Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwache afilisiwe ili nayeye apate taaabu sana!!Kufilisiwa kwa lugha nyingine. Wakitoka gerezan hawana kitu wanaanza kusumbuka tena
Siku hizi jiwe yeye ndo mahakama,ndo serikali,bungemmnh 'watapata tabu sana'
lakini kama ni za kwake kihalali,si awachallenge magufuli na ccm yake through court...
[emoji26][emoji26][emoji26]Sikujua kama plate number ilibadilishwa halafu wamefeli na kibano kimebadilika, kama walikuwa wana nia njema kwanini wabadilishe plate numbee
kama unalijua hilo mbona ulikua unaruka ruka wakati jacobo na kubenea wanawadanganyaUmepanic.
Serikali ndiyo yenye jukumu la kurudisha mali zote za UDA pamoja na nyumba za serikali zilizouzwa kwa bei ya kutupa pia zirejeshwe na wauzaji nao wafunguliwe kesi za uhujumu uchumi.
Nchi hii ndugu yangu tumekuwa majinga majinga sana!! Utafikri Zakaria alienda kujiuzia mwenyewe!! Mbona akina Gachuma nao walifaidi mali za NCU? Wote warudishe hizo mali walizojiuzia kwa bei ya kutupwa!! Mimi nitamwunga mkono huyu mzee kama atagiza kwamba aliyeuza nyumba za serikali kwa bei chee naye akamatwe kwa uhujumu uchumi. Tangu siku ya agizo hilo mimi nitatangaza hadharani kwamba namwunga mkono!!Unakuaje muhujumu uchumi uliyeuziwa kwa kufuata sheria zote zilizowekwa! Labda hao walioidhinisha kuuza mali za umma ndiyo wahujumu! Kwa maana hiyo wa mwanzo kukamatwa na kushtakiwa wawe Rais Mkapa na Magufuli!
Zakaria naye anataka kufanya haraka tu, kwa nini asiwatumie wanasheria ndio waongee yeye akae kimya!! Anaogopa kukaa jera? Kwani jera walitengenezewa akina nani?Mkuu hizo mali za NCU ziliuzwa na bank ambapo wao ncu walikopa pesa za kununulia pamba,mtu kanunua mali kihalali mpka kupewa hati,inakuaje unamuambia arudishe badala ya kumlipa gharama zke?kinachofanyika sio sawa
Mimi sijui aliyeuza hizo nyumba, Rais wa sasa hivi ndiye atakuwa anafahamu, kwa nini amefahamu walionunua mali za NCU, nyumba za serikali ndizo ashindwe kujua? Atakauwa anajua bwana!!Kwa hiyo Mh. Mkapa nae akamatwe kwa kuuza nyumba za serikali?
Kwakweli lazima apate tabu sanaMwache afilisiwe ili nayeye apate taaabu sana!!
Kwani yeye wakati anauziwa alikuwa hajui kama ni mali za shirika?mmnh 'watapata tabu sana'
lakini kama ni za kwake kihalali,si awachallenge magufuli na ccm yake through court...
Wote hao tunawafuata mkuu. Wasikupe tabu hakuna mali ya serikali itakayopotea. Kwali ule msemo wa lazima mali iliyoibwa kuna sehem yakutoke umeusahauKama shida ni kununua mali za NCU mbona akina Simon Kisenha wako nje wanapeta na ma UDART tu? Wote wakamatwe na hata waliouza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa na wenyewe wakamatwe kwa uhujumu uchumi!!
Tunakuja mkuu ndio tumeanzaMali za UDA vipi jamani??
Kama dhulma mbina hufatwi wewe. Hawa walikuwa ndio wanajifanya mishen town.Mbaya sana awamu hii ni dhuluma kwa kwenda mbele! mfanyabiashara ni adui.Mungu yupo lakini
Zinarudi serikalini mkuu hizi wala usiwe na wasiwasiMagufuli sijawahi kutofautiana naye sana katika mambo ya msingi, ninapotofautiana naye sana ni utekelezaji wake.
Anaweza kupanga mpango wa kuteka watu in an extra judicial process, ili awatishe warejeshe mali.
Na wakatishika, wakarejesha mali.
Kwa mtu anayetaka results, atasema tatizo liko wapi, si wamerejesha mali?
Ila kwangu mimi ninayeangalia hata process na kutaka rule of law ifuatiliwe, watu washtakiwe mahakamani, kwa uwazi, kama mali zinataifishwa zitaifishwe kwa uwazi, tujue zinaenda wapi, mtuhumiwa apatiwe fair hearing etc, ukiniletea habari za sreikali kuteka wananchi wake yenyewe kama shortcut ya kupata justice, nitaipinga vibaya sana hiyo serikali.
Hapo ndipo ninapokosana na Magufuli.
Sasa hivi tunaambiwa anarudisha mali, lakini hata hatujui anarudisha wapi.
Inawezekana mwizi mmoja kakamatwa, katishwa, anarudisha mali kwa mwizi mwingine anayempenda Magufuli.
Mali hazirudi serikalini.
Sasa hapo nitafurahia nini? Kwamba mwizi asiyemtaka Magufuli kashikwa, kaporwa mali, halafu mali zikachukuliwa na mwizi mwingine anayempenda Magufuli?
Hizi habari za nidhamu kazini, kuongeza royalties na kodi kutoka extractive industry etc, kote sina objection kimsingi. Objection ni jinsi nanavyofanya mambo, si kuhusu anachotaka kufanya.
Mbona hatujamfuata bakhresa au Mo. Tulia tufanye kazi mkuuchuki na roho za kimasikini zinaizamisha nchi, 2020 hatunywi tena "pombe"
Ukipiga nyani usimuangalie sura....Nyani ni wale waliohujumu uchumi wakachekewaMagufuli ni kama kubwa la manyani linalopiga ovyo ovyo bila mpango.
Katika kupiga piga ovyoovyo bila mpango, kila mara 15 linapopiga, halikosi kupatia hata mara moja.
Sasa kama kila kitu hujui sasa unajuaje azirudishwi NCU??Magufuli sijawahi kutofautiana naye sana katika mambo ya msingi, ninapotofautiana naye sana ni utekelezaji wake.
Anaweza kupanga mpango wa kuteka watu in an extra judicial process, ili awatishe warejeshe mali.
Na wakatishika, wakarejesha mali.
Kwa mtu anayetaka results, atasema tatizo liko wapi, si wamerejesha mali?
Ila kwangu mimi ninayeangalia hata process na kutaka rule of law ifuatiliwe, watu washtakiwe mahakamani, kwa uwazi, kama mali zinataifishwa zitaifishwe kwa uwazi, tujue zinaenda wapi, mtuhumiwa apatiwe fair hearing etc, ukiniletea habari za sreikali kuteka wananchi wake yenyewe kama shortcut ya kupata justice, nitaipinga vibaya sana hiyo serikali.
Hapo ndipo ninapokosana na Magufuli.
Sasa hivi tunaambiwa anarudisha mali, lakini hata hatujui anarudisha wapi.
Inawezekana mwizi mmoja kakamatwa, katishwa, anarudisha mali kwa mwizi mwingine anayempenda Magufuli.
Mali hazirudi serikalini.
Sasa hapo nitafurahia nini? Kwamba mwizi asiyemtaka Magufuli kashikwa, kaporwa mali, halafu mali zikachukuliwa na mwizi mwingine anayempenda Magufuli?
Hizi habari za nidhamu kazini, kuongeza royalties na kodi kutoka extractive industry etc, kote sina objection kimsingi. Objection ni jinsi nanavyofanya mambo, si kuhusu anachotaka kufanya.