Petition: Susia Azam TV, susia CECAFA challenge cup

Petition: Susia Azam TV, susia CECAFA challenge cup

Watu wamevalia mambo utasema wa uchungu wa kweli. Nchi zetu zinatushinda wanapigwa watu maiti zinaokotwa hovyo watu vyatuuu utasema hawasikii au kuona. Wale wanataka kwenda europe kinachotokea sio kitu kizuri. Swali kwanini wanakimbia nchi zao njia ya panya? Huko ndio tatizo tu andamane kuboresha serikali zetu mbovu umaskini wa kutupwa. Tusijafanye machampion leo wa haki za binadamu wakati sisi wenyewe hatuheshimiani.
Walishindwa hata kujihamasisha na kumpigania Gaddafi, leo kiherehere km kwapa! Mzigo kichwani, lenyewe tepetepe mijasho!
 
hilo la maiti lianzishie thread yake,naongelea kampuni yenye reputation clean kama AZAM kuafanya upuuzi huo...anzisha uzi wa kutetea haki za bongo na utoe solution yako tutakusapoti,mimi nimetoa solution ya AZAM TV kuwapa pressure cecafa wawaondoe libya maana hata serikali yao ipo under pressure,haya siyo matatizo ya kuyachekea ,huko oman kila siku watanzania wanauawa,tukipiga kelele tunakutana na comments za watu kama nyie
unadhani hata hao wa kuokotwa kwenye viroba ilianzaje? si kwa kupuuza?udikteta na mateso makuu yanaanzaje? si kwa kuona kama lile ni tatizo la wengien sio langu?
Basi utagomea mengi tu maana hata serikali yako ina uhusiano na Libya. Wamesema nini mpaka sasa iwe leo Azam. Huko kila siku wanakufa Oman kwa hiyo kwa mwaka wa Tz 360 wanakufa Oman. Piga picha za majeneza 360 tuone leta facts sio kudandia agenda tu, leo unauchungu sana na wa Nigeria hao wanaokufa kila siku Oman serikali yetu imefanya nini, uliwaambia watu wagome kupanda Oman Air. Tuache unafiki
 
two wrongs dont make
Basi utagomea mengi tu maana hata serikali yako ina uhusiano na Libya. Wamesema nini mpaka sasa iwe leo Azam. Huko kila siku wanakufa Oman kwa hiyo kwa mwaka wa Tz 360 wanakufa Oman. Piga picha za majeneza 360 tuone leta facts sio kudandia agenda tu, leo unauchungu sana na wa Nigeria hao wanaokufa kila siku Oman serikali yetu imefanya nini, uliwaambia watu wagome kupanda Oman Air. Tuache unafiki
Two wrongs don't make it right,unaruhusiwa kufurahia kitendo cha hao waarabu na una haki ya kushangilia kabisa ila na mimi pia nina haki ya kushinikiza azam tv na cecafa warevoke invitation ya libya,walete team nyingine au waache zibaki 8 maana zimbabwe wamejitoa
 
Leo nimeenda kununua bidhaa za Azam kutokana na ubora wao,, kesho pia nitaenda kununua bidhaa zao kutokana na ubora wao.


Hii thread imekaa kichuki mno sijaelewa lengo lake mleta uzi. Nimepitia comments zake ni matusi tu kwenda mbele. Watanzania wenzangu ivi tutafika kweli kwa style hii!!
 
View attachment 641128 Wote najua manajua kinachoendelea huko Libya,sasa hao wapuuzi ni mojawapo ya teams mwalikwakwenye michezo ya cecafa cup inayoanza kenya next week
Wdhamini wakuu ni Azam tv,

Nawaomba ndugu zangu tupaze sauti hao libya waondolewe kama haiwezekani tususie bidhaa za azam na cecafa yao kabisa
Kwa wale ambao wanabisha mbona waarabu hawataki kushirikiana kimichezona israel hadi leo?nasema hivi maana najua kuna watakaosema wachezaji hayawahusu,

Juzi tu mcheza judo wa Iran kaachia apigwe kwa maelekezo ya kocha baada ya kugundua next opponent ni mu israel
Imagine hayo majaamaa ya kiarabu yanatia team nairobi halafu yanafunga goal huku yakishangaliwa,yatatushangaa yenyewe
LETS BOYCOT AZAM TV AND CECAFA

Hao walioshikiwa bunduki umewajuwa vizuri?walioshikiliwa ndio wanaowauza wenzao. Hapo wameshikiliwa na "libyan armies" kwanini wanawauza wenzao na kuwafanya watumwa? Na sio walibya wanafanya hivyo ufikiriavyo. Sasa wewe umekuja kuigeuza hii taarifa...sijaelewa lengo ni nini... Kuwa mkweli mkuu!!! Waabeja sana mami,,, utakuwa umenielewa kijana
 
two wrongs dont make

Two wrongs don't make it right,unaruhusiwa kufurahia kitendo cha hao waarabu na una haki ya kushangilia kabisa ila na mimi pia nina haki ya kushinikiza azam tv na cecafa warevoke invitation ya libya,walete team nyingine au waache zibaki 8 maana zimbabwe wamejitoa
Mimi sijasema mawazo yako wrong ila uliposema watu Tz kila siku wanauliwa Oman, this serious kuliko hao wanigeria. Lazima tujuwe Libya hawana central Gov na hata Libya wasipokuja Cecafa so itasaidia nini mashindano yenyewe maiti bado kuzikwa tu.
 
mkimbilie tu hapo,ila wakati natukanwa hamuoni
hata mimi mwenyewe hapa natamani kukutukana ila tu basi najizuia.

kiukweli mada yako umeileta kwa chuki binafsi na kwa kukurupuka bila hata kutafakari mara mbili kabla ya kuponyeza kitufe cha upload.

wanaokutukana wana kila sababu ya kufanya hivyo.
 
hata mimi mwenyewe hapa natamani kukutukana ila tu basi najizuia.

kiukweli mada yako umeileta kwa chuki binafsi na kwa kukurupuka bila hata kutafakari mara mbili kabla ya kuponyeza kitufe cha upload.

wanaokutukana wana kila sababu ya kufanya hivyo.
haina shida we tukana tu hata inbox,tutatukanana hukohuko,BOYCOT AZAM TV<BOYCOT CECAFA
 
View attachment 641094 Azam ni sponsor mkuu wa cecafa challenge cup ,kwa busara zao wameona waawalike Libya na watakuwa kundi moja na tanganyika,msikose kuangalia AZAM TV kwa burudani safi ya ndugu zetu wa damu wenye upendo kutoka LIBYA
Uza king'amuzi chao mkuu sisi tuache na Azam YB yetu.

Wewe kinachokusumbua aidha ni chuki tu au kutojitambua

Uliwahi andika lini Israel ichukiwe sababu inaua Wapalestina? Vipi uliandika kuhusu yanayotokea Myanmar? Uliandika lini kuhusu Bokoharam na Alshabab kuuwa watu huko Nigeria na Somalia?

Ndio nyie wakiuawa Wafaransa mnabadili profile picture zenu mnaweka bendera za Ufaransa ila wanauawa Watz kibiti umelala kama pono.Tena mnaojifanya kuandika ujinga kuonesha mna uchungu ndio wanafiki haswa. Unaweza kuta ndio unahusika kuuza watu kutoka nchi zao kuwapeleka Libya.

Libya imeshiriki mechi za kufuzu World cup, umeandika Lini DSTV wasusiwe kwakuwa wadhamini wa CAF?

Mara waarabu mara waisrael yani unajidhihirisha ulivyo mdini/mbaguzi wa rangi.
 
Uza king'amuzi chao mkuu sisi tuache na Azam YB yetu.

Wewe kinachokusumbua aidha ni chuki tu au kutojitambua

Uliwahi andika lini Israel ichukiwe sababu inaua Wapalestina? Vipi uliandika kuhusu yanayotokea Myanmar? Uliandika lini kuhusu Bokoharam na Alshabab kuuwa watu huko Nigeria na Somalia?

Ndio nyie wakiuawa Wafaransa mnabadili profile picture zenu mnaweka bendera za Ufaransa ila wanauawa Watz kibiti umelala kama pono.Tena mnaojifanya kuandika ujinga kuonesha mna uchungu ndio wanafiki haswa. Unaweza kuta ndio unahusika kuuza watu kutoka nchi zao kuwapeleka Libya.

Libya imeshiriki mechi za kufuzu World cup, umeandika Lini DSTV wasusiwe kwakuwa wadhamini wa CAF?

Mara waarabu mara waisrael yani unajidhihirisha ulivyo mdini/mbaguzi wa rangi.
wewe NYAU issue ya slave masters na slaves wao huko Libya imekuwa exposed lini,rants zimeanza lini? BOYCOT AZAM TV,BOYCOTT CECAFA
 
Shida ya binadamu mwenzako haikupi wewe haki ya kutumia hiyo kama fursa ya kumteka, kumtesa na kumuuza kama mbuzi. Azam wanalengo gani kuwaalika hao waarabu tunaoambiwa kwamba hata serikali hawana? Na kama ipo basi haichukui hatua kudhibiti biashara hiyo ya utumwa! Susia Azam, Susia Cecafa challenge cup hadi Libya iondolewe!
Azam haaliki wewe, CECAFA ndio wanaalika. Yani URA itakuja kucheza Mapinduzi Cup eti kwakua Azam watarusha michuano hiyo ndio wamewaalika URA? Kumbe hata unachoongea hujui
 
Azam haaliki wewe, CECAFA ndio wanaalika. Yani URA itakuja kucheza Mapinduzi Cup eti kwakua Azam watarusha michuano hiyo ndio wamewaalika URA? Kumbe hata unachoongea hujui
kabisaaaa,hata fox news ilipotokea scandal ya sexual harrasment ya MR Moore,sponsors wali pull out lakini sio wao waliofanya sexual harrasment alikuwa ni employee wa Fox news
Moral of the story is:Kampuni kubwa kama Azam iliyotanuka kwa kasi na inayoonyesha mpira kwa level za kimataifa ichukulie hali hii ya kualikwa Libya kwa uzito, It is an insult kwa ngozi nyeusi
wawaforce Cecafa waachane na libya zibaki hata teams 8 maana zipo 9 baada ya zimbabwe kujitoa
It BEGINS WITH YOU
 
Uza king'amuzi chao mkuu sisi tuache na Azam YB yetu.

Wewe kinachokusumbua aidha ni chuki tu au kutojitambua

Uliwahi andika lini Israel ichukiwe sababu inaua Wapalestina? Vipi uliandika kuhusu yanayotokea Myanmar? Uliandika lini kuhusu Bokoharam na Alshabab kuuwa watu huko Nigeria na Somalia?

Ndio nyie wakiuawa Wafaransa mnabadili profile picture zenu mnaweka bendera za Ufaransa ila wanauawa Watz kibiti umelala kama pono.Tena mnaojifanya kuandika ujinga kuonesha mna uchungu ndio wanafiki haswa. Unaweza kuta ndio unahusika kuuza watu kutoka nchi zao kuwapeleka Libya.

Libya imeshiriki mechi za kufuzu World cup, umeandika Lini DSTV wasusiwe kwakuwa wadhamini wa CAF?

Mara waarabu mara waisrael yani unajidhihirisha ulivyo mdini/mbaguzi wa rangi.
Watu wanashindwa kutofautisha mkuuu, kinachowatesa hao ndugu zetu wa +, roho mbaya, kisa azam muislam ndio kuleta ujinga wake, ataendelea kusononeka sana dunia hiii
 
wewe NYAU issue ya slave masters na slaves wao huko Libya imekuwa exposed lini,rants zimeanza lini? BOYCOT AZAM TV,BOYCOTT CECAFA
Reasoning capacity imetawaliwa na matusi alafu unashawishi watu kisusia. Pengine baada ya kutafakari ukabaini kosa lako ukaamua kupunguza mijadala kwa kuanzisha matusi.

Endelea kutukana ila ukweli ndio huo
 
Watu wanashindwa kutofautisha mkuuu, kinachowatesa hao ndugu zetu wa +, roho mbaya, kisa azam muislam ndio kuleta ujinga wake, ataendelea kusononeka sana dunia hiii
heheheheheheeh uuuwiiiiii,kwa hiyo unatetetea slave masters from tripoili sababu ni waarabu na waislamu????hahahahahaha
 
heheheheheheeh uuuwiiiiii,kwa hiyo unatetetea slave masters from tripoili sababu ni waarabu na waislamu????hahahahahaha
Muda mwingine anaposema mzazi kwamba""nimepata hasara kwa mwanangu, si kwamba mpaka uvute bangi, ulevi, uteja, kwa style km yako ni hasara tu kwa mzazi, maaan husindwi kumueleza bba yako amsusie chakula mama yako
 
tatizo mkiandika ujinga na mkijibiwa ujinga ndipo mnajifanya wana filosofia,manshindwa kujibu hoja iliyopo mezani maana ni kubwa kama notorious BIG,mara naambiwa nilinyimwa kazi azam,mara naambiwa nina wivu kwa bakhressa kisa muislamu,sasa ukiandika pumba ya kiwango cha juu na mimi nakujibu pumba tu
Muda mwingine anaposema mzazi kwamba""nimepata hasara kwa mwanangu, si kwamba mpaka uvute bangi, ulevi, uteja, kwa style km yako ni hasara tu kwa mzazi, maaan husindwi kumueleza bba yako amsusie chakula mama yako
 
Back
Top Bottom