Phila Ndwandwe: Binti mwenye akili kubwa aliyechagua kufa kuliko kumtumikia Kaburu!

Phila Ndwandwe: Binti mwenye akili kubwa aliyechagua kufa kuliko kumtumikia Kaburu!

Huyo kweli ni shujaa. Ni wachache sana wenye hulka kama huyo binti. Mungu ampe pumziko jema huko aliko
ALIKUFA BURE tu hakuna vita yeyote ya ubaguzi iliyoisha

Waafrika kusini weusi mbona wanabagua waafrika weusi wenzao toka nchi zingine
mweusi toka nchi zingine Afrika kusini habaguliwi na mzungu bali mweusi mwenzie

mimi sielewi akina mandela walikuwa wakipigania ubaguzi upi mbona Afrika kusini bado upo?
 
Jamaa ungekuwa mwalimu wa histori ungesababisha kizaliwe kizazi cha magaidi weusi, huu usimuliaji huchochea hasira na huhamasisha ari ya kulipa kisasi
Simulizi nyingi za huyu member huwa zimekaa ki uongouongo na bias, utadhani emetumwa na taasisi kumsafisha ama kumchafua mtu
1. Simulizi zake juu ya Paulo K zimajaa kumsifia wakati yeye ni blood sucker anayefurahia kuona mizoga ya watu kila mara.
2. Simulizi yake juu ya Jonas savimbi ilinichefua kupindukia, utafikiri alitumwa na mabeberu kumchafua shujaa wangu aliuawa kikatili na mabeberu.
 
Nimeipenda simulizi hii hakika inatufundisha sisi wanawake. Nimefurahi sababu kuna simulizi chache sana kuhusiana na wanawake walioshiriki kwenye harakati za ukombozi. Mtatulaumu bure wanawake lakini kuweni wa kweli. ... hata katika vitabu vya historia ya Africa tulivyosoma sekondari hawatajwi mashujaa wanawake waliozidi watano!haya sasa tunawajulia wapi? Labda mwandishi tusaidie kutafuta historia kama hizi zinazowaonyesha wanawake wakiwa wanafanya matendo makubwa zaidi ya Instagram na make up! Great post
 
Jamaa ungekuwa mwalimu wa histori ungesababisha kizaliwe kizazi cha magaidi weusi, huu usimuliaji huchochea hasira na huhamasisha ari ya kulipa kisasi
Kama anasimulia ukweli hakuna shida ila kuchomeka taarifa zisizo sahihi hilo kosa kubwa. Mfano kudhibitisha kuwa mtoto wa Phila( R.I.P) naye aliuawa wakati siyo kweli jambo hili limeniudhi na si salama kuharibu au kupotosha historia. Pia inasemekana hiyo picha ya huyo dada mwenye mtoto hapo post ya kwanza ya uzi huu siyo picha halisi ya Phila na Thabana ( mwanaye bali ni picha mpiganaji mwingine wa huko Angola na ilipigwa huko huko. Historia ni jambo nyeti sana.
 
Back
Top Bottom