salahsahim4
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 219
- 50
Shukran sana mzee MS nakupongeza kwa ujasiri wako haya maandiko yako unayo yaandika bila ujasiri ulionao sirahisi kuyaandika.
Dunia hii ya leo yenye uhuru wa kuandika utegemee kupata mjibu machafu zaidi ya maandiko lakini nadhani kwa umri wako na elmu yako unao uwezo wakuhimili.
Dunia hii ya leo yenye uhuru wa kuandika utegemee kupata mjibu machafu zaidi ya maandiko lakini nadhani kwa umri wako na elmu yako unao uwezo wakuhimili.