Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
AiseeeeDuh......
Gardner anazidi kupata hasara....
Yaani bogus 1 + bogus 2,what a heavy load of problems?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeeDuh......
Gardner anazidi kupata hasara....
Yaani bogus 1 + bogus 2,what a heavy load of problems?!
Na huyo Binti yake inasoma ngapi Mkuu?IQ ya Gardner inasoma 101 kwa mujibu Wa twaweza
Nani anakiheshimu kiazi?Kwanini uwaite wenzio bogus mkuu? Wanasema kama hauwezi kuongea jambo zuri kuhusu mwenzako, bora ukae kimya.
Unaweza ukawa sahihi lakini kumbuka huo ni mtazamo wako tu mkuu. Unaheshimika sana hapa jukwaani.
Kwanini my?Siamini
Muhuni ni nani?Huyo Gardner kakubalije mtoto wake aolewe na muhuni asee?
Tatizo wasichana hawajui kuchagua aina ya mume. Yule mtoto anadeserve mwanaume wa maana zaidiWakongwe mnaona makosa sasa
Usikute kashajazwaa
Mkuu mwēnzio hataki mpaka jua la jionì limfikie ndo aoleweKama ni kweli basi Karen kachemka. Ndoa saa hizi??
Kareen si kamalz chuo mwaka jana..ni mkubwa...sema hizi taarifa sio za kweliHuyo mtt wa Gardner si kizazi cha 2000?,mbona bado mdogo sana
Sio kareen...alaf kareen sio mtoto..mtu kamalza bachelor tangu mwaka jana ukoHuyo mtoto mbona mdogo? Mkuu picha za ushahidi tafadhali
Kumbe kashamaliza Na chuo!!??Sio kareen...alaf kareen sio mtoto..mtu kamalza bachelor tangu mwaka jana uko
Yaaa mwaka janaKumbe kashamaliza Na chuo!!??
Nilikua najua mtoto bado...Yaaa mwaka jana
Nilikua najua mtoto bado...
Kila la heri kwake. Naomba iwe kiki ya wimbo maana huyo mwanaume wa dar hamfaiMkuu mwēnzio hataki mpaka jua la jionì limfikie ndo aolewe
miss you mnoooMungu awafanyie wepesi katika maisha yao ya ndoa.
Hongera sana Petit
Mtoto mdogo em acheni izo bana demu kubwa lile kabisa sooner than later anaanza menopause...Huyo mtoto mbona mdogo? Mkuu picha za ushahidi tafadhali