Petro Bwimbo mzalendo aliyemuokoa Nyerere asiuliwe na waasi mwaka 1964

Petro Bwimbo mzalendo aliyemuokoa Nyerere asiuliwe na waasi mwaka 1964

Historia mzuri sana na anaejua ule uasi wa mara ya pili uliofanywa na makomando wetu hatuadithie tupate kufahamu yaliojili kipindi hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa natamani sana kuipata hii history kwa ukamilifu wake! Kuna mahali nilisoma kuwa hata wale walioasi wakateka ndege kule mwanza walipofika Uingereza aliyewatuliza wakakubali kujisalimisha alikuwa Kambona baada ya barozi kushindwa!

Kambona inaonekana alikuwa wa muhimu kwa wanajeshi!

Wajuzi wa hizi story muhimu hebu tupeni ukweli maana kwa sasa hazina madhara yoyote zaidi ya kutupa mafunzo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kanunue kitabu cha huyo PETER MBWIMBO kipo mtaani toka 2016.

Pale Posta Mtaa wa Samora Dsm duka la TPH kinapatikana.

Historia yote ya tukio hili na la kutekwa ndege kisha watekaji kuomba kuonana na Kambona.
 
DPP Mzimbabwe, HERBERT WILTSHERE CHITEPO, akatangaza washtakiwa watafikishwa kortin jumatatu ya tarehe 27 April 1964 na kwamba mashahidi 25 watatoa ushahidi.

Huyo Chitepo ndiye baba wa Uhur wa Zimbabwe kwa kutumia elimu aliyopata chini ya Nyerere. Kuna watu wengi sana mpaka leo huko Zimbabwe ambao walihusika na uhuru wa nchi yao wana asili ya ya kuzaliwa Tanzania. Watoto wa huyu Chitepo wengi walizaliwa hapa bongo.
 
Back
Top Bottom