Peter Zakaria aanza kurudisha mali zote alizonunua yeye na mkewe serikalini

Peter Zakaria aanza kurudisha mali zote alizonunua yeye na mkewe serikalini

Ogopeni sana kutawaliwa na jitu fukara kutoka familia maskini......mtapata taabu sana!!!
Jitu lenyewe halina akili yoyote hata ya kuuza bamia au bamia....hivyo kila kaiona mtu amefanya biashara zake amefanikiwa yeye anaona KAPIGA DILI....!!!Ni Shidaaaaaaaaaaaaaa!
 
Kwa nn hatafutwi na kusumbuliwa au kubanwa alieuza badala yake wanakomaa na alienunua. Kama alieuza ni serikali yenyew kwa nin sasa wamemgeuka wakati mauziano hutokana na makubaliano. What if kama hzo mali zingekua zimeuzwa kwa alie nje ya nchi. Me naona waliouza ndo wanamakosa
 
Umepanic.

Serikali ndiyo yenye jukumu la kurudisha mali zote za UDA pamoja na nyumba za serikali zilizouzwa kwa bei ya kutupa pia zirejeshwe na wauzaji nao wafunguliwe kesi za uhujumu uchumi.
kama unalijua hilo mbona ulikua unaruka ruka wakati jacobo na kubenea wanawadanganya
Aliewapa jina la tanapa hakukosea
 
Unakuaje muhujumu uchumi uliyeuziwa kwa kufuata sheria zote zilizowekwa! Labda hao walioidhinisha kuuza mali za umma ndiyo wahujumu! Kwa maana hiyo wa mwanzo kukamatwa na kushtakiwa wawe Rais Mkapa na Magufuli!
Nchi hii ndugu yangu tumekuwa majinga majinga sana!! Utafikri Zakaria alienda kujiuzia mwenyewe!! Mbona akina Gachuma nao walifaidi mali za NCU? Wote warudishe hizo mali walizojiuzia kwa bei ya kutupwa!! Mimi nitamwunga mkono huyu mzee kama atagiza kwamba aliyeuza nyumba za serikali kwa bei chee naye akamatwe kwa uhujumu uchumi. Tangu siku ya agizo hilo mimi nitatangaza hadharani kwamba namwunga mkono!!
 
Mkuu hizo mali za NCU ziliuzwa na bank ambapo wao ncu walikopa pesa za kununulia pamba,mtu kanunua mali kihalali mpka kupewa hati,inakuaje unamuambia arudishe badala ya kumlipa gharama zke?kinachofanyika sio sawa
Zakaria naye anataka kufanya haraka tu, kwa nini asiwatumie wanasheria ndio waongee yeye akae kimya!! Anaogopa kukaa jera? Kwani jera walitengenezewa akina nani?
 
Kama shida ni kununua mali za NCU mbona akina Simon Kisenha wako nje wanapeta na ma UDART tu? Wote wakamatwe na hata waliouza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa na wenyewe wakamatwe kwa uhujumu uchumi!!
Wote hao tunawafuata mkuu. Wasikupe tabu hakuna mali ya serikali itakayopotea. Kwali ule msemo wa lazima mali iliyoibwa kuna sehem yakutoke umeusahau
 
Keshaanza kufilisiwa akitoka huko choka mbaya hadi Yale mabasi atayauza tu kwa ajili ya hii kesi
 
Magufuli sijawahi kutofautiana naye sana katika mambo ya msingi, ninapotofautiana naye sana ni utekelezaji wake.

Anaweza kupanga mpango wa kuteka watu in an extra judicial process, ili awatishe warejeshe mali.

Na wakatishika, wakarejesha mali.

Kwa mtu anayetaka results, atasema tatizo liko wapi, si wamerejesha mali?

Ila kwangu mimi ninayeangalia hata process na kutaka rule of law ifuatiliwe, watu washtakiwe mahakamani, kwa uwazi, kama mali zinataifishwa zitaifishwe kwa uwazi, tujue zinaenda wapi, mtuhumiwa apatiwe fair hearing etc, ukiniletea habari za sreikali kuteka wananchi wake yenyewe kama shortcut ya kupata justice, nitaipinga vibaya sana hiyo serikali.

Hapo ndipo ninapokosana na Magufuli.

Sasa hivi tunaambiwa anarudisha mali, lakini hata hatujui anarudisha wapi.

Inawezekana mwizi mmoja kakamatwa, katishwa, anarudisha mali kwa mwizi mwingine anayempenda Magufuli.

Mali hazirudi serikalini.

Sasa hapo nitafurahia nini? Kwamba mwizi asiyemtaka Magufuli kashikwa, kaporwa mali, halafu mali zikachukuliwa na mwizi mwingine anayempenda Magufuli?

Hizi habari za nidhamu kazini, kuongeza royalties na kodi kutoka extractive industry etc, kote sina objection kimsingi. Objection ni jinsi nanavyofanya mambo, si kuhusu anachotaka kufanya.
Zinarudi serikalini mkuu hizi wala usiwe na wasiwasi
 
Magufuli ni kama kubwa la manyani linalopiga ovyo ovyo bila mpango.

Katika kupiga piga ovyoovyo bila mpango, kila mara 15 linapopiga, halikosi kupatia hata mara moja.
Ukipiga nyani usimuangalie sura....Nyani ni wale waliohujumu uchumi wakachekewa
 
Magufuli sijawahi kutofautiana naye sana katika mambo ya msingi, ninapotofautiana naye sana ni utekelezaji wake.

Anaweza kupanga mpango wa kuteka watu in an extra judicial process, ili awatishe warejeshe mali.

Na wakatishika, wakarejesha mali.

Kwa mtu anayetaka results, atasema tatizo liko wapi, si wamerejesha mali?

Ila kwangu mimi ninayeangalia hata process na kutaka rule of law ifuatiliwe, watu washtakiwe mahakamani, kwa uwazi, kama mali zinataifishwa zitaifishwe kwa uwazi, tujue zinaenda wapi, mtuhumiwa apatiwe fair hearing etc, ukiniletea habari za sreikali kuteka wananchi wake yenyewe kama shortcut ya kupata justice, nitaipinga vibaya sana hiyo serikali.

Hapo ndipo ninapokosana na Magufuli.

Sasa hivi tunaambiwa anarudisha mali, lakini hata hatujui anarudisha wapi.

Inawezekana mwizi mmoja kakamatwa, katishwa, anarudisha mali kwa mwizi mwingine anayempenda Magufuli.

Mali hazirudi serikalini.

Sasa hapo nitafurahia nini? Kwamba mwizi asiyemtaka Magufuli kashikwa, kaporwa mali, halafu mali zikachukuliwa na mwizi mwingine anayempenda Magufuli?

Hizi habari za nidhamu kazini, kuongeza royalties na kodi kutoka extractive industry etc, kote sina objection kimsingi. Objection ni jinsi nanavyofanya mambo, si kuhusu anachotaka kufanya.
Sasa kama kila kitu hujui sasa unajuaje azirudishwi NCU??
 
Back
Top Bottom