Wewe ndiye umepotoka kidogo. Hizo kofia hazikuwa na maana wala tafsiri yoyote ya kidini hadi vijijini watu walivaa tu. Na kubaguana hakukuwepo katika jamii watu walipoishi pamoja.
Lakini Nyerere aliimarisha zaidi mshikamano wa kitaifa na matabaka yote kwa level ya taifa. Kwamba watu wa dini zote kabila zote na makundi yote waishi kwa amani wao kwa wao, wao na makundi mengine lakini pia sehemu moja kwenda nyingine ndani ya mipakaya Tanzania. Nyerere aliendelea na mtazamo wa hata kuunganisha Africa ili watu wawe wamoja na ndiyo maana aliimarisha mahusiano mipakani mwetu na ujirani mwema.
Na hii ilifanyika kwa namna nyingi ikiwemo mtoto anasomea Moshi, halafu akifaulu anapangiwa Milambo Secondary, huyu wa Nansio anapangiwa Songea Boys, na huyu wa Mafia anakwenda kusoma Murutunguru n.k. n.k. Na mtindo wa elimu sahihi yenye malengo ya kuimarisha standards za taifa. Watu walishirikiana bila tatizo. Kumbuka tunapigania uhuru hapakuwa na umoja wa kitaifa.
Nyerere ndiye alihimiza waislam waende shule za maana badala ya kuishia madrasa walizoachiwa na waarabu. Tunaona kina Kikwete wamesoma shule za mission baada ya kujanjaruka kwenye madrasa ni mauti.
Nyerere ndiye aliuunda na matumizi ya lugha moja.
Udini undini wenu huu wa kuona Bargashia ndio usilam safi, huku watu wamejaa chuki, na kuanza kuona eti wako wachache kwenye uongozi wakisahau kwamba uongozi si migawo wala dini basi ni sifa na uwezo, vimeanza wakati wa Mwinyi.
Na hii ni kwa sababu ya waislam kukosa vision na kuishi kwa manung'uniko pasipo kukubali tatizo ni mafundisho ya dini yenu kama vile watoto sasa kule Singida wanakatazwa kusoma shule, eti wanatakiwa wamfie allah, wanfundishwa Karate misikitini, au wale wanaopasishwa kwa marks za kusubu, halafu kesho waanze kusema hawapati nafasi nzuri. Hilo si tatizo?
Faiza Foxy usikwepeshe agenda.
Narudia tena, hivyo vibandiko vilivaliwa na watu wote hivyo ukiona picha za kale zinaonyesha watu wanavibandiko, usianza kujenga picha ya udini kwamba wlakuwa waislam. Vibandiko haikuwa alama ya dini kama unavyotamani kuongopea watu hapa.
Na mshikamano wa kitaifa Nyerere ndiye kaujenga. Unaharibiwa na ccm ya sasa inayogawa watu kwa misingi ya dini ujinga ujinga tu. Hilo liko dhahiri.
KWA HIYO HOJA YAKO YA UDNI ETI WAISLAM WALIMPOKEA NYERERE, KWANI WAISLAM KUPOKEA MTU NI KOSA? MBONA HAO WAISLAM NAO WALIPOKELEWA NA WATU WENGINE WASIO WAISLAM NA WAKAKIRIMIWA TU? NA HAO WENYE VIBANDIKO SIYO WOE WAISLAM. NI WATU MCHANGANYIKO, USIJICHANGANYE.
UBAGUZI WA KIDINI UMELETWA NA CCM BAADA YA NYERERE KUFA, MFUMO UKAWA DHAIFU, MAJUNGU YAKASHIKA HATAMU NA WAPUMBA.VU WAKACHUKUA SHERIA MIKONONI KULAZIMISHA KUPEWA VYEO VILA ELIMU NA UWEZO. JK KAMA ALIVYONUIA, KAWAPA VYEO KAMA NJUGU BILA KUJALI UWEZO NA SIFA SASA SEIKALI IMEMFIA. MTASEMA TENA MPEWE VYEO KWA MISINGI YA DINI? LABDA SI TANZANIA TENA.
TUNAJENG ATAIFA LENYE UMOJA NA MSHIKAMANO KAMA ALIOUACHA MWALIMU. HATUHADAIKI. TUTAWEKA WATU SAHIHI, MAHALA, SAHIHI KWA WAKATI SAHIHI BILA KUJALI DINI WALA KABILA LA MTU. UJINGA UJINGA HUU WA KUCHEZA REDE KWENYE MAISHA YA WATU ALIOUFANYA HUYU, UMELIGHARIMU TAIFA. HATURUDII.
NINAOMBA TENA WENYE TABIA ZA KUHUBIRI UDINI UJINGA UJINGA ACHENI MARA MOJA!