Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Kuwa wazi ueleweke, waongo utawajua kwa jinsi wanavyo ingiza maneno kimtegokama unalijua hilo mbona ulikua unaruka ruka wakati jacobo na kubenea wanawadanganya
Aliewapa jina la tanapa hakukosea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa wazi ueleweke, waongo utawajua kwa jinsi wanavyo ingiza maneno kimtegokama unalijua hilo mbona ulikua unaruka ruka wakati jacobo na kubenea wanawadanganya
Aliewapa jina la tanapa hakukosea
Kuna shida kubwa zaidi ya hiyo hta nikiisema hapa hamtanielewa. Kwa wanaomjua Zakaria amefanya mambo mengi sana ya kikatili nadhani wakati wa matajiri kuwaonea wanyinge umefikia tamati!Kama shida ni kununua mali za NCU mbona akina Simon Kisenha wako nje wanapeta na ma UDART tu? Wote wakamatwe na hata waliouza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa na wenyewe wakamatwe kwa uhujumu uchumi!!
Hii "pombe" 2020 tutainywa tu tupende tusipende, utaniambia.chuki na roho za kimasikini zinaizamisha nchi, 2020 hatunywi tena "pombe"
KABISA!!!!Matajari wakifilisika na nchi inafilisika.
Masikini mna tabu sana, kama ulicheza na mali zake ulitaka akuchekee??Kuna shi
Kuna shida kubwa zaidi ya hiyo hta nikiisema hapa hamtanielewa. Kwa wanaomjua Zakaria amefanya mambo mengi sana ya kikatili nadhani wakati wa matajiri kuwaonea wanyinge umefikia tamati!
....wao walimpenda nani wakati wakipora mali za ushirika !?Ila jiwe ana roho ya choyo ya kutopenda wenzie wawe nacho.
....kila mtu apambane na hali yake, usiibe kwakuwa wengine wanaiba !Kama shida ni kununua mali za NCU mbona akina Simon Kisenha wako nje wanapeta na ma UDART tu? Wote wakamatwe na hata waliouza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa na wenyewe wakamatwe kwa uhujumu uchumi!!
...yeye hakudhulumu mali ya ushirika !?Mbaya sana awamu hii ni dhuluma kwa kwenda mbele! mfanyabiashara ni adui.Mungu yupo lakini
....zee la kunyata litakuwa linatambaa !chuki na roho za kimasikini zinaizamisha nchi, 2020 hatunywi tena "pombe"
...kama unaahidi mbele ya bunge kuwa 'unalianzisha' then unategemea kulianzisha na nani kama si shangazi zako !....hao hao ndo wakuanza nao.Hapana, Obama hajawahi kusema atawapiga shangazi za wapinzani wake.
Hayo si mapungufu kama ya rais yeyote duniani.
Hayo ni mastaajabu na mauzauza ya kujitakia.
...waende nao hivyo hivyo kimtindo mtindo !Kwa kubadili namba za gari na kuweka namba za gari ya Mbusiro maana yake ni kwamba Zakaria alitakiwa kuuawa ( sijui kwa nini ) na Mbusiro alitakiwa apewe kesi ya mauaji ya Zakaria ( pia sijui kwanini ) , Bali sasa ieleweke kwamba Mbusiro naye hayuko salama .
Hakika Shetani hana rafiki .
....hawa akina 'muraa' ni shida sana !Magari yalifanya upekuzi!!