PICHA Achana na magorofa machache city centre hii ndiyo DAR halisi.

PICHA Achana na magorofa machache city centre hii ndiyo DAR halisi.

Bongo Dar es Salaam.....njoo uku kwetu mburahati,kuna maeneo MTU ana nyumba lakini gari analilaza uko km 5....hakuja njia ya kupita gari
Ushafika Venice Italia? Sio huko tu, London tu baadhi ya maeneo pamoja na magorofa yanayonekana ni mazuri, barabara za kufikisha magari maeneo wanayo ishi watu ni shida.
 
Kuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana.

Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia.

Lakini pia hiki ni kielelezo namba 1 kwamba waafrica hatuna akili na tu wabinafsi wakubwa kwa nchi kama TZ yenye aridhi bwerere unaruhusuje watu kujenga namna hii..

View attachment 3269505View attachment 3269506View attachment 3269507View attachment 3269509
Hata Ulaya ni hivi hivi.
 
Duuuh kama magofu ya Gaza hata Gaza ina afadhali.
 
Kuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana.

Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia.

Lakini pia hiki ni kielelezo namba 1 kwamba waafrica hatuna akili na tu wabinafsi wakubwa kwa nchi kama TZ yenye aridhi bwerere unaruhusuje watu kujenga namna hii..

View attachment 3269505View attachment 3269506View attachment 3269507View attachment 3269509
Ukiwa angani kwenye ndege una weza kusema nywele za vipilipili
 
Ngoja niwahi kuweka foleni ya supu ya mapupu hapo, Tandale uzuri, na chapati za buku, tatu nile ninywe na maji nikalale nikiamka jioni nafinya Cha mtume,

Uswahilini Raha sana
 
Kuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana.

Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia.

Lakini pia hiki ni kielelezo namba 1 kwamba waafrica hatuna akili na tu wabinafsi wakubwa kwa nchi kama TZ yenye aridhi bwerere unaruhusuje watu kujenga namna hii..

View attachment 3269505View attachment 3269506View attachment 3269507View attachment 3269509
Weka na picha za mkoani ndani ndani, sio wilayani.
 
Jitahidi pamoja na kujenga nyumba nzuri mkoani Basi dar uwe hata na nyumba ya chumba na sebule ,kumbuka muhimbili ipo dar ,uwanja wa taifa upo dar ,UDSM ipo dar ,mwendokasi upo dar kidimbwi na kitambaa cheupe zipo dar ,na mwamposa pia yupo dar

Yaan dar ndio kila kitu
 
Hata Ulaya ni hivi hivi.
Inawezekana. Lakini.
1741980811441.png
 
Kuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana.

Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia.

Lakini pia hiki ni kielelezo namba 1 kwamba waafrica hatuna akili na tu wabinafsi wakubwa kwa nchi kama TZ yenye aridhi bwerere unaruhusuje watu kujenga namna hii..

View attachment 3269505View attachment 3269506View attachment 3269507View attachment 3269509
Tulia!!!
 
Jitahidi pamoja na kujenga nyumba nzuri mkoani Basi dar uwe hata na nyumba ya chumba na sebule ,kumbuka muhimbili ipo dar ,uwanja wa taifa upo dar ,UDSM ipo dar ,mwendokasi upo dar kidimbwi na kitambaa cheupe zipo dar ,na mwamposa pia yupo dar

Yaan dar ndio kila kitu
Umesahau kumwambia na flyover (madaraja ya juu ) ziko Dar
 

Attachments

  • images-2.jpg
    images-2.jpg
    33.2 KB · Views: 1
Back
Top Bottom