PhD ya Musukuma yazua gumzo, Chuo kilichomtunuku hakitambuliki

Hilo pose lake utadhani mhuni flan hivi wa Manzese
 
Kwani ina tofauti gani na ya Jaffo?
Wote Sawa tu hao, walio wahi kupost picha zao wameva vichupi mbele ya sufuri linalotokota moshi! PHD ya heshimaaaa??!!!! Kikao kinacho kuja utalisikia lisabufa linasema, tumpongeze docta Msukuma!
 
BASATA wachunguze hii PhD!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila huyu baba Elimu anaipenda sana, ila kusoma hatak sijui hata anakwama wapi? Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo Msukuma kapigwa?
 
Phd gani mtu kamaliza lasaba hata secondari hakutaka kusoma anataka mserereko
 
Wote Sawa tu hao, walio wahi kupost picha zao wameva vichupi mbele ya sufuri linalotokota moshi! PHD ya heshimaaaa??!!!! Kikao kinacho kuja utalisikia lisabufa linasema, tumpongeze docta Msukuma!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bwana msituzingue. Hii picha imepigwa Mwanza Buzuruga. Angalia hicho kiti. Hapo marekani ya wapi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli iv nliona hii picha FB, nkajua yeye yuko ktk vilao na madiwani jimboni kwake, eti hapa ndo nashangaa ni Ph.D mweeeeeh.
Wanatudanganya na elimu kutaka kuidanganya umma, je mahitaji ya wananchi wanatimizaje kama sio longo longo tu hawa jama kila kitu fakeroooo [emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…