Peugeot kuanza kiwanda cha magari Kenya

Peugeot kuanza kiwanda cha magari Kenya

Nilisikia na Volvo nao wanafungua kiwanda kenya wameshafungua au mambo ya propaganda? Macron ni ceo wa Peugeot?
 
Ndio nchi pekee barani afrika yenye uchumi wa kati usiotegeme mali asili kama madini na mafuta .Kwa lugha nyepesi wazungu huwa wanasema kenya is the most industrilized economy in africa excluding resources based countries like south africa ,Nigeria ,Ghana etc.
Hivi ndugu wewe unaongea hivyo ndiyo umezaliwa leo duniani au?uzalendo usipitilize kweli. South Africa ipo G20 na ndiyo namba moja kwa viwanda leo unabadilisha unasema kenya ndiyo namba moja. Viwanda vyote vya ulaya ,Asia na America branch zao katika africa ni South Africa. Volkswagen wanakiwanda South Africa hawana haja na kenya au nchi yoyote africa. Infrastructure , education and scientific South Africa ndiyo leader Ktk africa kwa mantiki hiyo high tech industry yoyote ikianzishwa South Africa wanakuwa wa kwanza kufikiriwa.Financially South Africa ndiyo namba moja africa .acheni porojo za vijiweni
 
Tofautisha kiwanda cha magari na karakana ya kuyaunganisha magari

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kipo kiwanda cha kuunganisha vitambaa na kua nguo, yaani vyerehani 4 tu, iwe mavitu vitu meengi ya machuma chuma yamekuja kutoka huko yaliko toka (in this case is France) halafu hayo mavyuma yakaunganishwa na kua gari bado useme sio kiwanda? Acha hizo bhana, watendee tu haki hao Wakenya, nafikiri na Rwanda nao watatoa VW soon na hawa Watutsi wenyewe watakua wanapitishia hayo mavyuma vyuma yao kwenye bandari yetu; ngoja sisi tumchague mwakilishi wa jimbo la Arumeru mashariki kutoka ccm na mwakani tena hata mchague mnae mtaka, sisi tutahakikisha tunaiba kula zenu ( sijaandika kura makusudi) na kuwapa wana Yanga, ndio kipaumbele chetu kwasasa.
 
Tatizo lako ww huwa unadhani ww una akili nyingi kuliko wengine. Jaribu kuheshim na wengine. Hasa usiye mfahamu

Siyo najifanya nina Akili bali ukweli ni kwamba nina Akili tena sana na mno tu. Nikufahamu Wewe Mungu au Yesu Kristo? Kwenda zako huko!
 
Kama kipo kiwanda cha kuunganisha vitambaa na kua nguo, yaani vyerehani 4 tu, iwe mavitu vitu meengi ya machuma chuma yamekuja kutoka huko yaliko toka (in this case is France) halafu hayo mavyuma yakaunganishwa na kua gari bado useme sio kiwanda? Acha hizo bhana, watendee tu haki hao Wakenya, nafikiri na Rwanda nao watatoa VW soon na hawa Watutsi wenyewe watakua wanapitishia hayo mavyuma vyuma yao kwenye bandari yetu; ngoja sisi tumchague mwakilishi wa jimbo la Arumeru mashariki kutoka ccm na mwakani tena hata mchague mnae mtaka, sisi tutahakikisha tunaiba kula zenu ( sijaandika kura makusudi) na kuwapa wana Yanga, ndio kipaumbele chetu kwasasa.

Naona wahutu wa Burundi wanapitisha mapanga tu hapo bandarini.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama kipo kiwanda cha kuunganisha vitambaa na kua nguo, yaani vyerehani 4 tu, iwe mavitu vitu meengi ya machuma chuma yamekuja kutoka huko yaliko toka (in this case is France) halafu hayo mavyuma yakaunganishwa na kua gari bado useme sio kiwanda? Acha hizo bhana, watendee tu haki hao Wakenya, nafikiri na Rwanda nao watatoa VW soon na hawa Watutsi wenyewe watakua wanapitishia hayo mavyuma vyuma yao kwenye bandari yetu; ngoja sisi tumchague mwakilishi wa jimbo la Arumeru mashariki kutoka ccm na mwakani tena hata mchague mnae mtaka, sisi tutahakikisha tunaiba kula zenu ( sijaandika kura makusudi) na kuwapa wana Yanga, ndio kipaumbele chetu kwasasa.
Hakuna kiwanda cha magari ya Peugeot Kenya, na wala hakuna kiwanda cha magari ya Mercedes Benz Rwanda. Usitulete uongo hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andika kwa kiswahili, saidia danganyikans tafadhali.
You have been taught to think assembled is not the same as made. Kweli Tanzania ya viwonder.

I've got news for you. This is the 21st century, and not one thing is 100% made in the same place. Most final product factories are essentially assembly plants.

Example.
The iPhone.
Storage and cameras - Made in Japan
RAM and Processor - Korea
Display glass - USA (Corning)
Other components made in Mongolia and Taiwan

Eventually, at the back of the iPhone, we have ''Made in China''.

You'll not find a sticker written 'Assembled in ... ''. It is always ''Made in..''

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe haujui kusoma na kuelewa!., [emoji23][emoji23][emoji23]., jamaa ka kuambia '...outside...S.A., Nigeria..etc., yaani ukiondoa haya basi Kenya ndio most industrialized non mineral based country. Wivu isikutatize sana ushindwe kuelewa kaka. Meza mate, breath in out, kisha kojoa ukalale.
Hivi ndugu wewe unaongea hivyo ndiyo umezaliwa leo duniani au?uzalendo usipitilize kweli. South Africa ipo G20 na ndiyo namba moja kwa viwanda leo unabadilisha unasema kenya ndiyo namba moja. Viwanda vyote vya ulaya ,Asia na America branch zao katika africa ni South Africa. Volkswagen wanakiwanda South Africa hawana haja na kenya au nchi yoyote africa. Infrastructure , education and scientific South Africa ndiyo leader Ktk africa kwa mantiki hiyo high tech industry yoyote ikianzishwa South Africa wanakuwa wa kwanza kufikiriwa.Financially South Africa ndiyo namba moja africa .acheni porojo za vijiweni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie watanzania mna karakana ya kuunganisha gari gani?
Kubalini kwamba Kenya imewazidi kwa kila kitu.
1.Kidemokrasia
2.Kidiplomasia
2.Kiuchumi
Kenya ipo juu sana, nyie kazi yenu ni kuteka watu hovyo na kuua upinzani, maendeleo mtayasikia tu kwa wenzenu, serikali ya CCM ina tabia za kichawi, with such a government you'll never ever develop

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kwani siyo mtz?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe haujui kusoma na kuelewa!., [emoji23][emoji23][emoji23]., jamaa ka kuambia '...outside...S.A., Nigeria..etc., yaani ukiondoa haya basi Kenya ndio most industrialized non mineral based country. Wivu isikutatize sana ushindwe kuelewa kaka. Meza mate, breath in out, kisha kojoa ukalale.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni propaganda za uongo za wazungu ili wazidi kuitumia kenya kujinufaisha wakati wakenya wanabaki Maskini. Kiuhalisia wakenya maisha ni shida wanufaika ni wachache wanaokuja na kuondoka na mafisadi wa Kenya. Kenya inetumika kama meeting place ya biashara watu wanafanya biashara wanaondoka inabaki tupu. Mfano halisia juzi kuna biashara imeshindwa kufanyika Nairobi yule mwenyeji wa Kenya ambae ni Dalali aliishia na stori tu nikamwambia sisi tunataka ela hatutaki stori.mwisho wa siku nikajiuliza hii ndiyo Nairobi inasifiwa eti ni mojawapo ya centre ya biashara Africa nikabaki nacheka. Muingereza aliipendelea kenya lakini imeshindwa kutumia Fursa wakenya wavivu.
Ardhi yote nzuri ya Kenya wamechukua mafisadi,viongozi wachache , wazungu na Wahindi tu.
Wakenya wengi wamebaki bure .
Uchumi wa Kenya umeshikiliwa na wachache.
 
Nilisikia na Volvo nao wanafungua kiwanda kenya wameshafungua au mambo ya propaganda? Macron ni ceo wa Peugeot?
Huku kwetu juzi wamefungua kiwanda cha kuchakata asali, kina vyuma viwili na kijaa sanduku moja, magazetini ni kama wameenda mwezini
 
Huku kwetu juzi wamefungua kiwanda cha kuchakata asali, kina vyuma viwili na kijaa sanduku moja, magazetini ni kama wameenda mwezini
😁😁😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hizo ni propaganda za uongo za wazungu ili wazidi kuitumia kenya kujinufaisha wakati wakenya wanabaki Maskini. Kiuhalisia wakenya maisha ni shida wanufaika ni wachache wanaokuja na kuondoka na mafisadi wa Kenya. Kenya inetumika kama meeting place ya biashara watu wanafanya biashara wanaondoka inabaki tupu. Mfano halisia juzi kuna biashara imeshindwa kufanyika Nairobi yule mwenyeji wa Kenya ambae ni Dalali aliishia na stori tu nikamwambia sisi tunataka ela hatutaki stori.mwisho wa siku nikajiuliza hii ndiyo Nairobi inasifiwa eti ni mojawapo ya centre ya biashara Africa nikabaki nacheka. Muingereza aliipendelea kenya lakini imeshindwa kutumia Fursa wakenya wavivu.
Ardhi yote nzuri ya Kenya wamechukua mafisadi,viongozi wachache , wazungu na Wahindi tu.
Wakenya wengi wamebaki bure .
Uchumi wa Kenya umeshikiliwa na wachache.

pwahahaha....vitu vingine usiseme penye kuna watu wazima....unafanana mjinga.Hivi in these schools of yours they teach you that in Kenya wealth is in the hands of few whites?
 
Back
Top Bottom