Phtos that Kenyan Politicians wont show you!

Phtos that Kenyan Politicians wont show you!

Really?? Nyie watu mumekaririshwa vitu vya ajabu, mnafaa mfikie hatua ya kuanza kutumia akili zenu pamoja na hizo za kuambiwa. Hivi ni mwanasiasa gani Mkenya huwa anawaza Tanzania eti apoteze muda wake kutuziba tusiione Dar.
Kwa kweli mimi hata ningechagua kuishi kwenu nisingechagua Dar, labda miji mingine kama Morogoro, Arusha au hata Dodoma.
Huo mji wenu wa Dar hamjaupanga kabisa, halafu mifereji ya maji taka kero tupu, foleni zenyewe ndio usipime, ukiongeza na joto yaani hata wiki moja mtu anahisi kuchizi.

Hebu ona hii picha umeleta hapa jinsi majengo yamekaa, yaani katikati ya mji NCBDA utadhani ni makazi, residential area

dar-es-salaam3-jpg.513335


Majengo ya mjini yanafaa kuwa yamepangwa corporatish

Nairobi-from-KICC.jpg

Let me burst your bubble. Kenyan politicians never talk about Tanzania. The number of times I've heard Magufuli mention Kenya, either by name or indirectly, far exceed the number of times any Kenyan politician mentions Tanzania.
But it's understandable. You're beneath us.
 
Back
Top Bottom