dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
uchakachuaji lazima urudi kwa kasiHivi Bei ya mafuta ya Taa kuwa chini kuliko bei ya Pertol na Dizeli hakuwezi kusababisha uchakachuaji?
unauziwa 3500 lakini wanakuchanganyia mafuta ya taa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uchakachuaji lazima urudi kwa kasiHivi Bei ya mafuta ya Taa kuwa chini kuliko bei ya Pertol na Dizeli hakuwezi kusababisha uchakachuaji?
Mpaka mjute kumdhihaki Dr JPM (PhD)
Pato limeingezeka kwa sh ngapi?Kitendo Cha kupanda kwa Bei ya wese Ni kwamba pato pialomeongezeka
Namkumbuka 2005 petroli ilikuwa inauzwa 760 na mzee wangu alikuwa analamika mno na hajawai kipaki gari
Imagine tokea kipindi kill Hadi Sasa 3500
Hvyo Ni kitu kisicho epukika
Inflation kwa sasa Ni duniani kote
Bei ya mafuta unapoambiwa yako juu wakati huo urusi ilikuwa inauza mafuta bei chee na nchi nyingi zikanunua, ni ukosefuwa planKwamba ndio wataoshusha bei ya mafuta?
Kwa mrundikano wa kodi za hovyo mpaka zinafika 26% hata tungekua na visima haisaidii kitu ..Kwamba Petrol mna visima?
Ahsante Mkuu maelezo yapo sahihi...Bei ya mafuta unapoambiwa yako juu wakati huo urusi ilikuwa inauza mafuta bei chee na nchi nyingi zikanunua, ni ukosefuwa plan
Tozo lipo 26% hii ni robo ya bei unategemea nini?.
Unapokuwa na gharama ambazo si za muhimu serkalini unategemea nini?
Hujitambui,Tanzania haina refinery, Russia anauza crudeBei ya mafuta unapoambiwa yako juu wakati huo urusi ilikuwa inauza mafuta bei chee na nchi nyingi zikanunua, ni ukosefuwa plan
Tozo lipo 26% hii ni robo ya bei unategemea nini?.
Unapokuwa na gharama ambazo si za muhimu serkalini unategemea nini?
Nina wasi wasi na uelewa wako. Au hujui nini kinafanyika kwenye hii issue.Hujitambui,Tanzania haina refinery, Russia anauza crude
Hahaha kweli kabisaIfike elfu 10 kwa lita ili tuanze kusindika na kutumia gesi ya CNG ya hapa hapa Tanzania
Sijui Tanzania shida nini.Wapunguze zile kodi ipo 26% kwenye mafuta hiyo ruzuku hata wasipotoa wakatoa baadhi ya kodi kichefuchefu za mafuta life itaenda sawa...
Jot this down .Kitendo Cha kupanda kwa Bei ya wese Ni kwamba pato pialomeongezeka
Namkumbuka 2005 petroli ilikuwa inauzwa 760 na mzee wangu alikuwa analamika mno na hajawai kipaki gari
Imagine tokea kipindi kill Hadi Sasa 3500
Hvyo Ni kitu kisicho epukika
Inflation kwa sasa Ni duniani kote
Hujitambui,Tanzania haina refinery, Russia anauza crude
Anyway, time will tell.Tulisema Biteko kapewa jumba bovu litamuangukia tu.