PhD za Mwenge University zinatambulika wapi?

PhD za Mwenge University zinatambulika wapi?

jambo usilolijua ni kuwa private sectors ndio zinaongoza dunia kiuchumi,nilikuwa napitia nchi ya china Ph.D graduates Kwa 2019 ni 49,498 kwenye STEM field pekee huku U.S wakiwa 33k (forbes) out put yake ni economy stimulation through research,innovation,and creativity.
~endelea kushangaa utaishia kusikia china wanatupa mikopo ya riba nafuu.
Private sector ya China sawa na hicho chuo chenu?
 
Kinafata sheria za kidini ya kikistru hatareeeeeeee , kuanzia mavazi mpka kuongea dahhhh ni noumaaaaaa




In shot ina tambulika. Cha msingi kichwani pawe na maarifa si unajua PHD ni mihadhara kama yoooote plus intellectual dealings......




 
Ni rahisi Phd ya Mwenge kutambulika TANZANIA kuliko Phd ya Udsm kutambulika Marekani.
 
WATUU WANA WAZA KUSOMA PhD ..... UDDDDDDDSM ,, MZUMBEEEEEEEE. , SUUUUUUUUUUUAAA. KUDADEKIIII NENDENI HUKO MKALIWE VICHWA ,. MAANA DATA ZOTE ZIPOOOO KWA KULIWA VICHWAAAA .......HATA UKITOA. ***** UNALIWA KICHWA KISA DISSERTATION MBOVUUU PELEKA KWA MKEOOOOOO HIYO DISSERTATION ALISIKIKA. DR. MMOJA PALE MZUMBE -DSM CAMPUS HAHAHHHHHH KUDADEKIIIII
 
Kwani Jordan nao wanatoa PhD
Ndio. Hata namna Lecturer anakua Professor ni kichekesho! Dr Mushi huyu alishastaafu serikalini akiwa Lecturer tu. Majuzi karuka u-Senior lecturer kimiujiza Sasa ni Professor!
 
Mwenge ni mojawapo wa vyuo ambavyo viko strict sana usitegemee kitonga pale
 
Sasa PHD itambulike na halimashauri ili iweje? Elimu yoyote ile inakuwa verify na mamlaka ya kusima elimu hiyo ndani ya nchi husika. Ndio maana hata ukiajiriwa ukimwambia muajiri na kumuonyesha cheti Chako, hawezi kujua Kama ni sahihi au la ila anaweza kuwasiliana na tume ya vyuo vikuu (TCU) au Nactevet Kwa vyuo vya kati na vyuo vya ufundi.

Kwahiyo kutambulika Kwa PHD ya chuo chochote kile duniani hufanywa na mamlaka husika yenye jukumu Hilo kwenye nchi husika, na sio Kwa mtu au taasisi kuangallia na kutambua.
 
Kwa hapa Tanzania, vyuo vya private vinavyotoa PhD ni
1. SAUT-MWANZA
Hawa wantoa PhD ya Journalism na PhD in Law
2. MWENGE UNIVERSITY - MOSHI
PhD in Education
3. NORDAN UNIVERSITY - MOROGORO
PhD in Education
Note: Watu maarufu waliosoma PhD katika vyuo hivi vya private na wamepata Akira serikali I ni DR AYOUB RIOBA mkurugenzi wa TBC. Huyu amepata PhD yake ya uandishi wa habari hapo SAUT MWANZA
Vyuo vyote vitatu vinamilikiwa na kanisa katoliki
 
Kwa hapa Tanzania, vyuo vya private vinavyotoa PhD ni
1. SAUT-MWANZA
Hawa wantoa PhD ya Journalism na PhD in Law
2. MWENGE UNIVERSITY - MOSHI
PhD in Education
3. JORDAN UNIVERSITY - MOROGORO
PhD in Education
Note: Watu maarufu waliosoma PhD katika vyuo hivi vya private na wamepata Akira serikali I ni DR AYOUB RIOBA mkurugenzi wa TBC. Huyu amepata PhD yake ya uandishi wa habari hapo SAUT MWANZA
Vyuo vyote vitatu vinamilikiwa na kanisa katoliki
 
Ayoub Riob hakusoma PhD SAUT amesomea Finland (University of Tampere, Finland 2012).
NB: Naambatanisha na PhD Thesis yake.
Kadanganye SAUT alumni wenzio
 

Attachments

Jordan University College,wanatoa PhD zifuatazo:
1. PhD in Philosophy
2. PhD in Theology
3. PhD in Education

Acha ushamba wa kukariri vyuo kisa ni maarufu. Kwahiyo wewe Juma, unataka nchi nzima iwe na vyuo vyako hivyo ulivyovitaja tu? Akili au Matope?

Dunia nzima inajua ubora wa elimu wa vyuo vya Kikatoliki na shule zake.

Kwa taarifa yako — hakuna Chuo hapa Tanzania kinaweza ku battle na Jordan Kwa Falsafa na Theology..! Uliza Staff wa Falsafa kwenye hivyo vyuo ulivyotaja wamesomea wapi?

Jordan ilikua Seminary kuu ikiitwa Salvatorian Institute of Philosophy and Theology tangu mwaka 1992! Ni Mabingwa katika Sekta hiyo vibaya Mno.

Kakojoe ukalale sasa.![emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom