Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku Tanesco huku Petrol Nchi ngumu utadhani jiwe la mtoni...
SOUTH AFRICA PIA MAFUTA BEI JUU KUANZIA LEO,CCM NA ANC DAMU DAMUView attachment 2771277
Maswala ya kiuchumi huwa hawaongelei kabisa...Huku wanaojiita wapinzani hawaoni umuhimu wa hoja za kina Mwabukusi, Slaa na wenzao.
Ewura tunawapa kesi bure wao wanaambiwa tuu cha kufanya sio swala dogo hili Mkuu..ewura ni matapeli
Ardhi yenye rutuba tunayo ya kutosha nadhani waje wafanye vitu kwa vitendo sio sawa twende kujifunza kulima kwa Waarabu...na bado mtatema bungo,na mamayao yuko kwa wawekezaji kule anaangalia maonesho ya mboga mboga sijui takataka gani, yaani Mungu atuhurumie wadanganyika.
Hata mimi nashauri hivo.Ipande ifike hadi 5000 hivi
Mafuta yamepanda kwa Tsh 68Mafia,kigoma,katavi bei ikoje nako
Ova
Hiyo bei mikoa mingine wameshaizoeaIkifika lita ya petrol 3400 napaki.
Hiyo bei mikoa mingine wameshaizoea
Jpm anahusikaje!? Kama vipi kalinde kaburi bossMpaka mjute kumdhihaki Dr JPM (PhD)
PhD fakeMpaka mjute kumdhihaki Dr JPM (PhD)
Naunga mkono hojaTuliambiwa mafuta yanafichwa .. cheo Cha naibu waziri mkuu kifutwe hakuna tija
Kwamba Petrol mna visima?Huku Tanesco huku Petrol Nchi ngumu utadhani jiwe la mtoni...
Kwamba ndio wataoshusha bei ya mafuta?Tutafute wawekezaji vya vyeo vya juu kitaifa. Wenye maono. Na definition sahihi ya Kiongozi
Hawana hoja ndo maana wamepotezewaHuku wanaojiita wapinzani hawaoni umuhimu wa hoja za kina Mwabukusi, Slaa na wenzao.