The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Kwani nani aliwaruhusu kujenga hivyo??Kuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana.
Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia.
Lakini pia hiki ni kielelezo namba 1 kwamba waafrica hatuna akili na tu wabinafsi wakubwa kwa nchi kama TZ yenye aridhi bwerere unaruhusuje watu kujenga namna hii..
View attachment 3269505View attachment 3269506View attachment 3269507View attachment 3269509
Mi sijuiKwani nani aliwaruhusu kujenga hivyo??
Naipenda nchi yanguKuisema Dar es Salaam kuna faida gani kwako kiuchumi?
Mbeya inawafaidisha nini mkuuKuisema Dar es Salaam kuna faida gani kwako kiuchumi?
Ni upumbavu kudhani vipaumbele vyako ni vipaumbele vya watu wengineKuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana.
Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia.
Lakini pia hiki ni kielelezo namba 1 kwamba waafrica hatuna akili na tu wabinafsi wakubwa kwa nchi kama TZ yenye aridhi bwerere unaruhusuje watu kujenga namna hii..
View attachment 3269505View attachment 3269506View attachment 3269507View attachment 3269509
Uswahili unakusumbua. Kwa akili ya kawaida tu hayo ni makazi ya kuishi.watu?Ni upumbavu kudhani vipaumbele vyako ni vipaumbele vya watu wengine
Wewe ukiwa unaona shida kuishi hivyo basi wenzako ni burudani
Wakati unapenda kuishi kwenye nyumba zilizoachana kwa wengine hiyo ni kero
KILA MTU AISHI ANAPOPAPENDA
Takataka tupuKuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana.
Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia.
Lakini pia hiki ni kielelezo namba 1 kwamba waafrica hatuna akili na tu wabinafsi wakubwa kwa nchi kama TZ yenye aridhi bwerere unaruhusuje watu kujenga namna hii..
View attachment 3269505View attachment 3269506View attachment 3269507View attachment 3269509
Kuisema Dar es Salaam kuna faida gani kwako kiuchumi?
Hii view ya mabati yenye kutu ukitaka kuifaidi ushuke na ndege mchana hapo Vingunguti πππKuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana.
Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia.
Lakini pia hiki ni kielelezo namba 1 kwamba waafrica hatuna akili na tu wabinafsi wakubwa kwa nchi kama TZ yenye aridhi bwerere unaruhusuje watu kujenga namna hii..
View attachment 3269505View attachment 3269506View attachment 3269507View attachment 3269509
Ni mji gani Tanzania ambao nyumba zote ni magorofa matupu ?! Kwanza mtoa mada ungetuonyesha picha ya nyumba yako kwanza halafu ndio tulinganishe na nyumba za DSM.Kuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana.
Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia.
Lakini pia hiki ni kielelezo namba 1 kwamba waafrica hatuna akili na tu wabinafsi wakubwa kwa nchi kama TZ yenye aridhi bwerere unaruhusuje watu kujenga namna hii..
View attachment 3269505View attachment 3269506View attachment 3269507View attachment 3269509
Mazingira ya hivi raha sana nyakati za jioni ukishapiga bafu ukawa unabarizi nje unaangalia misambwanda ikipitapita..harufu ya samaki wa kukaanga vyuku na vyipsi.....pia jirani akipika pilao harufu yasikika...maji taka kuruka ni kama jadi....changamoto siku ukitokea mlipuka wa moto wa gesi ...kwa kuzingatia kwa sasa familia nyingi zinaanza kumudu mtungi wa gesiKuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana.
Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia.
Lakini pia hiki ni kielelezo namba 1 kwamba waafrica hatuna akili na tu wabinafsi wakubwa kwa nchi kama TZ yenye aridhi bwerere unaruhusuje watu kujenga namna hii..
View attachment 3269505View attachment 3269506View attachment 3269507View attachment 3269509