hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,544
Katika usomi, kuna kuelimika, kufikiri, kupambanua na kupembua vitu kwa umakini na kisha kutoa maoni yako bila kuonyesha ushabiki bali kutoa hoja ...mleta thread nashindwa kuelewa kama Ulifanya huo utafiti wewe au mwingine, na kama mwingine ndiye aliyeufanya yako wapi majibu ya utafiti huo lakini zaidi tunaweza kuuthibitishaje?
Pili, kushabikia (kung'ang'ania mada bila hoja) ni kutokuwa kimawazo, kielimu pia.
Pili, kushabikia (kung'ang'ania mada bila hoja) ni kutokuwa kimawazo, kielimu pia.