PHOTOS - Uhuru has commissioned this massive Sh65 billion superhighway in Nairobi today

PHOTOS - Uhuru has commissioned this massive Sh65 billion superhighway in Nairobi today

Watanzania acheni ujinga..

Kuna tofauti gani kati ya toll fee na Road license?

Tanzania kila mwenye gari hata kama linatembea kwenye barabara ya matope analipa road license ambayo zamani ilikua unalipia TRA na unapewa sticker ila sasa ivi unakatwa kwenye mafuta.


Ujamaa umewapumbaza watz.
Ujinga nawewe unao.

Kwani kwenye litre moja ya mafuta unalipia shingapi ya road license????na je unafahamu litre moja ya petrol kenya ni shilingi ngapi ukilinganisha na tz???

Unaandika tu.
 
These are projects that are part and parcel of our development road map. I know after kenya starts projects, you guys hurry to launch smaller versions of the same without forethought(Impulsive creatures), then along the way you get stuck after launching several times. These projects were thought out decades ago eg Lamu port has been in GoK books for almost thirty years. Vision 2030 is a road map for kenya upto the year 2030 , if you are waiting for us to stop you have 11 more years to wait.

More is coming including a 450km dual carriage highway road from Busia-siaya-kisumu-homa bay-migori-Tanzania. Also a pipeline from turkana to Lamu port (sorry i heard yours is suspended), an sgr line from Lamu to ethiopia and another from isiolo to the mombasa-nairobi sgr linking Lamu port to Nairobi.
Another is a friendship city between kenya and ethiopia at moyale, Lamu industrial city, Isiolo resort city etc.
You get the gist keep holding your breath,you will die waiting.

Ni ajabu kudhani tunafanya sababu nyinyi mmefanya.

Kama tungekuwa tunashindana kujibu vihoja vyenu,bagamoyo port ingekuwa underconstruction,but NO.

Ni vile mnakimbia hamjui mnaenda wapi,sgr inatwambia mengi.
 
Baada ya kipigo mfululizo hatimaye wakenya wapumua sasa humu jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Hongereni sasa kwa kupata pumziko la muda,yess ni la muda.
Si muda mrefu kipigo kingine kutola LDC nation kinawajia.
Hizi ni akili za kitoto sana. Kenya haina muda wa kumtizama mtu yeyote yule. Watu wana roadmap na mipango ya kufikia malengo yao k.m. Vision 2030.
 
Very true it is the duty of government to protect the natural rights of individuals and the right for people to pursue happiness in the way they see fit. It is not in the best interest of business to oppress people and if left to the market, the market can easily get rid of such a business by not buying it's products. In summary the market has a solution for most human needs but regulations stifle the market.

Probably it is because I am a firm believer in objectivism and the maximization of the potential of the individual as the highest ideal. I am more in line with Ayn Rand on the economic side.
Point noted !......the market will eliminate such exploitative forces by itself ,by individuals choosing the most affordable.
Thank you.
 
Ni ajabu kudhani tunafanya sababu nyinyi mmefanya.

Kama tungekuwa tunashindana kujibu vihoja vyenu,bagamoyo port ingekuwa underconstruction,but NO.

Ni vile mnakimbia hamjui mnaenda wapi,sgr inatwambia mengi.
Reason is not automatic. Those who deny it cannot be conquered by it. Do not count on them. Leave them alone. ~Ayn Rand
 
Hizi ni akili za kitoto sana. Kenya haina muda wa kumtizama mtu yeyote yule. Watu wana roadmap na mipango ya kufikia malengo yao k.m. Vision 2030.
Actually hata uchumi wa 99bln kenya ya fieled haiuoni,tofauti na nyinyi wakenya watoto wa humu jf[emoji23][emoji23][emoji23]
 
The IMF and world bank are imperialists agents, Kenya, unlike Tz, is an imperialistic countty,

Kesi ya ngedere hakimu nyani binadamu atapona??.🤣🤣
Are you trying to insinuate that out of 54 African countries, it is only Tanzania whose economic growth is systematically skewed by the two institution to portray it weak economically for reasons best known to Tanzania?
 
I almost forgot about this one.
Great things.

Not to forget the Nairobi - Nakuru highway (175km) will be dualled from next year.
So we're talking about a massive superhighway from Mlolongo to Nakuru non-stop.

And if the Mombasa - Nairobi one proceeds, it will be Mombasa to Nakuru.
What a time to be alive.

''Kenya itatuona tu namba..'' 😂😂😂😂
The Mombasa - Nairobi Expressway mambo imenoga
 
Actually hata uchumi wa 99bln kenya ya fieled haiuoni,tofauti na nyinyi wakenya watoto wa humu jf[emoji23][emoji23][emoji23]
Boss, hueleweki, unajaribu kusema nini? Au ndio ulinuia tu kuumiza vichwa vya wanaosoma hizi pumba kwenye hii comment yako?
 
Boss, hueleweki unajaribu kusema nini? Au ndio ulinuia tu kuumiza vichwa vya wanaosoma hizi pumba kwenye hii comment yako?
Kwani skul yako iko na githeli ndani!!!!!

Huko field ni mwendo wa mikopo tu,wakati mnashangilia 99bln.
 
Kwani skul yako iko na githeli ndani!!!!!

Huko field ni mwendo wa mikopo tu,wakati mnashangilia 99bln.
Ungekuwa mjanja kama unavodhania, ungeweza kung'amua kwamba huu mradi sio wa mkopo. Info yote ipo hapo kwenye taarifa. Au hata taarifa ya mada pia hujui ilipo?
 
Ungekuwa mjanja kama unavodhania, ungeweza kung'amua kwamba huu mradi sio wa mkopo. Info yote ipo hapo kwenye taarifa. Au hata taarifa ya mada pia hujui ilipo?

Huo sio mkopo ni uwekezaji wa miaka 50,unajua maana yake???au ndio kushangilia tu!!!
 
Kule Westlands wanaishi Mostly Wahindi na watu wenye kipato kikubwa ni pazuri sana kule...Hao ndio watafaidi lakini wengineo kule uswahilin subiri
 
Ashakum si matusi lakini kujadili chochote na mpumbavu kama wewe ni kupoteza muda.
Huo sio mkopo ni uwekezaji wa miaka 50,unajua maana yake???au ndio kushangilia tu!!!
Hapa unasema sio mkopo, eti ni uwekezaji wa miaka 50. Hapa chini dakika chache zilizopita ulisema ni mkopo.
Kwani skul yako iko na githeli ndani!!!!!Huko field ni mwendo wa mikopo tu,wakati mnashangilia 99bln.
Boss, inamaana kwamba unajadili kuhusu jambo ambalo hulifahamu hata kidogo? Mbona usichukue muda kidogo tu kufanya utafiti kabla ya kuleta ubishi na ujuaji mwingi?
Sina la ziada.
 
The Mombasa - Nairobi Expressway mambo imenoga

Great. Not only do we have great infrastructure, we also have a thriving media.

Tanzania naomba mungu kila siku dikteta wenu awaruhusu muwe na media independent. Hio siku ikifika, mtapata ripoti kama hizi.
 
Back
Top Bottom