The Great Kangi Lugola!mwehu Sana yule!alicheza kamata chini,kamatia chini😆Bado Ngeleja, Mhongo na yule baba aliekata mauno na askari akiwa waziri wa mambo za ndani...🤣
Ni kweli apumzike ana Miaka 81Ni mzee acha apumzike
Kwa sasa nadhani umri umeenda sana.Mangula ameachia nafasi ya umakamu mwenyekiti CCM, kaona isiwe tabu.
Ila hii Ni Mara ya Pili mzee anawekwa pembeni, sijajua ana tatizo gani na wenzio huko.
Nafasi imechukuliwa na Kinana
Membe karudishwa CCM
===
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula leo Alhamisi Machi 31, 2022 amewasilisha katika Halmashauri Kuu ya CCM barua ya kuachia nafasi hiyo.
Kikao Cha Halmashauri Kuu ya CCM kimependekeza jina la Katibu Mkuu wa zamani Abdulrahman Kinana kuteuliwa kupigiwa kura za kuwa Makamu Mwenyekiti CCM Bara ambapo atachukua nafasi ya Philip Mangula.
Kikao hicho kimefanyika leo 31 Machi 2022 Jijini Dodoma.
Pia soma;
1). Nashauri Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula ang'atuke na akabidhi mikoba kwa Abdulrahman Kinana
2). Ukatibu Mkuu CCM: Nani anafaa kuchukua nafasi ya Daniel Chongolo? Kinana ndani
Jiwe lilishainuka likakataliwa,kazi iendeleeSera za kuhamasisha uhai wa chama kwa kutumia ubwabwa na magharagwe zarudi kwa kasi ya kazi iendelee . Muda si mrefu Mungu ataonesha Neema yake juu ya Tanzania atanyanyua mawe ya tetee wanyonge na maskini wa Taifa hili.
Ww ukae kwa kutulia ulifurahi mno chuma alipodediMpira umerudi kwa majangili. Kina Kinana. Tembo watapungua sasa. Wauza madawa wapo freee.
[emoji3][emoji3][emoji1]Hivi Musiba atakuwa na hali gani?Wote aliowachambua na kusema maovu yao wamerudi serikalini. Kuanzia January,Nape na sasa Kinana bila kumsahau Membe.
Na bado watu hawaelewi ulichoandika hapa!Radio mbao zinasema mzee wa mikakati anaingia kuupanga uchaguzi wa 2025.
Pisha kule. Siwezi furahia kifo cha Magufuli. Ingawa kuna idea zake nilikuwa sizikubali.Ww ukae kwa kutulia ulifurahi mno chuma alipodedi
Ww ulirukaruka na kukata mauno.....Pisha kule. Siwezi furahia kifo cha Magufuli. Ingawa kuna idea zake nilikuwa sizikubali.
Mr shaka , mwenezi wa ccm,Rais
Waziri mkuu
Katibu mkuu kingozi
Makamu mwenyekiti hapo ni Islamic state kweli.
Ndo mwisho wao wa kufikiri? Kwanini hawatengenezi timu ya majina mapya tunarudia rudia yaleyale?
Wapore tena mali za chama!
Nikajua Shamimu na Abdul,kumbe Hawa Tena wengine!
Mama urais umeshamnogea, kaanza kupanga majeshi mapema kabisaHiyo ni mikakati ya 2025
Abdrahaman kinana mpanga mipango
Watz ni wapumbavu Mungu hawezi kushughulika nao tenaSera za kuhamasisha uhai wa chama kwa kutumia ubwabwa na magharagwe zarudi kwa kasi ya kazi iendelee . Muda si mrefu Mungu ataonesha Neema yake juu ya Tanzania atanyanyua mawe ya tetee wanyonge na maskini wa Taifa hili.
Mwenyekiti - samia suluhu hassanHhahahaha
Yaan Mwenyekiti akiwa Samia, Makamu Kinana na Katibu Chongolo inakuwa udini
Ila ikiwa Mwenyekiti John, Makamu Philip na Katibu Bashiru inakuwa hakuna udini
Ni kama chadema na mfalme wao "Zelbub"Acha apange safu....
MAAANA HATA MAANDIKO YANASEMA,
""Acha wafu wazikane wao kwa wao""