mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Matako ya fisi poriNyoooukoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matako ya fisi poriNyoooukoo
Matako ya fisi pori
Pia na mimi huwa najiuliza mwamba anatakiwa afanye nini cha ziada ili astahili tuzo ya heshima kwenye nchi yetuNi vyema na ni wakati muafaka huyu Mh akapewa hii heshima, kwani anaistahili vilivyo.
Natumai vyombo husika wataliangalia hilo.
FAM Ana mchango mkubwa sana kwenye siasa zetu Tanzania
Toa maoni yako
Jiwe alijaribu Kushindana na huyu Mwamba akaishia kuzikwa ChatoNi vyema na ni wakati muafaka huyu Mh akapewa hii heshima, kwani anaistahili vilivyo.
Natumai vyombo husika wataliangalia hilo.
FAM Ana mchango mkubwa sana kwenye siasa zetu Tanzania
Toa maoni yako
KumbeJiwe alijaribu Kushindana na huyu Mwamba akaishia kuzikwa Chato
Hapo sasPia na mimi huwa najiuliza mwamba anatakiwa afanye nini cha ziada ili astahili tuzo ya heshima kwenye nchi yetu
🤣aache ubahili akanunue kama akina msukuma
NdioAna stahili apewe
Ni vyema na ni wakati muafaka huyu Mh akapewa hii heshima, kwani anaistahili vilivyo.
Natumai vyombo husika wataliangalia hilo.
FAM Ana mchango mkubwa sana kwenye siasa zetu Tanzania
Toa maoni yako
😄
FAMPHILEMON AIKAEL MBOWE aka KAMANDA WA ANGA
Kumbe??Jamaa Yuko vizuri akiona mchongo umekaa vibaya anaamsha popo Hadi alimbishwe asali ndo anatulia utamu wa asali ukiisha anaanza tena ili apewe nyingine
Maude sijui ila Tundu lisu hajawahi kupoa ni aina ya watu kama mtikilaTundu Lissu na Mdude wana cha kujifunza kutoka kwa huyu Gwiji wa Siasa za Upinzani
Sawa kabisa FAM ni jembe na watanzania tusipoteze hii nafasi 2025 tumpe FAM nina uhakika tutafurahi.Ni vyema na ni wakati muafaka huyu Mh akapewa hii heshima, kwani anaistahili vilivyo.
Natumai vyombo husika wataliangalia hilo.
FAM Ana mchango mkubwa sana kwenye siasa zetu Tanzania
Toa maoni yako
Phd ya unafiki itamfaa zaidiNi vyema na ni wakati muafaka huyu Mh akapewa hii heshima, kwani anaistahili vilivyo.
Natumai vyombo husika wataliangalia hilo.
FAM Ana mchango mkubwa sana kwenye siasa zetu Tanzania
Toa maoni yako