pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,131
- 3,505
Waislamu wengi wakat ule kuonekana ilitokana na harakati kubwa na nguvu kuwekwa dar(pwani) ambapo kulikuwa kuna idadi kubwa ya waislamu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mohamed said tafadhari uwe unalipia haya matangazo ya vitabu vyako hapa jf au kama vipi anzisha forum yako ujitangaze zaidi na zaidi.
Ya Zanzibar ngoja nyuzi zake au fungulia nyuzi yake, hapa tunaongelea Tanganyika.
Hakuna ukweli ambao Wazanzibari HAWAPENDI kuusikia kama huu na sijui kwa nini inakuwa hivyo!
John Okello atabaki kuwa mtumuhimu sana wa kukumbuka katika historia ya Mapinduzi ya Zanzibar milele na milele.
Huwezi kuiongelea "soksi" bila kugusia "kiatu". Mbona unakua kama "watoto wa mama Salma"
![]()
Kushoto Kwenda Kulia: Dossa Aziz, Julius Nyerere, Abdul Sykes na Lawi Sijaona
Ukumbi wa Arnautoglo Kwenye dhifa ya Kumuaga Nyerere Kwenda UNO safari ya pili 1957
Hapo bado Nyerere anaweka sharubu kama za Hitler.
vipi kqwa matawi yaliyokua sehemu ambayo hayana wavaa vibarakashia?,hilo unaliongeleaje?TANU zamani ilikuwa kama CUF ya sasa
vibarakashia kwa kwenda mbele
Mimi nikiiangalia picha hizi nakumbuka tu kazi ya kwanza aliyoifanya Mwalimu baada ya uhuru kupitia iliyoitwa "operation makuti" katika kubadilisha mazingira ya mji wa Dar es Salaam. Hizo mnazoziona ndizo nyumba za wakati huo mjini Dar es Salaam toka Kariakoo, Ilala hadi Magomeni na ndio maana hata kuna sehemu ilijulikana kama Magomeni Makuti...nyumba hizo za makuti ndizo zilitamalaki.
![]()
Nakumbuka mtaa maarufu wa Idrissa Magomeni ulivyoweza kuwa na nyumba za kisasa (kwa wakati huo), barabara za lami zenye mitaro ya kisasa kupitisha maji machafu. Magomeni Makuti, Magomeni Mikumi, Magomeni Kota zote ziliweza kuunganishwa kwa barabara za lami zikipita mabasi ya DMT (Dar es Salam Motor Transport) hadi Mikumi mwisho. Sehemu kama za Gerezani zilikaliwa na walowezi wengi wakiwa Manyema, Wanubi na Wazulu.
Kwa nini hizo barabara zilizojengwa kitaalamu hazikuweza kudumu ni mjadala mzito unaohitaji mada yake peke yake. Hivyo hivyo baadaye nyumba za starehe za kisasa chini ya DDC zilizokuja kujengwa baadaye Karikaoo. Magomeni hadi Ilala na kuwekewa "fittings" za Kisasa (wakati huo) nazo hazikudumu kwa sababu ambazo hasa zilihusiana na utamaduni wa wakazi wa hizo sehemu...hawakujua matumizi rasmi ya vifaa vya kisasa vilivyowekwa.

Mohamed said tafadhari uwe unalipia haya matangazo ya vitabu vyako hapa jf au kama vipi anzisha forum yako ujitangaze zaidi na zaidi.
Unalinganisha Dar es Salaam na Butiama? Mwishowe utalinganisha Kigoma na Dubai!Butiama kulikuwa kuna nyumba zipi? tunaomba tuoneshe.
Unalinganisha Dar es Salaam na Butiama? Mwishowe utalinganisha Kigoma na Dubai!
Sawa.
Ila sipo kushindana na Moh Said kama vile ni ligi, eti yeye abandike picha na mimi niweke.
Nimetoa tu kama 'possible explanation for certain observation'
I may be right, I may be wrong. And I am more interested in reading rather than digging for photos from sources I don't have...
I hope "umenisoma"
Mimi nikiiangalia picha hizi nakumbuka tu kazi ya kwanza aliyoifanya Mwalimu baada ya uhuru kupitia iliyoitwa "operation makuti" katika kubadilisha mazingira ya mji wa Dar es Salaam. Hizo mnazoziona ndizo nyumba za wakati huo mjini Dar es Salaam toka Kariakoo, Ilala hadi Magomeni na ndio maana hata kuna sehemu ilijulikana kama Magomeni Makuti...nyumba hizo za makuti ndizo zilitamalaki.
![]()
Nakumbuka mtaa maarufu wa Idrissa Magomeni ulivyoweza kuwa na nyumba za kisasa (kwa wakati huo), barabara za lami zenye mitaro ya kisasa kupitisha maji machafu. Magomeni Makuti, Magomeni Mikumi, Magomeni Kota zote ziliweza kuunganishwa kwa barabara za lami zikipita mabasi ya DMT (Dar es Salam Motor Transport) hadi Mikumi mwisho. Sehemu kama za Gerezani zilikaliwa na walowezi wengi wakiwa Manyema, Wanubi na Wazulu.
Kwa nini hizo barabara zilizojengwa kitaalamu hazikuweza kudumu ni mjadala mzito unaohitaji mada yake peke yake. Hivyo hivyo baadaye nyumba za starehe za kisasa chini ya DDC zilizokuja kujengwa baadaye Karikaoo. Magomeni hadi Ilala na kuwekewa "fittings" za Kisasa (wakati huo) nazo hazikudumu kwa sababu ambazo hasa zilihusiana na utamaduni wa wakazi wa hizo sehemu...hawakujua matumizi rasmi ya vifaa vya kisasa vilivyowekwa.
Safi sana mkuu ndo ajabu hyo pia watu walikua hawajui kuwa ilikua ikifika ramadhani huyo nyerere alikua anafunga pia.
Ya Zanzibar ngoja nyuzi zake au fungulia nyuzi yake, hapa tunaongelea Tanganyika.
![]()
Waliokuwa Katika Picha Hii na Ndilo lilikuwa Baraza la Wazee wa TANU
(Wengine: Hawapo)
[*=left]Abdallah Shomari (Tandamti No. 3)
[*=left]Nassoro Kalumbanya (Simba)
[*=left]Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo)
[*=left]Mtoro Ally (Muhonda)
[*=left]John Rupia (Misheni Kota)
[*=left]Julius Nyerere (Pugu Sekondari)
[*=left]Said Chaurembo (Congo/Mkunguni)
[*=left]Jumbe Tambaza (Upanga)
[*=left]Sheikh Suleiman Takadir (Mafia/Swahili)
[*=left]Dossa Aziz (Mbaruku/Somali Kipande)
[*=left]Mshume Kiyate (Tandamti)
[*=left]Juma Sultani (Kitchwele Karibu na Kanisa Dogo)
[*=left]Maalim Shubeti (Masasi/Likoma)
[*=left]Rajab Simba (Kiungani)
[*=left]Waziri Mtonga (Kilosa 18, Ilala)
[*=left]Mwinjuma Mwinyikambi (Mwananyamala)
[*=left]Makisi Mbwana (Aggrey/Congo)
[*=left]Usia Omari (Sungwi, Kisarawe)
[*=left]Sheikh Issa Nasir (Bagamoyo).