DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hiyo kawaida Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushafika Venice Italia? Sio huko tu, London tu baadhi ya maeneo pamoja na magorofa yanayonekana ni mazuri, barabara za kufikisha magari maeneo wanayo ishi watu ni shida.Bongo Dar es Salaam.....njoo uku kwetu mburahati,kuna maeneo MTU ana nyumba lakini gari analilaza uko km 5....hakuja njia ya kupita gari
Hata Ulaya ni hivi hivi.Kuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana.
Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia.
Lakini pia hiki ni kielelezo namba 1 kwamba waafrica hatuna akili na tu wabinafsi wakubwa kwa nchi kama TZ yenye aridhi bwerere unaruhusuje watu kujenga namna hii..
View attachment 3269505View attachment 3269506View attachment 3269507View attachment 3269509
Mpangilio wa makazi kiongozi ni wa hovyoNi mji gani Tanzania ambao nyumba zote ni magorofa matupu ?! Kwanza mtoa mada ungetuonyesha picha ya nyumba yako kwanza halafu ndio tulinganishe na nyumba za DSM.
Ulaya ipi hiyoHata Ulaya ni hivi hivi.
Ukiwa angani kwenye ndege una weza kusema nywele za vipilipiliKuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana.
Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia.
Lakini pia hiki ni kielelezo namba 1 kwamba waafrica hatuna akili na tu wabinafsi wakubwa kwa nchi kama TZ yenye aridhi bwerere unaruhusuje watu kujenga namna hii..
View attachment 3269505View attachment 3269506View attachment 3269507View attachment 3269509
Weka na picha za mkoani ndani ndani, sio wilayani.Kuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana.
Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia.
Lakini pia hiki ni kielelezo namba 1 kwamba waafrica hatuna akili na tu wabinafsi wakubwa kwa nchi kama TZ yenye aridhi bwerere unaruhusuje watu kujenga namna hii..
View attachment 3269505View attachment 3269506View attachment 3269507View attachment 3269509
Tulia!!!Kuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana.
Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia.
Lakini pia hiki ni kielelezo namba 1 kwamba waafrica hatuna akili na tu wabinafsi wakubwa kwa nchi kama TZ yenye aridhi bwerere unaruhusuje watu kujenga namna hii..
View attachment 3269505View attachment 3269506View attachment 3269507View attachment 3269509
HeheheNi mji gani Tanzania ambao nyumba zote ni magorofa matupu ?! Kwanza mtoa mada ungetuonyesha picha ya nyumba yako kwanza halafu ndio tulinganishe na nyumba za DSM.
Umesahau kumwambia na flyover (madaraja ya juu ) ziko DarJitahidi pamoja na kujenga nyumba nzuri mkoani Basi dar uwe hata na nyumba ya chumba na sebule ,kumbuka muhimbili ipo dar ,uwanja wa taifa upo dar ,UDSM ipo dar ,mwendokasi upo dar kidimbwi na kitambaa cheupe zipo dar ,na mwamposa pia yupo dar
Yaan dar ndio kila kitu