Philip Mangula ang'atuka nafasi ya Umakamu Mwenyekiti CCM Taifa. Abdulrahman Kinana apendekezwa na Halmashauri Kuu kuchukua nafasi yake

Unakonda kwa kumsingizia Kikwete kila kitu! Huku yeye alicheka tu na kukudharau
 
Ni kwel kuwa nchi inaongozwa kutoka m.sog,a kwenda ddm.. hata kama hujui kusoma na picha hujui? Ongera sana comredi, twende sasa kuleeeee...
Mkiacha maisha ya kuhisi hisi watu mtaishi kwa raha sana! Mtaacha hata kuwaua vikongwe kwa kuwahisi wachawi huko kwenu
 
Nukuu kutoka kwa kada wa muda mrefu wa CCM ambaye pia ni Waziri Mkuu Mstafu, Mh. Frederek Sumaye.;

"Kama Kinana ni kipimo cha uadilifu, basi mimi nitakuwa ni mtakatifu"

Ahadi ya mwana CCM - Nitasema kweli daima, fitina kwangu ni mwiko.
 
Kweli nimeamini usimfanyie ubaya binadamu mwenzio huwezi jua kesho atakua wapi![emoji3535]
 
Chadema hawajawahi kuwa wazalendo katika jambo lolote.
 
mzee Mangula inatosha sasa, anaweza kuwa mshauri mzuri sasa.
 
Yusuf Makamba naye anakula jaramba kuchukua nafasi ya mtu!
 
Ndio nakwambia kama Jiwe asingekuwa anakata mirija ya watu basi usiongeona kelele za watu kuona Jiwe ni muovu, hayo ya yeye na Makonda watu hawana uchungu nayo kama asingekata mirija.

Kelele enzi za JK zilikuwa nyingi kuliko zake, na hizo ndio zilichangia Magufuli kuwa rais. Lakini alipoingia ndio akaja kuendesha siasa za kihayawani kuliko maelezo. Yeye alikuwa hakubali hata challenge ili ajifanye ni kiongozi bora.
 
Kelele enzi za JK zilikuwa nyingi kuliko zake, na hizo ndio zilichangia Magufuli kuwa rais. Lakini alipoingia ndio akaja kuendesha siasa za kihayawani kuliko maelezo. Yeye alikuwa hakubali hata challenge ili ajifanye ni kiongozi bora.
Huu ni ukweli, jiwe hakuwa mvumilivu wa siasa
 
namkubali sana Mzee Kinana.
ni makini sana mwenye busara
[emoji23][emoji23][emoji23]
Waziri mkuu mstaafu sumaye alisema Kinana anahusika na meno ya tembo
 
Ameresign
Ilikua lazima aondoke maana kuna mambo mengi alikua hakubaliani nayo mfano issue ya bagamoyo port ambayo team Msoga wanataka kuirudisha mezani ..kuna kipindi aligombana kwa maneno na Nnauye kuhusu hii port
 
Mafutq na maji haviungani kamwe bora mzee umejitokea uwaachie wanaojiona wao ndio wana hati miliki ya nchii hii ....tukutane mbele hapo
 
ILE DEPOT YA KUIFADHIA MAGARI KUTOKA. BANDARINI ,YA PALE KARIAKOO. ITAZINDULIWA UPYA NA KUWA FUNCTIONING. ASEEEEE WAZEEE WA UPIGAJI KARIBUNI SANA , TANZANIA NI SHAMBA LA BIBI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…