PhD ya Musukuma yazua gumzo, Chuo kilichomtunuku hakitambuliki

Musukuma sasa hivi ni msomi, hatahangaika tena kutukana wasomi. "Chuo" kilichompa digrii hiyo kiko India na huwa kinachaji dola 500 kutoa digrii yoyote ya heshima, ofizi za chuo ni chumba kimoja tu, ila kina washkaji 15 kutoka sehemu mbalimbali za India, Sri Lanka na Indonesia; wote ni wahindi.
 
Kwani Bagonza ni Mungu ?
 
Walianza akina Kamala....
 
Udaktari wa Heshima katika Siasa na uongozi, kwa hiyo Sasa hivi tumuite Dr. MSUKUMA[emoji23][emoji23][emoji23]? AFADHARI ya Dr. MAJI MAREFU Udaktari wake aliojitangaza nao ulikuwa unajulikana anafanya nini!
 
Kasheku Msukuma Naye Ametoboa Kwa Ujanjaujanja
Maisha Unaweza Kutumia Nguvu Sana Baadaye Huna Lolote
 
nani wa kupinga pale makao makuu ya hospitali ya vichaa ambayo nyerere ndio aliona bora kuweka pale
 
Inatakiwa ashitakiwe haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…