CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Laki moja mbona ndogo sana, depositi 300-500kpm. Lake oil/Total wako poaHamjamboje wanajamvi
Naomba kufahamu ni vituo gani vya mafuta (Petrol station) vinavyotumia mfumo wa kadi na visivyo na usumbufu? Pia isiyochakachua pump zao. Mfano unahitaji kuwekea kadi yako sh. 100,000/- kisha ukawa unafika kituo cha mafuta wanakata kwenye kadi mpaka hapo itakapokwisha then unatop up.
Natanguliza shukrani
CL
Laki moja mbona ndogo sana, depositi 300-500kpm. Lake oil/Total wako poa
Puma
Engene
Total
Mbadala tumia Mastercard tu.
Sehemu yoyote ndani ya Jamhuri yetu pendwa?
Badala ya kuhangaika na fuel cards , kwa nini usitumie kadi ya benki kununua mafuta ? Ie master card au visa card
Tunakoelekea vituo vingi vya matuta vita adopt mfumo wa malipo kwa bank card kirahisi kuliko ku implement fuel cards,
Moja ya faida ya fuel card ni kuwa kunakuwa na discount kwenye bei za mafuta, ila nachukia kuwa inabidi kuwe na namna ya kuijaza balance hiyo card ambayo in most cases itakuwa ni benki.
Hapana mkuu," point of sales "( Pos) , hukatwi chochote zaidi ya kiwango tajwa ,Sure na mimi ndio nilivoshauri. La Mastercard usitegemee utauziwa kwa bei ile ile. Kuna charges za bank na transactions.
Kwahiyo possibly ukanunua mafuta Petrol lita moja kwa 2500 au zaidi.
Ila kwa fuel card unapunguza gharama nadhani lita moja kwa 2100 au less.
Hapana mkuu," point of sales "( Pos) , hukatwi chochote zaidi ya kiwango tajwa ,
Kwa mfano umeenda puma kununua lets say diesel, ambayo bei yake labda ni 2300 tshs kwa lita , utakapofanya malipo kununua hiyo lita utakatwa 2300 tu, hakunaga charges zozote kwenye pos , ni cheap kuliko hata kutoa hela Atm.
Sijui procedures za kupata hizo fuel cards , lakini nafahamu kuwa haziingiliani, ie ya puma utatumika puma na ya total itatumika totalupande wa Total nikihitaji card napataje? na je ile card inatumika kwa vituo vyote mfano total,puma n.k au kama ni ya total ni total tu peke yake? nimekuwa mpenzi wa kununua petrol ya total pekee.
Badala ya kuhangaika na fuel cards , kwa nini usitumie kadi ya benki kununua mafuta ? Ie master card au visa card
Tunakoelekea vituo vingi vya matuta vita adopt mfumo wa malipo kwa bank card kirahisi kuliko ku implement fuel cards,
Moja ya faida ya fuel card ni kuwa kunakuwa na discount kwenye bei za mafuta, ila nachukia kuwa inabidi kuwe na namna ya kuijaza balance hiyo card ambayo in most cases itakuwa ni benki.
[emoji848][emoji848][emoji107][emoji107][emoji107]Sijui procedures za kupata hizo fuel cards , lakini nafahamu kuwa haziingiliani, ie ya puma utatumika puma na ya total itatumika total
Kwa ninavyojua point of sales (pos ) hakuna makato, no direct transaction , hata kama utafanya multi transaction as long as no pos hakuna makatoMastercard ninayo ila sihutaji kuitumia kwa matumizi hayo... Ninataka ikifika mwisho wa mwezi ninaweka pesa fixed kwa ajili ya fuel pekee... ile mastercard itanifanya nitumie mafuta zaidi pia charges nahisi ziko juu maana kila transaction inaweZa kuwa inakatwa
Kwa ninavyojua point of sales (pos ) hakuna makato, no direct transaction , hata kama utafanya multi transaction as long as no pos hakuna makato