Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ndugu zangu, niwape pongezi sana wale wote ambao walijitokeza kwa ujasiri na kuripoti manyanyaso waliyopitia!
Ukipita kwenye migodi na makampuni mengi sana sana zaidi ya 90% kuna uvunjaji mkubwa sana wa haki za binadamu kwa kisingizio cha Wenyeji "kuvamia au kuiba" kwenye maeneo hayo.
Mbaya zaidi, watekelezaji wa ukatili huu ni Wafanyakazi wazawa kwa kisingizio cha "Order kutoka kwa Boss"
Naweka article yenyewe mjisomee
Petra Diamonds (PDL.L) has reached a settlement with claimants at its Williamson mine in Tanzania who accused the firm of being responsible for widespread human rights violations including beatings and detentions, both sides said.
Last year, the firm said it was investigating allegations that artisanal miners who trespassed on the firm's Williamson mine in Tanzania were detained, beaten and shot at, killing at least seven of them.
The abuses were allegedly committed by security contractors and security employees of Petra's subsidiary Williamson Diamonds Limited (WDL).
"Petra Diamonds Limited today confirms that a settlement has been reached, on a no admission of liability basis," Petra said in a statement.
A London-based law firm, Leigh Day, had sued Petra in a London court on behalf of 71 claimants who alleged the human rights abuses.
Petra owns 75% of the mine, while the Tanzania government owns the rest. The firm said it had agreed to a settlement worth 4.3 million pounds ($6.1 million) that will cover direct compensatory payments to victims, their legal expenses, investments in community projects and others items.
The firm said its investigations had confirmed incidents at the mine that "regrettably resulted in the loss of life, injury and the mistreatment of illegal diggers."
www.leighday.co.uk
Pia soma:
1). UTAFITI: Mgodi Petra washutumiwa kupiga watu risasi na kuua, kuendesha kituo cha utesaji mgodini na kuwafunga pingu wagonjwa hospitali ya Mwadui
2). Petra Diamonds imefunguliwa kesi katika Mahakama ya Uingereza kutoka na Ukiukaji wa Haki za Binadamu
3). Mapato ya Kampuni ya Petra Diamonds yashuka baada ya almasi zake kutaifishwa na serikali ya Tanzania
4). Kampuni ya Petra Diamonds matatani kifedha
5). Petra Diamonds gets Tanzanian government authorisation to resume diamond exports
6). Petra yasema haihusiki na uthaminishaji wa madini, kukaa mezani na serikali kusuluhisha tatizo
7). Baada ya Serikali kuzuia mzigo wa almasi Airport, Rais wa kampuni ya Petra Diamond atua Tanzania kutuliza mambo
Ukipita kwenye migodi na makampuni mengi sana sana zaidi ya 90% kuna uvunjaji mkubwa sana wa haki za binadamu kwa kisingizio cha Wenyeji "kuvamia au kuiba" kwenye maeneo hayo.
Mbaya zaidi, watekelezaji wa ukatili huu ni Wafanyakazi wazawa kwa kisingizio cha "Order kutoka kwa Boss"
Naweka article yenyewe mjisomee
Petra Diamonds (PDL.L) has reached a settlement with claimants at its Williamson mine in Tanzania who accused the firm of being responsible for widespread human rights violations including beatings and detentions, both sides said.
Last year, the firm said it was investigating allegations that artisanal miners who trespassed on the firm's Williamson mine in Tanzania were detained, beaten and shot at, killing at least seven of them.
The abuses were allegedly committed by security contractors and security employees of Petra's subsidiary Williamson Diamonds Limited (WDL).
"Petra Diamonds Limited today confirms that a settlement has been reached, on a no admission of liability basis," Petra said in a statement.
A London-based law firm, Leigh Day, had sued Petra in a London court on behalf of 71 claimants who alleged the human rights abuses.
Petra owns 75% of the mine, while the Tanzania government owns the rest. The firm said it had agreed to a settlement worth 4.3 million pounds ($6.1 million) that will cover direct compensatory payments to victims, their legal expenses, investments in community projects and others items.
The firm said its investigations had confirmed incidents at the mine that "regrettably resulted in the loss of life, injury and the mistreatment of illegal diggers."
www.leighday.co.uk
Pia soma:
1). UTAFITI: Mgodi Petra washutumiwa kupiga watu risasi na kuua, kuendesha kituo cha utesaji mgodini na kuwafunga pingu wagonjwa hospitali ya Mwadui
2). Petra Diamonds imefunguliwa kesi katika Mahakama ya Uingereza kutoka na Ukiukaji wa Haki za Binadamu
3). Mapato ya Kampuni ya Petra Diamonds yashuka baada ya almasi zake kutaifishwa na serikali ya Tanzania
4). Kampuni ya Petra Diamonds matatani kifedha
5). Petra Diamonds gets Tanzanian government authorisation to resume diamond exports
6). Petra yasema haihusiki na uthaminishaji wa madini, kukaa mezani na serikali kusuluhisha tatizo
7). Baada ya Serikali kuzuia mzigo wa almasi Airport, Rais wa kampuni ya Petra Diamond atua Tanzania kutuliza mambo