Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisikika Mataga mmojaTutegemeee Twiga, Tembo, Simba, Faru, Zebra na wanyama wengine kupungua, madawa ya kulevywa mateja vibaka kuongezeka mtaani,
Rushwa kutamalaki na mali za CCM / umma kubinafshishwa tena kwa kina Rostam.
Kazi kweli kweli Sie Watuangalie tu Mtaani Kuna Moto hali tete na Mbaya
Why?Samia anaweza kupinduliwa na Jeshi
Huo ndio ukweli....hapo bado Rostam tu, timu inakamilika. Utamsikia muda si mrefu anarudi. Sukuma Gang na ligasi zao tupa kule..Radio mbao zinasema mzee wa mikakati anaingia kuupanga uchaguzi wa 2025.
Mataga mkizidiwa nguvu huko CCM ndio mnatafuta huruma ya Chadema,pambaneni na hali yenu huko huko.Sasa Chadema huu ndo muda wenu wa kushine kama mtakuwa na akili. Nendeni kwa wananchi mjijenge. Maana ukweli sasa hii iliyopo ni serikali ya kufavor matajiri ambao ni minority hapa Tanzania.
Naona kuna figisu sio bure kuna mengi nyuma ya pazia.Sasa aanayechukua nafasi ni mzee pia na kahudumia awamu zaidi ya moja
Ukimaliza kuota utatuambia.Samia anaweza kupinduliwa na Jeshi
Kutoka kwenye fikra zako kwenda kwa masikio ya Muumba, na iwe hivyoSamia anaweza kupinduliwa na Jeshi
Unajua watu wa ccm huwa nawashangaa, 2015 walisema ili kunusuru chama ilibidi wampitishe jiwe. Bila hivyo maji yalikua ya shingoChama kimerudi kwa wenyewe
Ni Mzee kuliko Kinana siyo! Kama ni hivyo basi ni jambo zuri. Ingawa kwa wengi tunaamini chama kinarudi nyumbani.Ni mzee acha apumzike