda wapi ili hali CAG anawapaga hati safi… Huyu msigwa aache akili za kitoto…kuchafua watu bila sababu…mawasiliano wa cdm wakimpeleka mahakamani atasemaje Tena?Msigwa sikuelewi, mwenyekiti wa sasa ni nani? Mfano niseme "hongera raisi wetu" sio lazima niseme mama, inajulikana.
Hivi huyu ni mchungaji kwel au ndio wale wachungaji wa mchongo?Msigwa angetulia tu,kuliko kupiga makelele,Raia wanamuona mjinga,yeye anaona sifa
Hana la kumfanya Mbowe zaidi ya kupiga kelele huku na huko
Msigwa ni mhuni kama wahuni wengine tu huko CCM.Hivi huyu ni mchungaji kwel au ndio wale wachungaji wa mchongo?
Mchungaji wa ukwel hawezi kuleta taarabu za kijinga mitandaoni
Msigwa ni akili kubwa na ndio maana ameona aondoke huko mapema kuliko kuwa kwenye chama kilichopoteza Dira na muelekeoMsigwa alikuwa akili kubwa, kahamia CCM amekuwa chawa kukuzidi hata wewe
Kazi ya utumishi wa Mungu ni kuongea ukweli.mtumishi wa Mungu Msigwa anaendelea kuongea ukweli na kuwafumbua macho wale wafuasi wa CHADEMA wasiojitambuaHivi huyu ni mchungaji kwel au ndio wale wachungaji wa mchongo?
Mchungaji wa ukwel hawezi kuleta taarabu za kijinga mitandaoni
Wahuni wapo huko kwenye Sacco's yenuMsigwa ni mhuni kama wahuni wengine tu huko CCM.
Tumwamin Nape na yule Dc wa Longido,au tukuamini wewe chawa?Anakuwaje na njaa ya madaraka wakati amekuwa mbunge kwa miaka takriban kumi?