PhD ya Musukuma yazua gumzo, Chuo kilichomtunuku hakitambuliki

PhD ya Musukuma yazua gumzo, Chuo kilichomtunuku hakitambuliki

Endeleeni kuongozwa li chama lenu na mtu aliyeambilia div o Form six.
 
Miaka ile alianza shule akiwa na miaka 5
 
Anawazidi wenye PhD kwa pesa. King Msukuma ni tajiri!
Ndiyo kusema nini? Na wenye PhD wanamzidi elimu. Kijijini kwetu na vijiji vya jirani zamani kulikuwa na matajiri kadhaa na leo ni maskini na badala yake wameibuka matajiri wapya, ambao enzi hizo hata hawakuwepo. Ukiwa na pesa usizitumie kuwakanyaga wengine kichwani maana haya mambo hubadilika...
 
Hiyo heshima kama Andunje atanuna hivi.Angepata yeye mngemtambua
 
Ndiyo kusema nini? Na wenye PhD wanamzidi elimu. Kijijini kwetu na vijiji vya jirani zamani kulikuwa na matajiri kadhaa na leo ni maskini na badala yake wameibuka matajiri wapya, ambao enzi hizo hata hawakuwepo. Ukiwa na pesa usizitumie kuwakanyaga wengine kichwani maana haya mambo hubadilika...

Karibu yote uliyosema ni kweli....

Nilisema hivyo kwa sababu jamii yetu inathamini wenye pesa. Hata uwe profesa uliyeandika mavitabu 100 na unajulikana kimataifa kama huna pesa we ni takataka tu mbele ya jamii. Ndiyo maana akina Musukuma na Kishimba kila siku kutukana maprofesa kwa vile wana pesa japo hawajasoma!

Sijui kama Musukuma anatumia pesa zake kuwakanyaga wengine ila nijuavyo mimi ni mtu mwema na anayejitolea sana jimboni mwake...
 
View attachment 2034354

Wachunguzi wanadai kwamba eti Chuo hicho kiko India na kwamba kina matawi yake Uingereza na Marekani , bali uchunguzi unaonyesha kwamba hakijawahi kusajiliwa Uingereza wala Marekani na wala hakipo huko .

Kingine ambacho wachunguzi wamekifuatilia ni vigezo ambavyo Vimezingatiwa ili kumpa heshima hiyo Musukuma , yadaiwa ni mchongo mwanzo mwisho .



Baba Askofu Bagonza amenukuliwa kwamba aliombwa dola 500 na chuo hicho ili aingizwe kwenye mchakato wa watakaopewa PhD hiyo na hicho chuo cha Musukuma , ila yeye akagoma na akawaambia wahusika kwamba anazo ofa kadhaa kutoka kwenye vyuo vikubwa duniani vinavyomuomba akubali kupewa PhD za heshima , tena kwa vyuo vyenyewe kumlipa hadi US D Elfu 10 , siyo kwa yeye kuvilipa vyuo kama chuo cha Musukuma kinavyodai .

Swali ni hili , ni nani anafaidika na vyuo vya uongo kama hiki cha Musukuma na ili iweje ?View attachment 2034355
Sasa ndio wamvalishe mwenzao kofia ya mamantilie na joho la madiwani kwa dola 500?!!!
 
PHD ya heshima huwezi kuitumia kama 'ante' rasmi ya jina.. neno DR. utalitumia tu kwenye mawasiliano na chuo kilichokupatia hiyo shahada ya heshima na siyo vyuo vingine. Katika CV inakuwa kwenye 'awards' siyo 'academic qualification'..
Hivyo ushawishi wa shahada ya heshima inaishia kwenye uzio wa nyumba yake..😛
 
PHD ya heshima huwezi kuitumia kama 'ante' rasmi ya jina.. neno DR. utalitumia tu kwenye mawasiliano na chuo kilichokupatia hiyo shahada ya heshima na siyo vyuo vingine. Katika CV inakuwa kwenye 'awards' siyo 'academic qualification'..
Hivyo ushawishi wa shahada ya heshima inaishia kwenye uzio wa nyumba yake..😛
Mbona Kikwete anaitumia?
 
View attachment 2034354

Wachunguzi wanadai kwamba eti Chuo hicho kiko India na kwamba kina matawi yake Uingereza na Marekani , bali uchunguzi unaonyesha kwamba hakijawahi kusajiliwa Uingereza wala Marekani na wala hakipo huko .

Kingine ambacho wachunguzi wamekifuatilia ni vigezo ambavyo Vimezingatiwa ili kumpa heshima hiyo Musukuma , yadaiwa ni mchongo mwanzo mwisho .



Baba Askofu Bagonza amenukuliwa kwamba aliombwa dola 500 na chuo hicho ili aingizwe kwenye mchakato wa watakaopewa PhD hiyo na hicho chuo cha Musukuma , ila yeye akagoma na akawaambia wahusika kwamba anazo ofa kadhaa kutoka kwenye vyuo vikubwa duniani vinavyomuomba akubali kupewa PhD za heshima , tena kwa vyuo vyenyewe kumlipa hadi US D Elfu 10 , siyo kwa yeye kuvilipa vyuo kama chuo cha Musukuma kinavyodai .

Swali ni hili , ni nani anafaidika na vyuo vya uongo kama hiki cha Musukuma na ili iweje ?View attachment 2034355
Mzaha sio Mzaha! Ila watu tunamuonea Musukuma Kasheku bure kuvaa joho na kofia mgambo ile ya PhD[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji28][emoji28].....kazengua kweli kweli ujue....anafikri kusoma rahisi hajui kwanini alikimbia umande akiwa primary school.

Kifupi hii tuuite Kihiyo tu hiyo PhD

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Wachunguzi wanadai kwamba eti Chuo hicho kiko India na kwamba kina matawi yake Uingereza na Marekani , bali uchunguzi unaonyesha kwamba hakijawahi kusajiliwa Uingereza wala Marekani na wala hakipo huko .

Kingine ambacho wachunguzi wamekifuatilia ni vigezo ambavyo Vimezingatiwa ili kumpa heshima hiyo Musukuma , yadaiwa ni mchongo mwanzo mwisho .

Baba Askofu Bagonza amenukuliwa kwamba aliombwa dola 500 na chuo hicho ili aingizwe kwenye mchakato wa watakaopewa PhD hiyo na hicho chuo cha Musukuma , ila yeye akagoma na akawaambia wahusika kwamba anazo ofa kadhaa kutoka kwenye vyuo vikubwa duniani vinavyomuomba akubali kupewa PhD za heshima , tena kwa vyuo vyenyewe kumlipa hadi US D Elfu 10 , siyo kwa yeye kuvilipa vyuo kama chuo cha Musukuma kinavyodai .

Swali ni hili , ni nani anafaidika na vyuo vya uongo kama hiki cha Musukuma na ili iweje ?
Bagonza ana wivu tu
 
Tumekuwa tuniaminisha jamii kuwa ukiwa na shahada na hasa Ph.D ndio utathaminika na kama ni mbunge unakuwa na nafasi kubwa kupata uwaziri!!! Ndio maana hivi sasa kuna mlolongo wa wabunge wanafukuzia hizo Ph.D kwa udi na jvumba. Walianza wakina Nchimbi na sasa hata wakina Lukuvi karibuni nao watatunukiwa hizo shahada!!!
Lukuvi elimu yake si ya la saba hyo PhD kaipataje na lini?
 
Nilipokuwa sekondari Kuna mwandishi mmoja wa vitabu mwenye jina la kihaya nimemsahau alileta TAFRANI kwa baadhi ya VIONGOZI kwa kuwataja kuwa si madaktari wa kweli.......

Kuhusu hizi "HONORIS CAUSA" aliyopatiwa mh.Musukuma anaweza kupewa yeyote mwenye MCHANGO katika jamii ...hoja tu ni kutoka CHUO KIKUU GANI CHENYE ITHIBATI ZILIZOSIMAMA .....

Hata Nassib Abdul "alias" Diamond Platinumz naye ana SHAHADA ya heshima kutoka UDSM ........
Anaitwa
Eric Msemakweli
Kitabu
Mafisadi wa elimu
 
Back
Top Bottom