Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Nuance please....kama unaahidi mbele ya bunge kuwa 'unalianzisha' then unategemea kulianzisha na nani kama si shangazi zako !....hao hao ndo wakuanza nao.
Alianzishe kwa Shangazi wajomba anawaogopa?
Angelianzisha kwake mwenyewe alivyouza nyumba za umma kinyume na utaratibu ningemuona ana mantiki sana.