CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Hamjamboje wanajamvi
Naomba kufahamu ni vituo gani vya mafuta (Petrol station) vinavyotumia mfumo wa kadi na visivyo na usumbufu? Pia isiyochakachua pump zao. Mfano unahitaji kuwekea kadi yako sh. 100,000/- kisha ukawa unafika kituo cha mafuta wanakata kwenye kadi mpaka hapo itakapokwisha then unatop up.
Natanguliza shukrani
CL
Naomba kufahamu ni vituo gani vya mafuta (Petrol station) vinavyotumia mfumo wa kadi na visivyo na usumbufu? Pia isiyochakachua pump zao. Mfano unahitaji kuwekea kadi yako sh. 100,000/- kisha ukawa unafika kituo cha mafuta wanakata kwenye kadi mpaka hapo itakapokwisha then unatop up.
Natanguliza shukrani
CL