Peter Zakaria aanza kurudisha mali zote alizonunua yeye na mkewe serikalini

Peter Zakaria aanza kurudisha mali zote alizonunua yeye na mkewe serikalini

Ndio ajue alichokuwa anakipigania amekipata.. Unaishangia sisiemu huku unajua kabisa unalinda madlai ysko yanayowakandamiza wengine.
 
Sasa mkubwa, akifanya hivyo mara mbili hauoni atazidi kuumiza wengi? Hapo ataumiza 28 wasio na hatia na kupatia wawili tu.

Kwanini asiboreshe uwezo wake angalau akipiga mara, nne apatie wawili?
Kwahiyo hao wawili watakaoumia wewe umewadharau?
 
Kwahiyo hao wawili watakaoumia wewe umewadharau?

Sijadharau, kimsingi hatuhitaji anaepigapiga hovyo, tunahitaji anaepiga mara moja kwa kumlenga mhusika.

Kwa kuwa aliyeko ndio hivyo tena, angeliweza kujitahidi akaboresha uwezo wake akapunguza kiwango cha wahanga wasio na hatia, ingependeza. Akiweza kubadilika kufikia kiwango cha kulenga na kupiga mhusika mmoja itakua vizuri zaidi.
 
Kama shida ni kununua mali za NCU mbona akina Simon Kisenha wako nje wanapeta na ma UDART tu? Wote wakamatwe na hata waliouza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa na wenyewe wakamatwe kwa uhujumu uchumi!!
Hakuna jiwe litakalosalia.
Labda kama ni wasu K.
Ila makabila mengine wote lazima itakula kwao
 
Serikali inarudishiw mali zake na bado kuna mataira wanalalamika!
Totally pathetic walahi!
Hatulalamiki mkuu ndiyo maana tunasisitiza nyumba za serikali zilizouzwa kwa bei ya kutupa zirudishwe serikalini na muuzaji afunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.
 
kawaulize chadema wenye halmashauri ya jiji
Mwaka 2015,kina kubenea na mdee walikua wanabweka kama mbwa koko,na waliapa kuifufua uda.Uongozi sio kupiga kelele bulaza,alichofanyiwa huyo zakaria,wezi wenzie wote wataanza kurudisha maljengo walionunua kwa elfu ishirini.Moshi huko tayari watu saba ndani
Umepanic.

Serikali ndiyo yenye jukumu la kurudisha mali zote za UDA pamoja na nyumba za serikali zilizouzwa kwa bei ya kutupa pia zirejeshwe na wauzaji nao wafunguliwe kesi za uhujumu uchumi.
 
Kwa kubadili namba za gari na kuweka namba za gari ya Mbusiro maana yake ni kwamba Zakaria alitakiwa kuuawa ( sijui kwa nini ) na Mbusiro alitakiwa apewe kesi ya mauaji ya Zakaria ( pia sijui kwanini ) , Bali sasa ieleweke kwamba Mbusiro naye hayuko salama .

Hakika Shetani hana rafiki .
hii ilikuwaje mkuu? wanausalama walikua na gari lenye namba za mbusiro?
 
Serikali inarudishiw mali zake na bado kuna mataira wanalalamika!
Totally pathetic walahi!
Na pesa jee walizotoa kununua mali hizo?mbona MO hanyang'anywi?Jee siku zijazo chombo chochote cha serikali au ushirika ikitangaza kuuza chochote kuna mtu atanunua?maana baada ya miaka utaambiwa urejeshe
 
Magufuli sijawahi kutofautiana naye sana katika mambo ya msingi, ninapotofautiana naye sana ni utekelezaji wake.

Anaweza kupanga mpango wa kuteka watu in an extra judicial process, ili awatishe warejeshe mali.

Na wakatishika, wakarejesha mali.

Kwa mtu anayetaka results, atasema tatizo liko wapi, si wamerejesha mali?

Ila kwangu mimi ninayeangalia hata process na kutaka rule of law ifuatiliwe, watu washtakiwe mahakamani, kwa uwazi, kama mali zinataifishwa zitaifishwe kwa uwazi, tujue zinaenda wapi, mtuhumiwa apatiwe fair hearing etc, ukiniletea habari za sreikali kuteka wananchi wake yenyewe kama shortcut ya kupata justice, nitaipinga vibaya sana hiyo serikali.

Hapo ndipo ninapokosana na Magufuli.

Sasa hivi tunaambiwa anarudisha mali, lakini hata hatujui anarudisha wapi.

Inawezekana mwizi mmoja kakamatwa, katishwa, anarudisha mali kwa mwizi mwingine anayempenda Magufuli.

Mali hazirudi serikalini.

Sasa hapo nitafurahia nini? Kwamba mwizi asiyemtaka Magufuli kashikwa, kaporwa mali, halafu mali zikachukuliwa na mwizi mwingine anayempenda Magufuli?

Hizi habari za nidhamu kazini, kuongeza royalties na kodi kutoka extractive industry etc, kote sina objection kimsingi. Objection ni jinsi nanavyofanya mambo, si kuhusu anachotaka kufanya.
Mkuu hizo mali za NCU ziliuzwa na bank ambapo wao ncu walikopa pesa za kununulia pamba,mtu kanunua mali kihalali mpka kupewa hati,inakuaje unamuambia arudishe badala ya kumlipa gharama zke?kinachofanyika sio sawa
 
Nataka kuamini sasa ule msemo wa "Kiendacho Lazima Kirudi" umeqnza kufanya kazi kwa huyu jamaa, kwa huyu jamaa sidhani kama ishu kubwa ni mali za Ushirika ila ninaamini Damu aliyoimwaga na Roho za watu alokuwa akiziteketeza akijiona yeye ndiye mungu mtu wa Tarime na mkoa mzima wa Mara sasa zinamrudia. Sina hakika kama wengi watanielewa ila muda ukifika mtaelewa
 
Mkuu hizo mali za NCU ziliuzwa na bank ambapo wao ncu walikopa pesa za kununulia pamba,mtu kanunua mali kihalali mpka kupewa hati,inakuaje unamuambia arudishe badala ya kumlipa gharama zke?kinachofanyika sio sawa
serikali zote dhalimu hazifuati sheria
 
Kwa kubadili namba za gari na kuweka namba za gari ya Mbusiro maana yake ni kwamba Zakaria alitakiwa kuuawa ( sijui kwa nini ) na Mbusiro alitakiwa apewe kesi ya mauaji ya Zakaria ( pia sijui kwanini ) , Bali sasa ieleweke kwamba Mbusiro naye hayuko salama .

Hakika Shetani hana rafiki .
Mkuu samahani huyo Mbusiro ni nani na amafanya nini na imekuaje watu wa usalama wachague kutumia namba za gari la Mbusiro?
 
Atumie mahakama na sio ubabe ubabe tu!wanannchi tutaanza kumuogopa kwa haya anayofanya ,wale majaji wakuu wastaafu walimpa ushauri mzuri sana sijui kwanini aufuati ?
 
Then utawala huu ukipita atakuja kudai hizo mali zake tena mahakamani sio?
 
mmnh 'watapata tabu sana'

lakini kama ni za kwake kihalali,si awachallenge magufuli na ccm yake through court...
good idea but how ?wakati our judiciary haiko huru?kipindi kitakapofika kwa majaji na mahakimu kupatikana kwa watarajiwa kuomba nafasi hizo na kuhojiwa na kamati ya bunge ya sheria na katiba hapo ndipo tutapata nafasi ya kuishitaki serikali mahakamani,but now mtapata tabu sana na muendelee kusubiri meli ya noah pale KIA.
 
Back
Top Bottom