edgar mwakipesile
Senior Member
- Apr 8, 2015
- 132
- 30
Islamic state ni watu gan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mambo ambayo yana ashiria lengo lake lilikua udini. Haya ni pamoja na suala la
Kura tatu kabla ya uhuru , hili waislam walilamika sana nini matokeo yake!
Kuvunjwa kwa baraza la wazee walokua chachu ya kudai uhuru na kumbeba Nyerere
Kuvunjwa kwa jumuia yenye nguvu ya waislam na kuundiwa Bakwata
Sheria ya ndoa
Kutaifisha mashule
Azimio la Arusha na kutaifisha mali na nyumba za watu mijini
Na vijiji vya ujamaa
Yote haya yalikuwa na direct impact na waislam na hali zao. Ukitaka kujua how ni kuingalia kila item kwa upeo wake utagungua tatizo la udini.
Crabat,
Nakusihi ndugu yangu hapana haja ya kulizungumza tatizo hili la udini katika
nchi yetu.
Haya tulosema yanatosha.
Udini ulianzishwa na Nyerere.
Rais wa Kiafrika ambae anataka kupewa Utakatifu na Kanisa lake, kwa lipi zaidi? Fikiri.
prove Nyerere alianzishaje udini!?
Huwezi kuona hata picha moja ya wapigania uhuru mapdri au maaskofu,uhuru wa nchi hii kwa sana umepiganiwa na waislamu, lakini ndio wanaongoza kudharauliwa na kizazi cha sasa inasikitisha sana
Hizo ni picha za wapigania Uluru Dar es salaam ...mikoani pia kulikuwa na harakati za kupinga ukoloni Tena za damu
Nimesema hakuna padri wala mchungaji aliyepigania uhuru, kama wewe unabisha weka picha kumuonyesha yyte aliyekuwa katika harakati hizo,
Ngongo,
Hilo suala la Nyerere kuwa au kutokuwa mdini nani wa kupitisha hukumu?
Wewe au mie?
Hili tulishalizungumza hapa na rejea kadhaa zikatolewa.
Sidhani kama kuna haja kwa sasa kulichokonoa hili jambo zaidi.
Juhudi za wana Mzizima kuweka vuguvugu la Uhuru ...ukiwasha Barua hawakuwahi kufanya mkutano ...wowote wa harakati nje ya Kariakoo na Magomeni ...Huo ndio udhaifu mkubwa wa Watu wa Mzizima ...kuamini kuwa Kila KITU kilichoongelewa pale New street ...na mitaa ya msimbazi ..na jioni kwenye dhumna au Kahawa ni cha NCHI nzima .....hatukatai harakati zikianza Dar Ila udhaifu mkubwa waliofanya ni kutokueneza chama nje
TAA na baadaye TANU Ilianza kufanya ziara mikoani kwa kasi Baada ya uongozi wa Mwalimu Julius Nyerere ,Rashid Kawawa ,Oscar Kambona ,Titi Mohamed ...na wengine kuingia na kufanya ziara ndefu sana mikoani ...Hii ndio iliunganisha Juhudi zilizokuwa zikiendelea Dar na Kina Paul Bomani ( Ziwa ) , George Kahama ( kagera ), hamza mwapachu ( Tanga ) , abdala said fundikira ,kasela bantu ,kasanga tumbo ( tabora ) , chief kunambi ( tabora ) Amir kaluta ( kigoma ) , Japhet killiro ( Arusha ) , chief marealle ,chief shangali ,Nsillo Swai ( Kilimanjaro ) ...na wengine wengi
Tanzania haingeweza kupata Uhuru Kama TANU au TAA ingendelea kubaki mitaa wa Lumumba !!!! Kwa Baadhi ya maeneo hata ya Kaskazini walikuwa wanakaribiwa kupewa free state ..Hadi Mwalimu alipofika na kutaka Province zote ziunganishe nguvu .....Sasa unawezaje Kusema kuwa Uhuru ulidaiwa Dar tu Kama tayari sehem Kama Kilimanjaro walishafikia kuwa na serikali ya Ndani ya Wenyeji ( native Gorvernment ) ..yenye Ikulu , mahakama , walinzi na mawaziri ...the only second after Buganda In the region ...hata Kikuyu Kenya hawakuwahi kuwa na serikali ya Ndani
hii makala imenifungua kitu kimoja, ndio maana nyerere pindi likitokea jambo alikua anaongea na wazee wa darisalama!...
Juhudi za wana Mzizima kuweka vuguvugu la Uhuru ...ukiwasha Barua hawakuwahi kufanya mkutano ...wowote wa harakati nje ya Kariakoo na Magomeni ...Huo ndio udhaifu mkubwa wa Watu wa Mzizima ...kuamini kuwa Kila KITU kilichoongelewa pale New street ...na mitaa ya msimbazi ..na jioni kwenye dhumna au Kahawa ni cha NCHI nzima .....hatukatai harakati zikianza Dar Ila udhaifu mkubwa waliofanya ni kutokueneza chama nje
TAA na baadaye TANU Ilianza kufanya ziara mikoani kwa kasi Baada ya uongozi wa Mwalimu Julius Nyerere ,Rashid Kawawa ,Oscar Kambona ,Titi Mohamed ...na wengine kuingia na kufanya ziara ndefu sana mikoani ...Hii ndio iliunganisha Juhudi zilizokuwa zikiendelea Dar na Kina Paul Bomani ( Ziwa ) , George Kahama ( kagera ), hamza mwapachu ( Tanga ) , abdala said fundikira ,kasela bantu ,kasanga tumbo ( tabora ) , chief kunambi ( tabora ) Amir kaluta ( kigoma ) , Japhet killiro ( Arusha ) , chief marealle ,chief shangali ,Nsillo Swai ( Kilimanjaro ) ...na wengine wengi
Tanzania haingeweza kupata Uhuru Kama TANU au TAA ingendelea kubaki mitaa wa Lumumba !!!! Kwa Baadhi ya maeneo hata ya Kaskazini walikuwa wanakaribiwa kupewa free state ..Hadi Mwalimu alipofika na kutaka Province zote ziunganishe nguvu .....Sasa unawezaje Kusema kuwa Uhuru ulidaiwa Dar tu Kama tayari sehem Kama Kilimanjaro walishafikia kuwa na serikali ya Ndani ya Wenyeji ( native Gorvernment ) ..yenye Ikulu , mahakama , walinzi na mawaziri ...the only second after Buganda In the region ...hata Kikuyu Kenya hawakuwahi kuwa na serikali ya Ndani
Wewe huna mamlaka ya kuhodhi suala lolote juu ya nchi hii.
Halafu? Baada ya kuikomboa? Wakaitelekeza au wakaisalimisha kwa Mwalimu au vipi? Nina hakika ungeweza kujiuliza haya maswali ungeuona ujinga wa dai lako.kwa kweli waislamu ndio waliikomboa nchi hii tuseme za ukweli.
Mohamed Said
My guess is,
Nyerere was like a celebrity by then na watu wengi walipiga naye picha walipopata nafasi. Na si lazima kila aliyepiga picha naye alikuwa ni "mpigania uhuru".
Maeneo fulani yalikaliwa zaidi na watu wa utamaduni/dini fulani kuliko watu wa utamaduni mwingine. Hata ingekuwa leo, Nyerere apige picha Pemba, ataonekana kama amepiga na waislam watupu.
Ninaamini kuwa alipokuwa anatembelea maeneo ya wasukuma au wamasai (kama picha zitawekwa za enzi hizo), picha zitaonesha kuwa ni watanzania wa kawaida wa asili ya kisukuma au kimasai ndio walimpiga "tafu" kwenye mambo ya uhuru. Pia ninaamini kuwa zilikuwepo picha nyingi zilizopigwa wakati huo lakini hazikukidhi ule mtazamo wa mwandishi. It is therefore no coincidence, kwa tunavyokufahamu Mohamed Said, kubandika picha zilizopigwa DSM na kuziacha za sehemu nyingine ili tu kukidhi haja yako ya kuonesha kuwa watu fulani wamesahaulika.