Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KwannPhd ya unafiki itamfaa zaidi
Wamechelewa sana kumpatiaSawa kabisa FAM ni jembe na watanzania tusipoteze hii nafasi 2025 tumpe FAM nina uhakika tutafurahi.
Vyovyote.... Ili mradi iwe PhDPhd ya Kulamba Asali
Au MwambaMh Freeman Mbowe au unaweza muita pia Ustaadh Aboubakar, kama anavyo fahamika huko Tanzania visiwani
Naunga mkono hoja...he deserve to be honored with doctorateNi vyema na ni wakati muafaka huyu Mh akapewa hii heshima, kwani anaistahili vilivyo.
Natumai vyombo husika wataliangalia hilo.
FAM Ana mchango mkubwa sana kwenye siasa zetu Tanzania
Toa maoni yako
Enzi za Mwl, Dr. (PhD) holder alikuwa mmoja tu naye alikuwa mzungu kwahyo ilikuwa Ni vigumu Sana, Mwl kuitwa Dr by thenNyerere alipewa hizo zaidi ya 60, hakuwahi kujiita Dr, tunajifunza nini kwa huyu mwamba?
Wakasome, short cut is always a wrong cutEnzi za Mwl, Dr. (PhD) holder alikuwa mmoja tu naye alikuwa mzungu kwahyo ilikuwa Ni vigumu Sana, Mwl kuitwa Dr by then
KabisaNaunga mkono hoja...he deserve to be honored with doctorate
Alikuwa hapendi sifaNyerere alipewa hizo zaidi ya 60, hakuwahi kujiita Dr, tunajifunza nini kwa huyu mwamba?
KabisaAu Mwamba
Una hoja, usikilizweMhe Freeman Mbowe atunukiwe PhD in political torelance and brotherhood.
Habari wanajf, kabla ya kufunga Mwaka hayo ndio maoni yangu.....
Umeachika Nini?PhD ya heshima ya Unafiki labda.