Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Mkazania kusema hicho chuo hakitambuliki,SI MKITAJE?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho hakina hata hadhi ya kuitwa chuoMkazania kusema hicho chuo hakitambuliki,SI MKITAJE?
Kwani Bagonza ni Mungu ?ANAANDIKA BABA ASKOFU BAGONZA[emoji116][emoji116][emoji116]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa nimejua. Siku za karibuni Kuna mtu aliniita kutokea Arusha akaniambia jina langu limependekezwa ili nipewe udaktari wa heshima kwa sababu (akataja nyingi). Kisha akasema zinatakiwa dola 500 haraka sana na deadline ni siku ya pili yake. Akataja chuo hikihiki.
Nikamwambia hiyo hela Sina. Akasema basi leta dola 210 kwa punguzo maalum.
Nikamwambia kwa Sasa Kuna vyuo vikuu 3 humu duniani vinaniomba nipokee udaktari wa heshima kutoka kwao lakini itaambatana na cheki ya dola elfu kumi kwangu. Nikamwambia bado nasita kwa sababu walizonitajia kuwa ninazo bado nina mashaka nazo kama ninazo kweli. Tukaachana hivo.
Kumbe wakapatikana kina Msukuma?!
Tunachofahamu ss ni DR.Msukuma huo ujinga wenu pelekeni Ufipa angepewa Mbowe ingekuwa sawa eeeeeeeeMsukuma hata cheti cha la saba hana. Bungeni hana mchango wowote. Kwenye jamii hana mchango wowote zaidi ya kuvimba tu.
Sasa unampaje huyu mtu honorary doctorate? Huo ni ufala.
Nani kasema ni Mungu? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Kwani Bagonza ni Mungu ?
Hiyo ni kawaida ya wana CCM na Serikali yao,mambo ya michongo michongo tu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Walianza akina Kamala....Tumekuwa tuniaminisha jamii kuwa ukiwa na shahada na hasa Ph.D ndio utathaminika na kama ni mbunge unakuwa na nafasi kubwa kupata uwaziri!!! Ndio maana hivi sasa kuna mlolongo wa wabunge wanafukuzia hizo Ph.D kwa udi na jvumba. Walianza wakina Nchimbi na sasa hata wakina Lukuvi karibuni nao watatunukiwa hizo shahada!!!
Diamond Platinumz naye ana SHAHADA ya heshima kutoka UDSM ........
Hahahaha[emoji23]Hizo PhD hata Bujibuji Simba Nyanaume naweza kumuomba Mshana Jr anipe. Tukamtafuta rafiki yangu mpendwa Skylar atuazime hata dera, kofia zipo kibao tu. Nami nikajitangaza mitaani nina PhD
Udaktari wa Heshima katika Siasa na uongozi, kwa hiyo Sasa hivi tumuite Dr. MSUKUMA[emoji23][emoji23][emoji23]? AFADHARI ya Dr. MAJI MAREFU Udaktari wake aliojitangaza nao ulikuwa unajulikana anafanya nini!Aisee wanasiasa mnakatisha watu tamaa ya kusoma bhana, watu wanahangaika kusoma kwa taabu wanakesha usiku, Kuna wengine Familia zinauza Mali za ukoo ili kijana asome, wengine wa nashindwa kumaliza kwa kukosa Ada na wengine wanashindwa kwa kufeli mitihani(discontinuation).
Masikini ya Mungu na wengine watoto wa kike mpaka wanauza utu wao kwa waalimu wao kwa kutoa rushwa ya ngono, halafu huku nyie yaani mnapeanapeana tu, eti mara Degree ya heshima, mara PhD ya heshima, acheni mzaha na elimu jamani, Elimu ni IBADA.
Eti PHD, hivi wewe Kasheku unajua PHD au unaisikia tu!!!
Udaktari wa Heshima katika Siasa na uongozi, kwa hiyo Sasa hivi tumuite Dr. MSUKUMA[emoji23][emoji23][emoji23]? AFADHARI ya Dr. MAJI MAREFU Udaktari wake aliojitangaza nao ulikuwa unajulikana anafanya nini!
Wapi umewahi kusikia standard Seven anapata PHD? [emoji23]
Na mbona hizo shahada za heshima kila siku wanapewa wanasiasa tu???View attachment 2034376View attachment 2034377
La 7 lakini kimaisha kawapiga baoMwache lasaba naye awakilishe bhana!
Hawa watu wanashusha sn thamani ya elimu yetuMsukuma hata cheti cha la saba hana. Bungeni hana mchango wowote. Kwenye jamii hana mchango wowote zaidi ya kuvimba tu.
Sasa unampaje huyu mtu honorary doctorate? Huo ni ufala.
Inatakiwa ashitakiwe harakaANAANDIKA BABA ASKOFU BAGONZA[emoji116][emoji116][emoji116]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa nimejua. Siku za karibuni Kuna mtu aliniita kutokea Arusha akaniambia jina langu limependekezwa ili nipewe udaktari wa heshima kwa sababu (akataja nyingi). Kisha akasema zinatakiwa dola 500 haraka sana na deadline ni siku ya pili yake. Akataja chuo hikihiki.
Nikamwambia hiyo hela Sina. Akasema basi leta dola 210 kwa punguzo maalum.
Nikamwambia kwa Sasa Kuna vyuo vikuu 3 humu duniani vinaniomba nipokee udaktari wa heshima kutoka kwao lakini itaambatana na cheki ya dola elfu kumi kwangu. Nikamwambia bado nasita kwa sababu walizonitajia kuwa ninazo bado nina mashaka nazo kama ninazo kweli. Tukaachana hivo.
Kumbe wakapatikana kina Msukuma?!