KAUZUDAGAA
Member
- Sep 24, 2012
- 36
- 4
Mbona unatokwa na mapovu kama ya puff?....au umesomea BAED?......Ukweli unabaki pale pale. Kichwa kimoja cha Law, ni sawa na vichwa 50 vya PSPA, Sociology, hiyo BAED yako nk.
I see! you need big help than I can give.Ukweli unabaki pale pale. Kichwa kimoja cha Law, ni sawa na vichwa 50 vya PSPA, Sociology, hiyo BAED yako nk.
Mbona unatokwa na mapovu kama ya puff?....au umesomea BAED?......Ukweli unabaki pale pale. Kichwa kimoja cha Law, ni sawa na vichwa 50 vya PSPA, Sociology, hiyo BAED yako nk.
kilaza
UTAFITI ULIOFANYIKA UNAONEKANA PhD YA SHERIA YAANI LL,D (LATIN LEGUM DOCTOR) NDIYO YENYE HESHIMA KULIKO ZOTE DUNIANI HII IMETOKANA NA JINSI INAVYOPATIKANA NA KAZI YA SHERIA ILIVYOKUWA NYETI SANA KATIKA JAMII MAMBO YOTE DUNIANI HAYATAWEZA KWENDA BILA YA KUWAPO HII TAALUMA
mleta mada lazima ana tatizo la kisaikolojia linamsumbua
Hicho kichwa cha Law hakili? Hakinyi? Sio binadamu?
THEN WHAT??Phd Kali ni ya Mining engineering,Law ni kama phd ya Business,ila all in all pesa ndio mpango mzima uwe na law or sociology what matters is your cash. Mbona unatokwa na mapovu kama ya puff?....au umesomea BAED?......Ukweli unabaki pale pale. Kichwa kimoja cha Law, ni sawa na vichwa 50 vya PSPA, Sociology, hiyo BAED yako nk.
huu ushabiki huu...hivi we mtoa uzi unaijua phd ya udaktari? nenda kafanye utafiti vizuri. mi sio daktari ila natoa saluti kwa wenye phd za udaktari
hatukatai lakini wameisaidia nini nchi yetu??kila degree ni ya kuheshimiwa. mpigamsuli je unajua nchi yetu ina watu watatu tu wenye PhD ya Nuclear Physics na mmoja wa hao watu ni makamu wa rais Dk.Bilal?
Mbona unadharau faculty ya BAED?
Acha upuuzi we ----.
Hicho kichwa cha Law hakili? Hakinyi? Sio binadamu?wewe ndio kilaza unaesoma sociology
nasikitika kuona jukwaa la "wasomi" limekua jukwaa la mipasho...Ukweli unabaki pale pale. Kichwa kimoja cha Law, ni sawa na vichwa 50 vya PSPA, Sociology, hiyo BAED yako nk.
nasikitika kuona jukwaa la "wasomi" limekua jukwaa la mipasho...
Mzee mi sina PhD lakini naziheshimu na ninaziogopa mno, zote. Kumbe kuna nyingine iko juu zaidi ya zote?Halafu kuna watu wawili tu hapa Tanzania wao wamefanikiwa kuchukua PhD za sayansi ambazo hakuna mtu mwingine aliyenazo (kila mtu kwenye field tofauti na mwenzake), je hawa jamaa utasemaje kuhusu hizo PhD zao? Jitahidi tu angalau uwafahamu
nasikitika kuona jukwaa la "wasomi" limekua jukwaa la mipasho...
Sasa kama wachokonoa mada wenyewe wanatoka MUCCOBS unategemea nini? Hoja nyepesi hujibiwa kwa wepesi
acha utoto