Ni kweli mkuu!! Maelezo haya huwezi kuyakuta kitabuni...kama yapo, nijuzeni ni kitabu gani nikitudi nikitafute, ndani au nje yanchi.Bandiko zuri, tatizo mwandishi kuna mahali katumia lugha za kihuni! Mfano eti wakapigwa mvua. Andishi nyeti kama hili hizo lugha siyo!!!!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app