Gazaniga
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 1,051
- 360
Mkuu Mohamed Said naomn unisaidie vitu viwili.
la kwanza ni naomba ya kupata vitabu vyako especcially kama kuna softcopy za kudownload.
La pili,naomba unisaidie kujua akina nani kutoka kaskazini(kwa majina) walikuwa vinara wakati wa kutafuta uhuru wa Tanganyika.
Nashukuru.
la kwanza ni naomba ya kupata vitabu vyako especcially kama kuna softcopy za kudownload.
La pili,naomba unisaidie kujua akina nani kutoka kaskazini(kwa majina) walikuwa vinara wakati wa kutafuta uhuru wa Tanganyika.
Nashukuru.
Last edited by a moderator: