Peter Zakaria aanza kurudisha mali zote alizonunua yeye na mkewe serikalini

Peter Zakaria aanza kurudisha mali zote alizonunua yeye na mkewe serikalini

Magufuli sijawahi kutofautiana naye sana katika mambo ya msingi, ninapotofautiana naye sana ni utekelezaji wake.

Anaweza kupanga mpango wa kuteka watu in an extra judicial process, ili awatishe warejeshe mali.

Na wakatishika, wakarejesha mali.

Kwa mtu anayetaka results, atasema tatizo liko wapi, si wamerejesha mali?

Ila kwangu mimi ninayeangalia hata process na kutaka rule of law ifuatiliwe, watu washtakiwe mahakamani, kwa uwazi, kama mali zinataifishwa zitaifishwe kwa uwazi, tujue zinaenda wapi, mtuhumiwa apatiwe fair hearing etc, ukiniletea habari za sreikali kuteka wananchi wake yenyewe kama shortcut ya kupata justice, nitaipinga vibaya sana hiyo serikali.

Hapo ndipo ninapokosana na Magufuli.

Sasa hivi tunaambiwa anarudisha mali, lakini hata hatujui anarudisha wapi.

Inawezekana mwizi mmoja kakamatwa, katishwa, anarudisha mali kwa mwizi mwingine anayempenda Magufuli.

Mali hazirudi serikalini.

Sasa hapo nitafurahia nini? Kwamba mwizi asiyemtaka Magufuli kashikwa, kaporwa mali, halafu mali zikachukuliwa na mwizi mwingine anayempenda Magufuli?

Hizi habari za nidhamu kazini, kuongeza royalties na kodi kutoka extractive industry etc, kote sina objection kimsingi. Objection ni jinsi nanavyofanya mambo, si kuhusu anachotaka kufanya.
Hayo ni mapungufu kama mapungufu ya rais yeyote duniani.
 
Kwa kubadili namba za gari na kuweka namba za gari ya Mbusiro maana yake ni kwamba Zakaria alitakiwa kuuawa ( sijui kwa nini ) na Mbusiro alitakiwa apewe kesi ya mauaji ya Zakaria ( pia sijui kwanini ) , Bali sasa ieleweke kwamba Mbusiro naye hayuko salama .

Hakika Shetani hana rafiki .
 
Magufuli ni kama kubwa la manyani linalopiga ovyo ovyo bila mpango.

Katika kupiga piga ovyoovyo bila mpango, kila mara 15 linapopiga, halikosi kupatia hata mara moja.
Tunamsubiri akimaliza zile nyumba na ile meli na yeye atueleze manake muda huo hakuwa mwenye mamlaka, na alitenda akiwa hana kinga, fanya yoote na yeye tunamsubiri
 
Tunamsubiri akimaliza zile nyumba na ile meli na yeye atueleze manake muda huo hakuwa mwenye mamlaka, na alitenda akiwa hana kinga, fanya yoote na yeye tunamsubiri
Labda mpindue nchi.

Maana kwenye kura hata mkiwashinda wanapindua matokeo.

Na as long as anayeshika urais ni CCM, atalindwa tu.

Maana CCM hawajawahi kuacha utamaduni wa kulindana.
 
Hapana, Obama hajawahi kusema atawapiga shangazi za wapinzani wake.

Hayo si mapungufu kama ya rais yeyote duniani.

Hayo ni mastaajabu na mauzauza ya kujitakia.
Kwani mapungufu lazima yafanane?
Obama hana Mapungufu yake?

Obama hajavamia Nchi za watu na kuua mpaka alijuta?
 
Magufuli ni kama kubwa la manyani linalopiga ovyo ovyo bila mpango.

Katika kupiga piga ovyoovyo bila mpango, kila mara 15 linapopiga, halikosi kupatia hata mara moja.

Sasa mkubwa, akifanya hivyo mara mbili hauoni atazidi kuumiza wengi? Hapo ataumiza 28 wasio na hatia na kupatia wawili tu.

Kwanini asiboreshe uwezo wake angalau akipiga mara, nne apatie wawili?
 
Sasa mkubwa, akifanya hivyo mara mbili hauoni atazidi kuumiza wengi? Hapo ataumiza 28 wasio na hatia na kupatia wawili tu.

Kwanini asiboreshe uwezo wake angalau akipiga mawa nne apatie wawili?
Ndicho kitu ninachopigia kelele kila siku hapa.

Ila watu wengi bado hawajaelewa.
 
General Mangi

Figure of speech, kusema atawapiga shangazi wa wapinzani wake ni kujikojolea na kujiharishia jukwaani katika standards za kimataifa.

Yani hapo vikundi vya haki za kinamama, kina TAMWA, TGNP etc vilitakiwa vimshikie mabango, watu wa NGOs za kuzuia wanawake kupigwa wafanye maandamano etc.

Tatizo, Tanzania hakuna standards za kimataifa.

Na ndiyo maana tunabaki masikini.

Viongozi hawapati pressure, wanajikojolea majukwaani wanavyotaka.
 
Choices have consequences
Damn right.

In Physics, Newton's Third Law says every action has an equal and opposite reaction.

In some Eastern philosophies, they call it "Karma".

Pablo Escobar alikuwa anashika bunduki anawaambia wafuasi wake sisi majambazi, tunapigana, tunaua au tunakufa,hakuna kulia.
 
Back
Top Bottom