Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
PICHA ADIMU ZA HISTORIA YA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA
Nimepokea picha kutoka kwa Mshindo Ibrahim ikimuonyesha marehemu baba yake Mzee Ibrahim Mwinyimvua Makongwa aliyepata kuwa Mwenyekiti wa TANU Iringa wakati Tanganyika ilipopata uhuru mwaka wa 1961 akimuaga uwanja wa ndege wa Iringa Provincial Commissioner wa Southern Highlands baada ya Tanganyika kuwa huru.
Historia ya TANU na harakati za kudai uhuru bado inahitaji kufanyiwa utafiti ili isipotee na nchi kupoteza historia ya mashujaa walioikomboa Tanganyika kutoka mikono ya ukoloni.
Mzee Ibrahim Mwinyimvua Makongwa Mwenyekiti wa TANU akimuaga Provincial Commissioner wa Nyanda za Juu akiondoka Tanganyika baada ya Sherehe za Uhuru December 1961.
Nimepokea picha kutoka kwa Mshindo Ibrahim ikimuonyesha marehemu baba yake Mzee Ibrahim Mwinyimvua Makongwa aliyepata kuwa Mwenyekiti wa TANU Iringa wakati Tanganyika ilipopata uhuru mwaka wa 1961 akimuaga uwanja wa ndege wa Iringa Provincial Commissioner wa Southern Highlands baada ya Tanganyika kuwa huru.
Historia ya TANU na harakati za kudai uhuru bado inahitaji kufanyiwa utafiti ili isipotee na nchi kupoteza historia ya mashujaa walioikomboa Tanganyika kutoka mikono ya ukoloni.
Mzee Ibrahim Mwinyimvua Makongwa Mwenyekiti wa TANU akimuaga Provincial Commissioner wa Nyanda za Juu akiondoka Tanganyika baada ya Sherehe za Uhuru December 1961.