Phila Ndwandwe: Binti mwenye akili kubwa aliyechagua kufa kuliko kumtumikia Kaburu!

Phila Ndwandwe: Binti mwenye akili kubwa aliyechagua kufa kuliko kumtumikia Kaburu!

Vijana wanadhani kun'goa utawala ni kazi ndogo. Hakuna mwenye madaraka, aliyetayari kuyapoteza kirahisi.
 
Leo hii wanawake wanadai haki hawadai haki ya kupambana kama phile...Bali kuvuruga ndoa na kuhalalisha mfumo jikke


....hawadai .hakuna maana tena..
Wanachodai wanawake siku hizi ni kwamba mbona kwenye kupika tunakuwa wote ila tukishapakua wanawake wanatengwa? Yaani iko hivi.. Hizi nafasi za kisiasa kama ubunge ukuu wa mkoa nakadhalika huwa sio kazi kama wanavyojinadi wenyewe wanawakilisha wananchi au wanawatumikia wananchi. Hapana tena hapana kabisa na sio kweli hata kidogo. Hizo nafasi za kisiasa zote ni kuwakilisha wananchi katika kufaidi keki ya taifa.

Kupata misahara minono na posho na marupurupu kibao na heshima inayokaribia uungu baaaaasi hakuna kingine wanachofanya. ngekuwa wabunge kwa mfano wanawakilisa wanachi na wana akili timamu kabisa na wana spika pia, basi ile sheia ya sijui uhujumu ucumi sijui usuuzaji fweza isingepita na kipengele ca kumnyima dhamana mtuhumiwa. Yaani mtu anakuwa na hatia hadi ithibitike mahakani kuwa hana hatia badala ya kuwa kinyume chake!!!.

Yaani mwenye uheshimiwa kidogo ikitokea mmekwaruzana sijui mnagombea demu bar basi anaweza kukupa kesi hii na anajua hakuna usaidi wa kukutia hatiani , ila inamfaa tu hadi ukithibitisha una hatia utakuwa ushafungwa miaka miwili au mitatu jela. Daaaah na wako watu kabisa wana moyo wa kutete uchawi huu. Hivo wamama endeleeni kudai haki ya 50 kwa 50 maana kule siasani hakuna majukumu yeyote zaidi ya kujigawia rasilimali za taifa
 
Hata Hapa kwetu wapo wahanga wa unyanyasaji kama huo Esta matiko Halima mdee Mbowe Tundu lisu kidume huyu nabatiza jina jipya magumu kufa na wengine kama kigaila Mnyika bulaya yani tuseme viongozi wote wa chama cha chadema RIP mawazo Mwamba wa geita ulipumzishwa kwanguvu
 
kama utawala wa makaburu ulivyo anguka ndivyohivyo hivyo utawala wa CCM utavyo dondokea pua…..........… nyambafuu
 
Nop alikuwa sahihi nje ya hapo yangeluwa ya Rwanda. Hata sasa Rwanda bado wakifanya mchezo watachinjana tena ndio tuna kataa sera za Rwanda ktk taifa hili.
Hakuwa sahihi hata kidogo... Yote aliyofanya kwa weusi wenzake yalikuwa yamepangwa na watawala Makaburu wakati Huo... Sharti moja wapo la kumuachia huru ni kuto wabugudhi Wazungu....
 
Bila kuwa samehe bondeni kungefuka Moshi mpaka bongo
Mpaka Sasa hivi ubaguzi, ukandamizaji wa watu weusi uko pale pale kutokana na kutowafukuza wazungu... Mali wanazozimiliki, walizowanyan'ganya weusi nazungumzia ardhi yote nzuri etc inamilikiwa na wanyan'ganyi walewale... Unajuwa kwanini South Africa Hakuna amani?? Bado uhuru wa kweli haujapatikana.....
 
Mpaka Sasa hivi ubaguzi, ukandamizaji wa watu weusi uko pale pale kutokana na kutowafukuza wazungu... Mali wanazozimiliki, walizowanyan'ganya weusi nazungumzia ardhi yote nzuri etc inamilikiwa na wanyan'ganyi walewale... Unajuwa kwanini South Africa Hakuna amani?? Bado uhuru wa kweli haujapatilana.....
Africa nzima Baba mkuru hakuna Uhuru, huoni Almas, dhahabu yenu inachukiwa kwa nguvu kwani? hakuna kuhoji, maskini jiwe leo anamung.unya maneno! katulia tuli alikurupuka!

Posho ya kuendesha serikali yenu mnapewa! km msaada!

Mikataba ya Berlin Conference haijabadilishwa mpaka leo! iko Vatican, kila Mkoloni anaendesha kipande chake. Tanganyika inatakiwa sana irudishwe kwenye Ramani, kama Zaire ya zamani!

Hata ardhi ukipewa itakuwa km yaleyale ya Mashamba ya Mkonge Tanga, Zimbabwe umesahau! Kenya alikubali kuyaacha mbona anaishi?

Hebu fikiria Mtu anakuja kukwambia, uki Olewa ttu nakupa hela! hutaki sikupi! amekudharauje? huyu ni mtu ana Ardhi kuuubwa! ukijikakamua kusemasema ananyamaza kimya!
 
Nakumbuka enzi zile tunasoma, hiyo ilikuwa point moja ya kujibia swali la history. Somo lilikuwa tamu sana.

Miaka michache baadaye wakabadili kitu flani kwenye ujibuji wa maswali ya somo la historia. Niligundua nilitaabika sana maana nilifahamu hakuna kitu tena
 
Tunamtamua Nyerere tu.

Kama ustaadhi Mwinyi na JK ni wenzenu na hawakusaidia kuiweka historia ya waislam hao hadharani,ndo basi tena.
Hata historia ya nchi yetu inachanganywachanganywa na kuvurugika, kuna wazee wa kiislam wengi walipigana kufa damu kuitetea Taifa lakini leo hii hawasikiki kabisa kwenye vitabu vilivyopo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom