Petit man amuoa mtoto wa Gardner G Habash

Petit man amuoa mtoto wa Gardner G Habash

Hii ndio shida ya kuwa na mzazi msela kila mamuzi akifanya anafanya usela hivi kweli petiman kijana misheni town ndio wakuruhusu amuoe binti,ambaye profile yake safi binti msomi, mzuri kisura kweli ***** halali Jide akuache ujitambui bro petiman hana sifa za kumuoa binti yako hata Kama mapenzi upofu binti yako deserved decent man siyo hawa kina petiman

Bado siamini hii ni kick
 
Afu kuna mtu walisema eti..Mabeto..hawezi olewa na majizo kisa dini!

Hamisa huyu msaka pori??
Anataka madini hana mpango na dini!
Washajua.. anategemea msingi kiuno!
 
New music video in town... yale yale ya young D
 
Kwanini uwaite wenzio bogus mkuu? Wanasema kama hauwezi kuongea jambo zuri kuhusu mwenzako, bora ukae kimya.
Unaweza ukawa sahihi lakini kumbuka huo ni mtazamo wako tu mkuu. Unaheshimika sana hapa jukwaani.
Naona povu umelitoa kama lote
 
Back
Top Bottom