Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe chawa nasema hivi sina muda wa kujadili matokeo ya mtu na sina kawaida ya kujadili watu, wewe uliyekosa kazi unayeishi kwa umbea kusema mambo ya watu endelea.GREAT MINDS DISCUSS IDEAS,AVERAGE MINDS DISCUSS EVENTS,SMALL MINDS DISCUSS PEOPLE.Sitaki uruke ruke na kutukana matusi kama mlevi wa gongo.
nataka unijibu hayo matokeo ya Mbowe unayosema unayafahamu yapoje?jibu hili swali ndio tuendelee na mjadala. Matusi tukana lakini nataka unijibu swali hili.
Hapa hatujadili wafu hapa.nataka unijibu haraka sana bila kupinda pinda kuwa matokeo ya Mbowe kidato cha sita yapoje? Si umesema unayafahamu? Kigugumizi cha nini?Wewe chawa nasema hivi sina muda wa kujadili matokeo ya mtu na sina kawaida ya kujadili watu, wewe uliyekosa kazi unayeishi kwa umbea kusema mambo ya watu endelea.GREAT MINDS DISCUSS IDEAS,AVERAGE MINDS DISCUSS EVENTS,SMALL MINDS DISCUSS PEOPLE.
Kumbe huna akili.Usichoelewa nini kuwa mimi sijadili habari binafsi za watu, huu umbea washirikishe wajinga wenzako mnaoishi kwa uchawa na umbea, mwanaume kuwa mbea ndiyo mwanzo wa ushoga au tayari wewe ni upinde?Hapa hatujadili wafu hapa.nataka unijibu haraka sana bila kupinda pinda kuwa matokeo ya Mbowe kidato cha sita yapoje? Si umesema unayafahamu? Kigugumizi cha nini?
Jibu swali ,matokeo ya mbowe kidato cha sita yapoje??? Unayafahamu? Unafahamu Elimu yake?Kumbe huna akili.Usichoelewa nini kuwa mimi sijadili habari binafsi za watu, huu umbea washirikishe wajinga wenzako mnaoishi kwa uchawa na umbea, mwanaume kuwa mbea ndiyo mwanzo wa ushoga au tayari wewe ni upinde?
wanaompa jukwaa watamlipia,taifa linaendeshwabkinamnaHizo Waingereza wanaita semantics tu. hakuna kinachobadilika. Bilioni 5 zinaendelea kusubiriwa.
Ushoga wako huko huko. Kwani unataka kuolewa na huyo Mbowe hadi unaulizia hivyo taarifa zake? Hivi wewe ni mwanaume kweli ?Jibu swali ,matokeo ya mbowe kidato cha sita yapoje??? Unayafahamu? Unafahamu Elimu yake?
Huyo labda aishie kukuroga tu 😂Samahani muNGU
Sibishani na muuaji?
Nisije nikauawa bure !!
Wewe unayajua matokeo ya Viongozi wako wa Juu Wote? 😂😂😂😂Hapa hatujadili wafu hapa.nataka unijibu haraka sana bila kupinda pinda kuwa matokeo ya Mbowe kidato cha sita yapoje? Si umesema unayafahamu? Kigugumizi cha nini?
Mtumishi wa mungu yupi?Wewe ndiye kaa kimya na kumuacha Mtumishi wa MUNGU auseme ukweli wote ili watanzania wapate kuelewa utapeli na udalali wa CHADEMA
Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako. Msigwa huyo siyo mtumishi kwani alipotoka SA alipewa nguo za mitumba nyingi aje awagawie bure watu wasiojiweza lakini yeye akaziuza zote,huyo ni fisadi.Wewe ndiye kaa kimya na kumuacha Mtumishi wa MUNGU auseme ukweli wote ili watanzania wapate kuelewa utapeli na udalali wa CHADEMA
Huyo labda aishie kukuroga tu 😂
Ndiyo maana kajiunga na majangili wenzakeUsilitaje bure jina la Bwana Mungu wako. Msigwa huyo siyo mtumishi kwani alipotoka SA alipewa nguo za mitumba nyingi aje awagawie bure watu wasiojiweza lakini yeye akaziuza zote,huyo ni fisadi.
Huyu ni shetani ana laana ya ukoo wake😂😂😂Siku izi kuna Watu wanajiona miungu ..Hasa wakisha kujipendekeza na kukaa kwenye nguo chafu za wakubwa wakawa CHAWA .
Lukas Mwashambwa naye kawa mungu mtu.
Ana uhakika wa chama chake na mamalia wake watakaa madarakani milele na milele . Kwao hakuna Mungu akipenda 🤣🤣🤣🤣.
Wataingia tu porini na kupata ushindi. Nadhani huko porini kuna kura nyingi za wanyama wanazipata🤣🤣🤣😂.
Yes, ndio maana wanafukuzwa Wamasai ili wabaki wanyama ambao ndio wapigakura wao huko porini kama alivyoweka wazi DC wa Longido.
Hao Wanaamua nani aishi na nani afe.
Tapeli wa kweli ameshatajwa na Nape,Dc Longido na yule poti, Msigwa njaa ya madaraka tu!Wewe ndiye kaa kimya na kumuacha Mtumishi wa MUNGU auseme ukweli wote ili watanzania wapate kuelewa utapeli na udalali wa CHADEMA
Akina Nchimbi hawatukani anawaona wajinga, ngoja anyooshwe vizuriTatizo la mchungaji Msigwa ni Elimu ndogo
Sasa Ndio atamjua Mbowe na marafiki zake wa Upendo Kwaya Kijitonyama 😂😂😂😂😂
Nimesema matusi tukana lakini ulete majibu hapa.si ulijifanya unayafahamu matokeo yake? Uliyapatia wapi hayo matokeo? Ulikuwa unafuatilia matokeo ya watu ili upate nini ewe mshamba usiyejitambua?😀😀😀Ushoga wako huko huko. Kwani unataka kuolewa na huyo Mbowe hadi unaulizia hivyo taarifa zake? Hivi wewe ni mwanaume kweli ?
Anakuwaje na njaa ya madaraka wakati amekuwa mbunge kwa miaka takriban kumi?Tapeli wa kweli ameshatajwa na Nape,Dc Longido na yule poti, Msigwa njaa ya madaraka tu!