Pre GE2025 Peter Msigwa: Nimemtuhumu Mwenyekiti wa Chama, sijamtuhumu Mbowe

Pre GE2025 Peter Msigwa: Nimemtuhumu Mwenyekiti wa Chama, sijamtuhumu Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
I'm trying to imagine; mfano tu labda mama aamue kuachilia irais mwakani or aamue kuendelea na urais lakini baada ya kurudi aamue kuachana na Msigwa, yaani Msigwa abakie tu kama mwana Chama wa kawaida, huyu "mtumishi" wa mungu ataendelea kua mwana Chama huko CCM au ataamua kurudi alikotoka? Huaga ni ngumu sana kuishi na kusema mambo usioyaamini.
 
Back
Top Bottom