Ni kweli mkuu!! Maelezo haya huwezi kuyakuta kitabuni...kama yapo, nijuzeni ni kitabu gani nikitudi nikitafute, ndani au nje yanchi.Bandiko zuri, tatizo mwandishi kuna mahali katumia lugha za kihuni! Mfano eti wakapigwa mvua. Andishi nyeti kama hili hizo lugha siyo!!!!!!!!!
Yaani historia nzuri sanaNi historia tamu na yenye mafunzo mengi. Asante Sana mtoa mada.
Huwa natamani sana kuipata hii history kwa ukamilifu wake! Kuna mahali nilisoma kuwa hata wale walioasi wakateka ndege kule mwanza walipofika Uingereza aliyewatuliza wakakubali kujisalimisha alikuwa Kambona baada ya barozi kushindwa!
Kambona inaonekana alikuwa wa muhimu kwa wanajeshi!
Wajuzi wa hizi story muhimu hebu tupeni ukweli maana kwa sasa hazina madhara yoyote zaidi ya kutupa mafunzo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kambona pia alikuwa na sura nyingine.alikuwa mhujumu uchumi na mla rushwa mkubwa.wkt anakimbia ktk bank ya kenya alikuwa na dola za kimarekani 4500.ktk bank ya bacrays uingereza alikuwa na paund 6000.lkn c hvyo tu.tanzania alikuwa amejikusanyia tsh laki sita na elfu 80.acha pesa zilizokuwa nyumbani kwake.hivyo kambona alikuw pia sura ya pili..Kambona alikuwa highly talented na alikuwa na ushawishi mkubwa. Kuna issue nyingi ambazo Nyerere alishindwa kuzituliza ambazo Kambona aliweza kuzimaliza fasta. Eneo moja kubwa ambalo ali-differ na Nyerere sharply ni sera ya ujamaa. Kambona alikuwa bold enough kuupinga ujamaa kwa hoja nzito kabisa....Nyerere akaona hatari iliyopo mbele ya Kambona kuweza kuukwamisha ujamaa. Wakati mwingine alipinga mambo mengi hata bungeni.
Ila kwa brain kubwa, Kambona alikuwa na kichwa cha ajabu kabisa....Nyerere hamfikii Kambona kwa brain. Hii habari nilipewa na wazee waliofanya kazi kwa karibu kabisa na both Nyerere na Kambona. Kilema kikubwa kabisa cha Nyerere ni idealism....sera zake nyingi zilikuwa very unrealistic lakini ali-force zitekelezwe hivyo hivyo. Kambona ni moja ya wanasiasa wachache ambao walikuwa bold enough kumpinga Nyerere bila woga na unafiki.
Kwa kifupi ilibidi Kambona atengenezewe conspiracy ili kummaliza kisiasa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mwarabu huyo akiitwa Maangush alikua na duka mtaa wa Dosi na Magomeni eneo la Magomeni Mapipa na alipigwa risasi akiwa katoka nje tena wakati wanajeshi waasi waliporudi mitaa hiyo baada ya Maangush kua kamjeruhi au kamuua mwenzao aliyekua anapora duka lakeMwarabu mmoja wa Magomeni, baada ya kuona waasi wakipora dukani kwake, "alimuwasha shaba" muasi mmoja aliyeitwa KASSIM. Koplo NASHON MWITA , alipoona hivyo, akarudi Carito kujizatiti ambapo alirudi na kumi la wenzake wakammiminia risasi mwarabu huyo na kisha "kutia kibiriti" duka lake na kupelekea watu 8, akiwemo mtoto wa miaka 6, kuteketea
Wewe ulitaka wafanyaje?Wanajeshi wa sasa hivi wanabangua korosho tu na kupewa nafasi kwenye chama na kutulia tuliiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusingekuwa na matatizo tuliyonayo leo kama wangembamba Nyerere.Ni historia tamu na yenye mafunzo mengi. Asante Sana mtoa mada.
Bandiko zuri, tatizo mwandishi kuna mahali katumia lugha za kihuni! Mfano eti wakapigwa mvua. Andishi nyeti kama hili hizo lugha siyo!!!!!!!!!
Kitabu ninacho ameandika mzee Petro Bwimbo mwenyeweNi kweli mkuu!! Maelezo haya huwezi kuyakuta kitabuni...kama yapo, nijuzeni ni kitabu gani nikitudi nikitafute, ndani au nje yanchi.
Sent using Jamii Forums mobile app