Picha adimu za TANU, Julius Nyerere na wazalendo waliosahaulika katika Historia ya kudai Uhuru

Picha adimu za TANU, Julius Nyerere na wazalendo waliosahaulika katika Historia ya kudai Uhuru

Na hilo jumba refu linalojengwa (hii picha ya muda kidogo, sasa hivi limekwisha jengwa) ndiyo kwetu nilipozaliwa.

Mimi na TANU tuna historia ndefu sana, si wengi wanaoweza kutamba kuzaliwa hapo jirani na palipozaliwa TANU. Nyerere binafsi yake akija kununuwa sigara "karata" dukani kwetu halafu baadae akabadili akija mtu kumnunulia sigara SENATE.

Shukran Faiza, sikujua kama mwalimu alikuwa anavuta sigara.

Hao ma great thinkers kina mwanakijiji , nguruvi sijui mag33 wanalijua hilo?
 
mzee ndiyo maana nime appreciate hii ya leo....

big up
Jembepori,
Ngoja nikufungulie mikoba.

Hii historia ya TANU ilianza kuandikwa mara tu baada ya uhuru na
wazo hilo lilikuwa la Dossa, Nyerere na Abdul.

Jukumu hilo alipewa Abdul kwa kuwa yeye ndiye anajua mengi katika
yale yaliyopitikana katika African Association khasa kwa kuwa baba yake
alikuwa mmoja wa waasisi.

Dr. Wilbard Klerruu akapewa kazi ya kumsaidia Abdul kukamilisha
kazi hiyo.

Kazi hii haikukamilika kwa kuwa inaelekea Abdul na Nyerere bahati
mbaya hawakukubaliana katika baadhi ya mambo.

Abdul akajitoa katika kazi ile lakini Klerruu aliikamilisha mswada lakini
haukuchapwa.

Sasa historia ya TANU ilipokuja kuandikwa na Chuo Cha Kivukoni majina
ya Abdul na Ally yakaondolewa pamoja na ya wazalendo wengine.

Historia ya TANU ikaanza na Nyerere na kumalizikia na Nyerere.

Jembepori,
Sasa labda na mimi nikuulize.

Kufutwa kwa historia hii ya TANU ya akina Abdul Sykes na Baraza la
Wazee wa TANU la akina Sheikh Suleiman Takadir na Mzee Idd
Tulio
ndiyo kuepuka udini?

Ikiwa tutawafuta Waislam kama Ali Msham katika historia ya uhuru
ndiyo tutaepukana na udini?
 
Mohammed Said,
Historia ya Tanu inafanana kabisa ya historia ya chama ya CNDD FDD.

Chama ya CNDD kilikuwa kunabebwa na waislam(waswalihi) wakiongozwa na Hussein Radjabu, Mohammed Rukara alikuwa mwakilishi wa Muslim CongressTanzania , Karenga Ramadhani (BBC) na wengine wengi.

Propaganda na michango mingi ilikuwa inafanyiwa na inatoka misikitini katika miji ya Bujumbura, Gitega, Muyinga na Ngozi.

Same thing kilichotokea kwa wazee wetu wa Dar. Ndiocho kilichotokea kwa waswahili wa Burundi.

Baada ya kuapishwa Bwana Nkurinzinza akawaondoa wote na wengine akawapa kesi.

----------

Wito wangu ni uendelee na jitihada za kuelimisha jamii kuhusu mchango wa waislam katika ukombozi wa taifa hili.
 
Kwani yeye ndio cameraman? Acheni wivu wa kipumbavu.
Mpitanjia,
Kituko haijui historia ya Abdul Sykes.
Abdul Sykes hakuwa mwanasiasa wa majukwaani.

Abdul Sykes hakuwa mtu wa kuja Jaribu kuhamasisha.
Natoa mfano mdogo.

Nyerere alipokwenda kwa Abdul kumweleza kuwa Msajili kakataa
kuisajili TANU Abdul aliomba Mzee Said Chamwenyewe atafutwe
na alipofika akampa jukumu la kwenda Rufiji kuandikisha wanachama
wapya wa TANU.

Jiulize kwa nini Nyerere alikwenda kutoa taarifa kwa Abdul?

Abdul
kamleta Nyerere Makao Makuu ya TAA 1952 bila ya kumshauri
mtu yoyote.

Abdul alikuwa anapanga mipango na Chief David Kidaha Makwaia
ya kuunda TANU 1950/51 wakiwa wawili tu nyumbani kwake.

Abdul hakuita Halmshauri Kuu ya TAA (Political Subcommittee) kuitaka
ushauri.

Siku za mwanzo za TANU Nyerere akiwa jukwaani anahutubia Abdul
alikuwa akionekana kasimama nyuma ya umma akiandika hotuba ya
Nyerere "verbatim,"akiandika kwa hati mkato (shorthand).

Hizi nyaraka zipo na mimi nimeziona kwa jicho langu nimeshindwa
kuzisoma kwa kuwa ziko katika hatimkato.

Kazi zile za kuhamasisha Abdul aliwakabidhi akina Yusuf Bakis, Juma
Mlevi, Rashid
Sisso na vijana wengine wa Bantu Group na yeye ndiye
alikuwa "paymaster" wao.

Yapo mengi lakini nadhani umemwelewa Abdul alikuwa nani kwa
Nyerere na TANU.

Sasa fananisha haya na historia unayoijua wewe ya Kivukoni College.
 
Mohammed Said,
Historia ya Tanu inafanana kabisa ya historia ya chama ya CNDD FDD.

Chama ya CNDD kilikuwa kunabebwa na waislam(waswalihi) wakiongozwa na Hussein Radjabu, Mohammed Rukara alikuwa mwakilishi wa Muslim CongressTanzania , Karenga Ramadhani (BBC) na wengine wengi.

Propaganda na michango mingi ilikuwa inafanyiwa na inatoka misikitini katika miji ya Bujumbura, Gitega, Muyinga na Ngozi.

Same thing kilichotokea kwa wazee wetu wa Dar. Ndiocho kilichotokea kwa waswahili wa Burundi.

Baada ya kuapishwa Bwana Nkurinzinza akawaondoa wote na wengine akawapa kesi.

----------

Wito wangu ni uendelee na jitihada za kuelimisha jamii kuhusu mchango wa waislam katika ukombozi wa taifa hili.

Mpitanjia,
Ahsante ndugu yangu.
 
Jembepori,
Ngoja nikufungulie mikoba.

Hii historia ya TANU ilianza kuandikwa mara tu baada ya uhuru na
wazo hilo lilikuwa la Dossa, Nyerere na Abdul.

Jukumu hilo alipewa Abdul kwa kuwa yeye ndiye anajua mengi katika
yale yaliyopitikana katika African Association khasa kwa kuwa baba yake
alikuwa mmoja wa waasisi.

Dr. Wilbard Klerruu akapewa kazi ya kumsaidia Abdul kukamilisha
kazi hiyo.

Kazi hii haikukamilika kwa kuwa inaelekea Abdul na Nyerere bahati
mbaya hawakukubaliana katika baadhi ya mambo.

Abdul akajitoa katika kazi ile lakini Klerruu aliikamilisha mswada lakini
haukuchapwa.

Sasa historia ya TANU ilipokuja kuandikwa na Chuo Cha Kivukoni majina
ya Abdul na Ally yakaondolewa pamoja na ya wazalendo wengine.

Historia ya TANU ikaanza na Nyerere na kumalizikia na Nyerere.

Jembepori,
Sasa labda na mimi nikuulize.

Kufutwa kwa historia hii ya TANU ya akina Abdul Sykes na Baraza la
Wazee wa TANU la akina Sheikh Suleiman Takadir na Mzee Idd
Tulio
ndiyo kuepuka udini?

Ikiwa tutawafuta Waislam kama Ali Msham katika historia ya uhuru
ndiyo tutaepukana na udini?

Mkuu nashukur sana kwa utangulizi lakini nachoomba kujua hivi hata hiyo historia ya magogoni ikowaapi?, maana mimi sijawahi kuiona...

pia hivi hayo majina yaliyoachwa kwenye historia ya hao wazee wa kiislam sababu ya kuwaacha ilikuwa ni nini?...........

Je ni uislam wao?, na je katika hiyo historia ya nyerere yan hakuna jina la kiislam hata moja yan ni wakristo mwanzo mwisho?...........

nachojaribu hapa ni kufikiri hivi ni kwa jinsi gani waislam wa zamani walivyokuwa wanyonge ati mpaka watu wanawatenga kwenye historia....

jana nilichangia kwenye ile ya Zeberi mtemvu na nilifurahi kuwa ulituelezea jinsi alivyojitoa tanu na kuanzisha chama chake.......

sasa sidhan kama tutategemea kumuona tena kwenyr historia ama ya tanu ama ya ccm na kutoonekana kwake ni kwa sababu ya ki itikadi ya kisiasa na yeye mwenyewe alipata kwenda kuhutubia kwenye nchi ya wakristo kama sijakosea huko ujerumani na hakuna aliyemnyanyapaa ila baadae ukiwa unamuhoji nyumbani kwake akakwambia kuwa tanu ilikuwa na nguvu sana hakukuwa na uwezo wa kukishinda.........

hizi ndizo hoja ninazo zikubali ambazo ni za usawa, naamini kuna waislam wengi ambao nyerere alibaki nao mbona hao historia zao huzizungumzii ama hao hawakuwa waislam wa pwani kama akina kawawa? ama wao walikuwa ni waislqm majina tu na si waislam?............

mimi siioni logic ya kulalamika eti waislam walionewa kama huyu mchangiaji wa mwisho alivyoandika akihusisha na nchi ya Burundi.....

yani ikitojea tukaanza kuhesabu wafungwa wanaoenda jelq kidini, ama kikabila ama kimaeneo siyo tu tutakuwa tumefika pabaya sana bali nadhani tutakuwa hatuna hoja za msingi na tumefilisikq kabisa kwenye akili zetu maana hapo tytakuwa tunataka kujihalalisha kwenye hayo mambo ili watu watuone na sisi ni watu kwenye jamii................

hii ni hatari sana, na kamwe kwa njia kama hizi kwa hapq tanzania labda burundi ila hapa tanzqnia si waislqm wote wqtakao kubali kumsifia mtu anayeeneza chuki ama kwenye kabila maana we are too far for the insightment............
 
Jembepori,
Hayo maswali umeyaelekeza sipo.
Yanafaa uwaulize wahusika.

Mimi imenitosha kuwa nimeandika historia ya wazee wangu na ndiyo
hizi darsa ninazosomesha hapa Majlis.

Historia ya Magogoni ipo ila kitabu hakijachapwa kwa miaka mingi.

Maktaba ya CCM Dodoma wanayo nakala na Maktaba ya Chuo Kikuu
Cha Dar es Salaam.

Waislam wazee wetu hawakuwa wanyonge ila ni wastaarabu.

Ukitaka kujua ushujaa wao soma hii historia niliyoandika 1950 - 1961
na soma pia vipi walivyomkabili Mjerumani katika Vita Vya Majimaji
1905 - 1907.
 
Jembepori,
Hayo maswali umeyaelekeza sipo. Yanafaa uwaulize wahusika. Mimi imenitosha kuwa nimeandika historia ya wazee wangu na ndiyo hizi darsa ninazosomesha hapa Majlis. Historia ya Magogoni ipo ila kitabu hakijachapwa kwa miaka mingi. Maktaba ya CCM Dodoma wanayo nakala. Waislam wazee wetu hawakuwa wanyonge ila ni wastaarabu. Ukitaka kujua ushujaa wao soma hii historia niliyoandika na soma pia vipi walivyomkabili Mjerumani katika Vita Vya Majimaji.

Sasa mkuu Mohammed umeenda mbali na hili swala la vita vya majimaji nlishalijibu kwqni ulishawahi kulileta nalo................

ninachotaka kusemq ni kwamba wazee wa kiislam hawakuwa wanyonge kama mnavyojitahid kuonyesha na hakuna msitaarabu atakayeendekeza maswala ya kibaguzi hata ukiwa wa kidini..........

hapo tunakubaliana sawa kwani naamini wakati wakipigana na wajerumani pia wlishirikuana na makafiri wasio na dini kama akina kinjekitile ngwale...........

sidhan kama hata walikuwa wanawaza uislqm wakati wanapambana ndani ya mapigano ya majimaji.........

mkuu nachotaka tukubaliane ni kwamba hii ni nchi yetu sote na kama kuna watu waliwahi kukaa dar enzi za ukoloni kama wazazi wenu kama mnavyodai ila pia walihamia kutoka mahala kama kilwa, zanzibar,morogoro na kwingineko, kifupi wote ni wa kuja na hata kama ni mzawa original basi ilikuwa ni bahati tuu......

hiyo haimpi mtu kuwa daraja lq kwanza ndaji ya tanzania maana mnavyosimulia ni kama vile wakristu hawafai kuwepo dar yan hata hili jina lipo kwenye quran (nilisoma nukuu za faizafoxy)...........

hii si sawa hata kidogo na mimi naamini ndiyo maana hata Mungu kuamua kumsaidia mtu kutoka interior aje navkufanikisha uhuru wa mtanganyika kwani kwa story hizi sipati picha kama nyinyi na wazazi wenu ndo mgepata uhuru wa tanganyika na hizi roho za kibaguzi ijui ingekuwaje............

mi nitaendelea kujibu hoja kwa kadri ya ufaham na maarifa niliyonayo kila itakapoibuka ili kuweka sawa kwani wa kale wakipata kusema hata uongo ukisemwa saaana mwisjowe huwa ukweli..........

wasalaam.
 
Sasa mkuu Mohammed umeenda mbali na hili swala la vita vya majimaji nlishalijibu kwqni ulishawahi kulileta nalo................

ninachotaka kusemq ni kwamba wazee wa kiislam hawakuwa wanyonge kama mnavyojitahid kuonyesha na hakuna msitaarabu atakayeendekeza maswala ya kibaguzi hata ukiwa wa kidini..........

hapo tunakubaliana sawa kwani naamini wakati wakipigana na wajerumani pia wlishirikuana na makafiri wasio na dini kama akina kinjekitile ngwale...........

sidhan kama hata walikuwa wanawaza uislqm wakati wanapambana ndani ya mapigano ya majimaji.........

mkuu nachotaka tukubaliane ni kwamba hii ni nchi yetu sote na kama kuna watu waliwahi kukaa dar enzi za ukoloni kama wazazi wenu kama mnavyodai ila pia walihamia kutoka mahala kama kilwa, zanzibar,morogoro na kwingineko, kifupi wote ni wa kuja na hata kama ni mzawa original basi ilikuwa ni bahati tuu......

hiyo haimpi mtu kuwa daraja lq kwanza ndaji ya tanzania maana mnavyosimulia ni kama vile wakristu hawafai kuwepo dar yan hata hili jina lipo kwenye quran (nilisoma nukuu za faizafoxy)...........

hii si sawa hata kidogo na mimi naamini ndiyo maana hata Mungu kuamua kumsaidia mtu kutoka interior aje navkufanikisha uhuru wa mtanganyika kwani kwa story hizi sipati picha kama nyinyi na wazazi wenu ndo mgepata uhuru wa tanganyika na hizi roho za kibaguzi ijui ingekuwaje............

mi nitaendelea kujibu hoja kwa kadri ya ufaham na maarifa niliyonayo kila itakapoibuka ili kuweka sawa kwani wa kale wakipata kusema hata uongo ukisemwa saaana mwisjowe huwa ukweli..........

wasalaam.

Jembepori,
Kitabu changu kizima kimejaa ushujaa.
Sijui hii lugha ya unyonge umetoa wapi.

Soma kitabu cha Abdul Sykes usijadili somo hulijui.
Ndiyo haya matatizo.

Huna uwezo wa kutoa majibu kwa historia hii ninayosomesha hapa.
Wenzako wamejaribu wameshindwa sihitaji hapa kukueleza mengine.

TUKIFUTA HII HISTORIA YA WAZEE WANGU TUKABAKISHA YA KIVUKONI
NDIYO HISTORIA YA UHURU ITAKUWA HAINA UDINI?


  • By Mohamed Said
    Jembepori,
    Ngoja nikufungulie mikoba.

    Hii historia ya TANU ilianza kuandikwa mara tu baada ya uhuru na
    wazo hilo lilikuwa la Dossa, Nyerere, Abdul na Mwalimu Kihere.
    Habari hizi alinieleza Dossa Aziz nyumbani kwake Mlandizi.

    Jukumu hilo alipewa Abdul kwa kuwa yeye ndiye anajua mengi katika
    yale yaliyopitikana katika African Association khasa kwa kuwa baba yake
    alikuwa mmoja wa waasisi.

    Dr. Wilbard Klerruu akapewa kazi ya kumsaidia Abdul kukamilisha
    kazi hiyo.

    Kazi hii haikukamilika kwa kuwa inaelekea Abdul na Nyerere bahati
    mbaya hawakukubaliana katika baadhi ya mambo.

    Abdul akajitoa katika kazi ile lakini Klerruu aliikamilisha mswada lakini
    haukuchapwa.

    Sasa historia ya TANU ilipokuja kuandikwa na Chuo Cha Kivukoni majina
    ya Abdul na Ally yakaondolewa pamoja na ya wazalendo wengine.

    Historia ya TANU ikaanza na Nyerere na kumalizikia na Nyerere.

    Jembepori,
    Sasa labda na mimi nikuulize.

    Kufutwa kwa historia hii ya TANU ya akina Abdul Sykes na Baraza la
    Wazee wa TANU la akina Sheikh Suleiman Takadir na Mzee Idd
    Tulio
    ndiyo kuepuka udini?

    Ikiwa tutawafuta Waislam kama Ali Msham katika historia ya uhuru
    ndiyo tutaepukana na udini?






 
Jembepori,
Kitabu changu kizima kimejaa ushujaa.
Sijui hii lugha ya unyonge umetoa wapi.

Soma kitabu cha Abdul Sykes usijadili rsomo hulijui.
Ndiyo haya matatizo.

Huna uwezo wa kutoa majibu kwa historia hii ninayosomesha hapa.
Wenzako wamejaribu wameshindwa sihitaji hapa kukueleza mengine.

TUKIFUTA HII HISTORIA YA WAZEE WANGU TUKABAKISHA YA KIVUKONI
NDIYO HISTORIA YA UHURU ITAKUWA HAINA UDINI?


  • By Mohamed Said
    Jembepori,
    Ngoja nikufungulie mikoba.

    Hii historia ya TANU ilianza kuandikwa mara tu baada ya uhuru na
    wazo hilo lilikuwa la Dossa, Nyerere, Abdul na Mwalimu Kihere.
    Habari hizi alinieleza Dossa Aziz nyumbani kwake Mlandizi.

    Jukumu hilo alipewa Abdul kwa kuwa yeye ndiye anajua mengi katika
    yale yaliyopitikana katika African Association khasa kwa kuwa baba yake
    alikuwa mmoja wa waasisi.

    Dr. Wilbard Klerruu akapewa kazi ya kumsaidia Abdul kukamilisha
    kazi hiyo.

    Kazi hii haikukamilika kwa kuwa inaelekea Abdul na Nyerere bahati
    mbaya hawakukubaliana katika baadhi ya mambo.

    Abdul akajitoa katika kazi ile lakini Klerruu aliikamilisha mswada lakini
    haukuchapwa.

    Sasa historia ya TANU ilipokuja kuandikwa na Chuo Cha Kivukoni majina
    ya Abdul na Ally yakaondolewa pamoja na ya wazalendo wengine.

    Historia ya TANU ikaanza na Nyerere na kumalizikia na Nyerere.

    Jembepori,
    Sasa labda na mimi nikuulize.

    Kufutwa kwa historia hii ya TANU ya akina Abdul Sykes na Baraza la
    Wazee wa TANU la akina Sheikh Suleiman Takadir na Mzee Idd
    Tulio
    ndiyo kuepuka udini?

    Ikiwa tutawafuta Waislam kama Ali Msham katika historia ya uhuru
    ndiyo tutaepukana na udini?







kwa hiyo historia ya magogoni yenyewe haina waislam ni wakristo tuu?....
 
Jembepori,
Soma hicho kitabu kila kitu kimejieleza humo.

Soma kitabu cha Abdul Sykes nimeanza toka 1924 baba yake
alipokutana na Dr. Kwegiyr Aggrey mjini Dar es Salaam na akamshauri
aanzishe African Association.

Baba yake aliasisi AA 1929.

Soma kitabu utaona vipi chama hiki kilivyomuathir Abdul hadi akaja
yeye na mdogo wake Ally kuasisi TANU 1954.

Kadi ya TANU ya Ally ni na. 2 na na. 3 ni ya kaka yake Abdul.
Kadi na. 1 ni Julius Nyerere rais wa TANU na ina sahihi ya Ally Sykes.

Huna sababu ya kuniuliza jambo ambalo historia yake nimeandika leo
zaidi ya miaka 18 iliyopita.

Ingia maktaba ukasome.

Najua historia hii kwa hakika imeshtusha wengi si wewe tu hata mabingwa
wa historia ya Afrika walipoisoma kwa mara ya kwanza iliwashangaza na pia
kuwashtusha.
 
kwa hiyo historia ya magogoni yenyewe haina waislam ni wakristo tuu?....

Hili swali ni zito sana.
Je walitajwa wakristo na wasio na dini tu katika historia ya kivukoni?

Yeye atakwambia "wazee wake" walisahaulika, na anandika historia ya wazee wake.
Huyu bwana anatumia mlango huu wa kuandika historia ya wazee wake, kutimiza nia yake ya kufarakanisha jamii huku akifikiri anawaunganisha waislam kwa ujumla wao kwa kuwafanya wawe na chuki ya pamoja dhidi ya Nyerere na ukristo. Na ana sababu yake iliyojengeka kwenye kisasi, mdingi wake ambaye alikuwa kwenye AMNUT alishughulikiwa na serikali. Lakini badala ya kuilaumu serikali kwa ujumla, anamlaumu Nyerere na ukristo. Ila hali kama hiyo ikitokea wakati Rais ni muislam, lawama haziendi kwa Rais, bali zinaenda kwa serikali inayoongozwa na anachokiita christian lobby au mfumo kristo. He is a man on a mission...
 
Tena Bantu group wanaonekana walikua wanabeba mashoka eneo la tukio.

Daudi Mchambuzi,
Mimi nataka kusemea hiyo nukuu yako chini ya bandiko lako kuhusu "vibaka."

Maneno kama haya aliyasema muongozaji senema Oliver Stone 1992 katika
mahojiano kuhusu senema yake "JFK."

Oliver Stone aliulizwa iweje yeye senema zake nyingi anashambulia serikali?

Ndipo akajibu kuwa ndani ya White House kuna majambazi wengi lakini wengi
wao wanavaa suti hivyo inakuwa tabu kuwatambua.
 
Hili swali ni zito sana.
Je walitajwa wakristo na wasio na dini tu katika historia ya kivukoni?

Yeye atakwambia "wazee wake" walisahaulika, na anandika historia ya wazee wake.
Huyu bwana anatumia mlango huu wa kuandika historia ya wazee wake, kutimiza nia yake ya kufarakanisha jamii huku akifikiri anawaunganisha waislam kwa ujumla wao kwa kuwafanya wawe na chuki ya pamoja dhidi ya Nyerere na ukristo. Na ana sababu yake iliyojengeka kwenye kisasi, mdingi wake ambaye alikuwa kwenye AMNUT alishughulikiwa na serikali. Lakini badala ya kuilaumu serikali kwa ujumla, anamlaumu Nyerere na ukristo. Ila hali kama hiyo ikitokea wakati Rais ni muislam, lawama haziendi kwa Rais, bali zinaenda kwa serikali inayoongozwa na anachokiita christian lobby au mfumo kristo. He is a man on a mission...

Nanren,
Unajitisha bure na unataka kuwatisha watu wengine bila sababu.
Sijapata kuona swali gumu hapa Majlis.

Ikiwa swali nalijua nalijibu silijui nasema hilo silijui.

Ikiwa "mdingi" umemkusudia ni babu yangu Salum Abdallah yeye
alikuwa TAA kisha TANU toka mwanzo na mwaka 1955 aliasisi
Tanganyika Railway African Union (TRAU).

Hakupatapo kuwa AMNUT na kweli alishughulikiwa mwaka wa 1964
baada ya maasi ya wanajeshi yeye na viongozi wengine wa vyama
vya wafanyakazi waliwekwa kizuizini.

Ukitaka kujua kisa cha yeye kuwekwa kizuizini nitakueleza.
We sema tu.

Ni historia kama hizi ndizo zinazonifanya kuwa mjuzi wa historia
ya Tanganyika.

Iko siku nitakuwekeeni hapa Majlis yaliyopitikana ndani ya jela ya
Uyui, Tabora alikozuiwa babu yangu kati ya 1964 - 1965.

Bwana Jela alikuwa Mzee Munthali na Mkuu wa Mkoa Tabora
alikuwa Rashid Kheri Baghdelleh.

Hawa wote wakifahamiana vizuri sana na baba yangu.

Kwa ajili hii habari nitakazowawekea hapa ni kutoka "kinywa cha
farasi."

Habari zinatoka kwa Munthali kuja kwa baba yangu.
Habari zinatoka kwa Baghdelleh kuja kwa baba yangu.

Kutoka kwa hao wawili ndipo nilipozipokea mimi.
Unauona huo upokezi?

Sikuishia hapo.

Nimepokea habari nyingine kutoka kwa Bilal Rehani Waikela
aliyekuwa kizuizini na babu yangu.

Waikela na babu yangu wote walikuwa mstari wa mbele kupambana
na ukoloni.

Hayo mengine uliyoandika sioni sababu ya kuyasemea.

Nanren,
Zimenifikia taarifa hivi punde kuwa gazeti la Raia Mwema la leo tarehe
6 May 2015 wamechapa makala ya Mtemvu ambayo iko hapa Majlis.

Wakati wewe unajitisha na historia hii ya TANU leo kuna magazeti
yanaingia katika blog yangu na wakikuta kitu cha manufaa wanakichapa.
 
Nanren,
Unajitisha bure na unataka kuwatisha watu wengine bila sababu.
Sijapata kuona swali gumu hapa Majlis.

Ikiwa swali nalijua nalijibu silijui nasema hilo silijui.

Ikiwa "mdingi" umemkusudia ni babu yangu Salum Abdallah yeye
alikuwa TAA kisha TANU toka mwanzo na mwaka 1955 aliasisi
Tanganyika Railway African Union (TRAU).

Hakupatapo kuwa AMNUT na kweli alishughulikiwa mwaka wa 1964
baada ya maasi ya wanajeshi yeye na viongozi wengine wa vyama
vya wafanyakazi waliwekwa kizuizini.

Ukitaka kujua kisa cha yeye kuwekwa kizuizini nitakueleza.
We sema tu.

Ni historia kama hizi ndizo zinazonifanya kuwa mjuzi wa historia
ya Tanganyika.

Iko siku nitakuwekeeni hapa Majlis yaliyopitikana ndani ya jela ya
Uyui, Tabora alikozuiwa babu yangu kati ya 1964 - 1965.

Bwana Jela alikuwa Mzee Munthali na Mkuu wa Mkoa Tabora
alikuwa Rashid Kheri Baghdelleh.

Hawa wote wakifahamiana vizuri sana na baba yangu.

Kwa ajili hii habari nitakazowawekea hapa ni kutoka "kinywa cha
farasi."

Habari zinatoka kwa Munthali kuja kwa baba yangu.
Habari zinatoka kwa Baghdelleh kuja kwa baba yangu.

Kutoka kwa hao wawili ndipo nilipozipokea mimi.
Unauona huo upokezi?

Sikuishia hapo.

Nimepokea habari nyingine kutoka kwa Bilal Rehani Waikela
aliyekuwa kizuizini na babu yangu.

Waikela na babu yangu wote walikuwa mstari wa mbele kupambana
na ukoloni.

Hayo mengine uliyoandika sioni sababu ya kuyasemea.

Nanren,
Zimenifikia taarifa hivi punde kuwa gazeti la Raia Mwema la leo tarehe
6 May 2015 wamechapa makala ya Mtemvu ambayo iko hapa Majlis.

Wakati wewe unajitisha na historia hii ya TANU leo kuna magazeti
yanaingia katika blog yangu na wakikuta kitu cha manufaa wanakichapa.

sawa mkuu mi nimekupata ila swali langu ni hivi wewe kwenye hiyo historia ya kivukoni hujawahi ona hata jina la muislam mmoja angalau ukamwelezea kwa positive.......

yan ni nyerere tuuuu mwanzo mwisho?.....
 
sawa mkuu mi nimekupata ila swali langu ni hivi wewe kwenye hiyo historia ya kivukoni hujawahi ona hata jina la muislam mmoja angalau ukamwelezea kwa positive.......

yan ni nyerere tuuuu mwanzo mwisho?.....

Jembepori,
Hivi unatambua kwa nini mimi niliandika kitabu cha historia ya TANU ilhali
historia hiyo ilishaandikwa na Chuo Cha Kivukoni?
 
Jembepori,
Hivi unatambua kwa nini mimi niliandika kitabu cha historia ya TANU ilhali
historia hiyo ilishaandikwa na Chuo Cha Kivukoni?

Namaanisha nyerere aliua histiria za waislam je katika historia yakehiyo hamna waislam?........

mbona huwa huwazungumzii na hao?........
Usiseme kuwa unaongelea wazazi wako je na hao waliokuwa na nyerere wenyewe hawakuwa wazazi wako ama?......................
 
Back
Top Bottom