Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
miundo mbinu ipi imekamilika?Acha kuwa akili mgando wewe mikopo kwaajili ya kujenga miundo mbinu haina tatizo kabisa kwa watu wenye akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
miundo mbinu ipi imekamilika?Acha kuwa akili mgando wewe mikopo kwaajili ya kujenga miundo mbinu haina tatizo kabisa kwa watu wenye akili.
Ni last kick of dying horse, haya masalia ya Sukuma gang ni lazima kuyaeliminate.Laana ya kumuweka Mbowe ndani inawatafuna.
Tukiwaambia mnatuona sisi ni wapingaji wa kila kitu. Jioneeni wenyeweAma kweli kimeumana!
Video nimekuwekea hapo chini na kilichonistaajabisha mwishoni mwa video shuhudia mwenyewe burungutu la minoti akiwahonga waandishi wa habari eti ya nauli.
View attachment 2060683
Hueleweki shida yako ni miundombinu ikamilike au isijengwe kwa mkopo?miundo mbinu ipi imekamilika?
Tunaye huyu mpaka 2035, na Magufuli hafufuki analiwa na funza.Huyo Rais Samia atuachie nchi yetu hatumtaki
Hapa sasa chezo ndiyo linaanza kunoga. Mungu hadhihakiwi,watamalizana wenyewe kwa wenyewe,bado kidogo tu tutaambiwa alikozikwa Ben Saanane na Azori Gwanda na nani alimpiga Tundu Lissu risasi na alitumwa na nanimkuu Matola ngoja nikuambie kitu,huyu spika ni sukuma gang,na hao covid 19 wameingia kwa mgongo wa sukuma gang,mama anazingua sana ila pia kama sukuma gang wamejishtukia kwahiyo wanafanya juu chini mama aonekane mbaya ingawa pia mama anakopa sana. Najiuliza mama alikuwa makamu wa sukuma gang sasa hivi amewakataa,je 2025 itakwaje
Unataka wampe uspika baba yakoJob Ndugai hana hadhi ya kuwa spika sema ni vile alikuwa anabebwa na punguani mwenzie lakini eti naye ameanza kuvimba. Maajabu haya!
Gwajima alimwambia Lisu kesho atapigwa lisasi akamuita muongo.Hapa sasa chezo ndiyo linaanza kunoga. Mungu hadhihakiwi,watamalizana wenyewe kwa wenyewe,bado kidogo tu tutaambiwa alikozikwa Ben Saanane na Azori Gwanda na nani alimpiga Tundu Lissu risasi na alitumwa na nani
Huyo Rais Samia atuachie nchi yetu hatumtaki
Unataka wampe uspika baba yako
Kidogo sasa 🤣🤣🤣CCM tumerogwa?
Khaa!
2025 inajulikana wazi sio mjadala,hii ni awamu ya tanu.mkuu Matola ngoja nikuambie kitu,huyu spika ni sukuma gang,na hao covid 19 wameingia kwa mgongo wa sukuma gang,mama anazingua sana ila pia kama sukuma gang wamejishtukia kwahiyo wanafanya juu chini mama aonekane mbaya ingawa pia mama anakopa sana. Najiuliza mama alikuwa makamu wa sukuma gang sasa hivi amewakataa,je 2025 itakwaje
Maneno na point uliyoandika ya kufungia mwaka 2021 nenda popote ulipo agiza k-vant nakuja kulipa wamwache mama afanye kazi ndio Rais wa nchiJob Ndugai hana hadhi ya kuwa spika sema ni vile alikuwa anabebwa na punguani mwenzie lakini eti naye ameanza kuvimba. Maajabu haya!
Kwaza arudishe mamilioni aliyopiga wakati ameenda sijui kutibiwa indiaMnafki mkubwa huyo, kama ana uchungu na Tax payers awaondowe bungeni kwanza wahuni wenzake wa covid 19 wanaopokea mshahara haram ilihali siyo wabunge.
Wewe unamatatizo na unaonekana ni kilaza wakutupwamiundo mbinu ipi imekamilika?
Ni last kick of dying horse, haya masalia ya Sukuma gang ni lazima kuyaeliminate.
Huyo kichaa ndio last hope yao, imeonekana Chakubanga ni debe tupu.