Philip Nele Nduguru: mchoraji katuni wa gazeti la Sani

Philip Nele Nduguru: mchoraji katuni wa gazeti la Sani

mwamba sana huyu angekuwa USA saa hizi angekuwa kwenye bonge moja la jumba lake la kifahari pale hoollywood huku helikopta,lamborghini,ferrari nk zikiwa zimepaki nje...akiingiza mamilioni ya madola kama maokoto kwa katuni zake kutumika kama animation movies,ila kibongo bongo mikono iliyobarikiwa kama yake itaendelea kula msoto
 
Kumbe ni mchango wa kukua na kuenea kwa rugha ya kiswahili kwasasa
Madenge ni mtindo wa kunyoa
Pimbi ni mtu mfupi
Ndumira kuwili ni mtu mwenye ndimi mbili
Rodirofa ni mtoto wa mjini

Pimbi ni mnyama pori familia ya panya...
 
hivi kwanini kile kipindi kilikufa gafla
Kote kilipoenda kiliishia njiani nahisi waandaaji na mwenyewe main character walikua na Jambo lao nahisi maana Channel 5 I think sasa hivi inaitwa EATV kilianza hapo km sio ITV kikatoka kikaenda TBC kikatoka kikaenda sijui DStv I think again km sio Wasafi TV ndio kikaishia huko kinaitwa Bongo Dar es Salaam nyimbo ya Prof J imehusika Ila pia katuni ya Rodilofa zee la Misheni za kazi Chafu nayo ndio mulemule
 
Misheni za kazi Chafu nayo ndio mulemule
nimecheka sana ila kilikuwa kizuri sana na ndio kuenzi kazi za wasanii wakongwe inabidi bongo movie wajifunze na wawe wameshiba sio waje na makeke hadhira ipo hawaleti vitu tununue tule wao wanaleta michezo ndio maana wadau wamewapuuza na kazi zao za sasa.
 
nimecheka sana ila kilikuwa kizuri sana na ndio kuenzi kazi za wasanii wakongwe inabidi bongo movie wajifunze na wawe wameshiba sio waje na makeke hadhira ipo hawaleti vitu tununue tule wao wanaleta michezo ndio maana wadau wamewapuuza na kazi zao za sasa.
Ndio ubunifu kuna nyingine nasikia wameanzisha DStv sijui Bongo au POA Ila humo kuna wasanii hawa waimbaji na wanaofokafoka wanaonyesha jinsi gani wanapiga deal's na mishe zote mjini Safi na Chafu,
 
Jamani Lizzy, mi navipataje lakini?
Ni ngumu 😵😵😵

Haya ni ya Tibasima (mmoja wa wachoraji wa Sani), ukienda kwake unaweza kukaa usome mpaka uchoke, lakini haazimishi kwasababu watu hawarudishi na wengine wanarudisha yameharibika.
 
Ni ngumu 😵😵😵

Haya ni ya Tibasima (mmoja wa wachoraji wa Sani), ukienda kwake unaweza kukaa usome mpaka uchoke, lakini haazimishi kwasababu watu hawarudishi na wengine wanarudisha yameharibika.
Basi Nifah aende akasomee hapo hapo na Tibasima au unasemaje? Si ana gari kubwa Ford Ranger?
 
20230726_112817.jpg
20230726_112839.jpg
20230726_113454.jpg

20230726_113807.jpg
 
Kumbe nawe muhenga mwezangu nakuchukuliaga kama wa 2000's
 
Back
Top Bottom